Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM. Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.

Eeh wabibi nyie
 
Huu ndiyo uzi wa kutongozana, kule unahatibu mada kwa toho kukuuma tu, unajiuliza kwanini haikuwa wewe.

Mimi ukinitaka ujuwe nimepanda bei ni Miss JF 2023 .
Mie kule "intaneshno" mbona nakupa support sana ajuza wangu, kule nasimama na Palestinians, Yemenis, Houthis, na yeyote atakayekuwa against Mazayuni, US na washirika wake.

Sema nini, hilo taji la miss JF umeshinda pia kwa kura yangu niliyokupigia, unaonaje tukazungumza kikubwa ukanitunuku penzi namimi nijivunie penzi la kikongwe?
 
Mie kule "intaneshno" mbona nakupa support sana ajuza wangu, kule nasimama na Palestinians, Yemenis, Houthis, na yeyote atakayekuwa against Mazayuni, US na washirika wake.

Sema nini, hilo taji la miss JF umeshinda pia kwa kura yangu niliyokupigia, unaonaje tukazungumza kikubwa ukanitunuku penzi namimi nijivunie penzi la kikongwe?
Huna hela wewe.
Sema una shillingi ngapi, sigawi penzi kama sadaka.

Miss JF 2023 FaizaFoxy
 
Huu ndiyo uzi wa kutongozana, kule unahatibu mada kwa toho kukuuma tu, unajiuliza kwanini haikuwa wewe.

Mimi ukinitaka ujuwe nimepanda bei ni Miss JF 2023 .
Mie kule "intaneshno" mbona nakupa support sana ajuza wangu, kule nasimama na Palestinians, Yemenis, Houthis, na yeyote atakayekuwa against Mazayuni, US na washirika wake.

Sema nini, hilo taji la miss JF umeshinda pia kwa kura yangu niliyokupigia,
Huna hela wewe.
Sema una shillingi ngapi, sigawi penzi kama sadaka.

Miss JF 2023 FaizaFoxy
Hela ipo ajuza wangu.
Namie ni muhongaji mzuri sana, haswa ukiwa unatoa "0713" naweza hata nikakuhonga ofisi yangu yote na wafanyakazi 6 wa kuanza nao kazi
 
Mie kule "intaneshno" mbona nakupa support sana ajuza wangu, kule nasimama na Palestinians, Yemenis, Houthis, na yeyote atakayekuwa against Mazayuni, US na washirika wake.

Sema nini, hilo taji la miss JF umeshinda pia kwa kura yangu niliyokupigia,

Hela ipo ajuza wangu.
Namie ni muhongaji mzuri sana, haswa ukiwa unatoa "0713" naweza hata nikakuhonga ofisi yangu yote na wafanyakazi 6 wa kuanza nao kazi
Hata wafanyakazi wa kunisadia nyumbani kwangu tu wengi kuliko hao.

Huna kitu wewe, njaa tupu.
 
We bibi unataka utongozwe ili iweje?
Huna mme?
Unataka bwana wa mtandoni
Jiheshimu basi
Mie "bibi" yako toka lini? Nimekuzalia nani? mama'ko au baba'ko?

Kwani wanavyojidai kutongoza majukwaa yasiyo husiana na kutongozana huwa wanajali ana mme au hana?

Sasa hao wanaojidai watongozaji waje hapa. Shenzi taipu.

Miss JF 2024 FaizaFoxy
 
Mie "bibi" yako toka lini? Nimekuzalia nani? mama'ko au baba'ko?

Kwani wanavyojidai kutongoza majukwaa yasiyo husiana na kutongozana huwa wanajali ana mme au hana?

Sasa hao wanaojidai watongozaji waje hapa. Shenzi taipu.

Miss JF 2024 FaizaFoxy
Bibi kachoka🙌
 
Back
Top Bottom