Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,822
- 90,227
Hahaaa Robert Heriel Mtibeli ni hatarii shindano tunashukuru bana...Robati zawadi ya bi Faiza ushampa?
Alishapata.
Hahaaa Robert Heriel Mtibeli ni hatarii shindano tunashukuru bana...Robati zawadi ya bi Faiza ushampa?
Jesus is Lord of Universe.Jesus take the wheel...
Kama wanatongoza njemba mbabu kabisa je?
Nyakati zingine muwe mnatusikiliza sie wakongwe humu.....
Shauri yenu!
Nakuhitaji nipate utamu wakowewe mwenyewe unang'atwa.
Mwandiko wako tu unajionesha.
Kura tano? Jifunze kwa ajuzaNimeangalia Robati aliamua kutudhalilisha walai...yani mm wa kupata kura 5?? Au kwa sababu ni sport ledi...au vile nachambana sana...any way nimecheka tuu kwakweli..
Munani nami viumbee, mwapita mwanilaumu😂😂😂
Humu ni unafiki tuu...mnatujua? Mngetujua hizo kura zingekua virse versa... 🤣 🤣 🤣Kura tano? Jifunze kwa ajuza
Hahahaha, kumbeeHumu ni unafiki tuu...mnatujua? Mngetujua hizo kura zingekua virse versa... 🤣 🤣 🤣
Wewe bibi unazeeka vibaya haswaPunguwani wewe sisi hatupaki ile miwanja yenu ya kuendea viwanja. Tunapaka wanja wa manga ambao ni dawa ya macho.
Nuie mnapaka wanja au mnachora zebra cross usoni.
Zile promo na tambo za Genta ndio zilifanya Lee asishinde, kura ziende kwa Faiza.Yule mrembo wa Gentamycin alikua anamuandikia magazeti hajashinda kashinda mtoto wa kale wa kariakoo...hahahahaaaa 🤣 🤣
Kabisa hata mm nimeona hiloo...wanaume ni watu wenye wivu wakaona wamkomeshe genta kwa kumchagua bi Faiza...Zile promo na tambo za Genta ndio zilifanya Lee asishinde, kura ziende kwa Faiza.
Humu ni unafiki tuu...mnatujua? Mngetujua hizo kura zingekua virse versa... [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nina miaka 15mambo ya jando, njoo tuyaongelee hapa.
Ulienda jando ukiwa na miaka mingapi?
🤣😁Kabisa hata mm nimeona hiloo...wanaume ni watu wenye wivu wakaona wamkomeshe genta kwa kumchagua bi Faiza...