Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Mi nasikia huwa mnatoaga 'ndogo' A.K.A "0713" kwa mabwana zenu, na kwamba eti ni Sunna, hata Mtume Mudi alikuwa anakula wakeze tigo, vp hiyo huduma na ww unatoa nianze kukutongoza?
 
Nikuelewe nini wakati wewe mwenyewe hujielewi?

Ukiwacha kupumuliwa kisogoni unaweza kuja kujaribu tena labda utaeleweka.
Taratibu unanielewa, kamchezo ka kupumuliwa kisogoni mnakapenda sana watu wa Zenji na Mwambao.

Walah nina wasi wasi na weye, yamkini wapumuliwa.
 
Faiza anajibu kila comment, muacheni bibi wa watu apumzike jamani.
Wewe wawache, nipumzike nini? Vijana speed yao kwenye keyboard ni ndogo sana ukilinganisha na mimi.

Mimi nimeanza kuchapa typewriter za manual, sasa naona kama nateleza tu juu ya keyboard.

Hata waje mia, ntawatoka wote na kuwawacha "kwenye mataa". Sina hata wasiwasi.
 
We bibi unataka utongozwe ili iweje?
Huna mme?
Unataka bwana wa mtandoni
Jiheshimu basi
 
Back
Top Bottom