Mambo my💯💯💯💃🏽💃🏽💃🏽
🤣😁😁Kumbe shindano liliisha ukaibuka mshindi bi Faiza...
Hongera mwaya...
Ila watu wa JF wanafiki sana..kutwa kumchamba mama wa watu...halafu kura mkampa zote... 🤣 🤣 🤣
Siwawezi...hivi shindano nikitaka kuangalia naangalia wapi au ni uzi upi? Mtaalamu Charles kilian
Siwawezi...hivi shindano nikitaka kuangalia naangalia wapi au ni uzi upi? Mtaalamu Charles kilian
Unafikiri haliwaingii darsa ninalowapa?Kumbe shindano liliisha ukaibuka mshindi bi Faiza...
Hongera mwaya...
Ila watu wa JF wanafiki sana..kutwa kumchamba mama wa watu...halafu kura mkampa zote... 🤣 🤣 🤣
Nimeangalia Robati aliamua kutudhalilisha walai...yani mm wa kupata kura 5?? Au kwa sababu ni sport ledi...au vile nachambana sana...any way nimecheka tuu kwakweli..Miss JF 2023: Nani ni Mrembo zaidi kushinda wenzake hapa JF kati ya wanawake wafuatao?
aliyechapiwa na aliyevunjwa mguu nani ana hasara?🤣 Aliyevunjwa miguu😂www.jamiiforums.com
🤣😁😁😁😁🤣🤣😂😂 Robati alizinguaNimeangalia Robati aliamua kutudhalilisha walai...yani mm wa kupata kura 5?? Au kwa sababu ni sport ledi...au vile nachambana sana...any way nimecheka tuu kwakweli..
Hahaaa Robert Heriel Mtibeli ni hatarii shindano tunashukuru bana...Robati zawadi ya bi Faiza ushampa?🤣😁😁😁😁🤣🤣😂😂 Robati alizingua
Polee my wanguKwahiyo nyanya etu faiza kawa miss....halafu sisi watoto wabichi namba E tupo tu....
Hongera sana Faiza 💕
Weka screenshots tujilidhishe. Na picha yako halisi. Wanaosema umezeeka achana nao,kwani handaki la urusi si bado lipo tuuNataka niwafundishe heshima na adabu ya kuheshimu nyuzi na mada za watu. Utakuta jukwaa la siasa mtu eti anakutongoza. Alaaa.
View attachment 2864133
Mods na kiherehere kwenye kichwa cha habari, kwa umiss gani alionae huyu kikongwe ? Sema kinachombeba tu ni hela za kandarasi alizonazo kwa miradi ya serikali na GGM na kuhonga haongi.