Mishahara ya viongozi wa Tanzania

1.
FMeS! Tatizo lako ni hayo majigambo na lugha ya matusi. Si wewe peke yako uliyekaribu na hao viongozi. Mimi binafsi sioni sababu ya kukuamini ati kwa sababu unadai hawa ni maswahiba zako. Wewe unakaa nao lakini wengine ndiyo wanaohusika katika kutayarisha hayo mafao. Mimi ningekuamini zaidi ungetaja waraka wa serikali unaotoa hizo stahili zote ulizozitaja. Mpaka sasa ushahidi wako haujani'convince'.

1. Nimekuambia mara nyingi sana kuwa kama huna maisha ambayo yanaweza kuwa mfano ndani hoja zako hapa JF, katika kueleimishana na kuhabarishana haliwezi kuwa tatizo langu,

- wewe ni wewe, na mimi ni mimi, JF tunaheshimika sana kwa sababu ya kuwa na wananchi wengi hapa kwenye sehemu mbali mbali za kuweza kuleta habari hapa za first hand, kwa bahati mbaya inaonekana kuwa wewe sio one of them, sasa I am not sorry kuwa kuongelea maisha yangu ya kila siku inaonekana kwako ni kujigamba, hapana kwangu ni kuimarisha hoja zangu katika mjadala, kwa sababu mimi ninayewaona hawa viongozi wakitengenza siasa, sio sawa na wewe ambaye kwa maneno yakjo mwenyewe huko nao karibu,

- Kama kuna anayetayarisha mafao yao hapa JF, na hawezi kuweka wazi hapa kwa nini unataka liwe tatizo langu? Kwa nini unaumia sana nikisema kuwa ninafahamiana ana viongozi, WHY? I mean siwezi kukusaidia mkuu on this, kwa mfano Mama Migiro ndiye aliyekua mama wa ubatizo wa watoto wangu kule Dodoma kwa sababu ni rafiki wa siku nyingi wa mama yangu na ameenda naye shule Weru Weru, sasa nikisema hivi ambao ni ukweli, wewe hutaki WHY? siwezi kukusaidia bro kabisaa!

- Waraka hauwezi kunisaidia anything, labda ukusaidie wewe mimi ninazungumiza ninayaona kila siku, wewe tafuta waraka mimi ninakupa facts on the ground, lakini sipo hapa kukufurahisha wewe, hata siku moja wananchi wengi wameelewa hili kuwa ukweli na pumba ziko wapi, sasa wewe mtu mmoja utapunguza nini?

2.
Ujue kuna tofauti kati ya kutengewa nyumba na kupewa nyumba. Nyumba ya Mkapa Masaki amepewa wala si kutengewa. sasa hiyo ya Dodoma aliyopewa ni ipi? Nyumba hizo za Dodoma wametengewa, bado ni za serikali. Kama walizinunua wenyewe au kujenga wenyewe na wangependa kuendelea kuzitumia, serikali inachukua jukumu ya kuzitunza na kuzifanya makazi RASMI ya mhusika.

Hivi wewe kijana uko wapi Tanzania kweli? Hvii hujasikia kua nyumba za serikali ziliuzwa viongozi kwa wanaoziishi? Wakuu hebu msaidieni huyu wewe upo wapi?

3.
Hayo magari kama wanapewa mapya kila mwaka ( ulivyodai awali), basi sasa hivi Mwinyi angekuwa na zaidi ya 40, maana la zamani harudishi kama walipewa. Uliponijibu ndiyo ukaelezea kuwa wanatengewa na serikali magari mawili kila mwaka (sio yao) ambayo wakishayatumia bila shaka yanarudi kwenye pool ya magari ya serikali. Usemi wako wa mwanzo ungewafanya baaadhi ya watu waamini kuwa hawa wastaafu wana mlundiko wa magari wliyonunuliwa na serikali wakati si hivyo.

Sivyo nilivyosema, nimesema wanabadilishiwa kila mwaka nenda tena kaangalie maneno yangu!

4.
Unachanganya tena mada. Hii mada inahusu viongozi wa serikali (si CCM) na hawa wanajumuisha Rais, Makamu wake, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu. Wewe umekurupukia Rais peke yake. Hawa wengine nao wanastahili zao ambazo zinaendana na cheo chao na si mshahara wao. Si wote kwa mfano wanaojengewa nyumba wakistaafu. Baadhi yao wanatengewa makazi kwa ajili ya matumizi yao. Wakifariki, yanarudi serikalini.

Wewe labda una macho mabovu, mimi katika post ya Joka Kuu nimechagua makusudi kipande cha Rais na mawaziri wakuu, nenda tena ukaangalie nilikoanzia, acha kunizushia maneno yako!

5.
Stahili ya mheshimiwa Rais mstaafu ni safari mbili nje ya nchi, kila mwaka, bila kujali ameenda kwa ajili ya nini. Hizi analipiwa kila kitu. Sasa wewe mwenzetu, swahiba wao, unataka kutudanganya kuwa hizi ni za matibabu tuu! Safari ya matibabu (ulivyotaka kutudanganya) ni tofauti na ya check-up. Ndiyo maana nikapinga logic yako. Rais mstaafu akiugua anahaki ya kutibiwa popote inapobidi bila kujali mara ngapi ameugua.

Nonesense, nimesema Rais na mawaziri wakuu wastaafu ni lazima wafanye safari mbili kila mwaka nje kuchekiwa tu, lakini wakiugua pia ni lazima wakatibiwe, suala la kuchekiwa linasimamiwa na mmoja wa walinzi wao, ambaye ndiye mkuu wa wasaidizi wote wa mstaafu, na ndiye anayesimamia bajeti nzima ya mstaafu, sasa unachokisema exactly ni nini hasa kama sio nonesense?

6.
Wakati unamlaumu Kuhani uwe unajiangalia na wewe mwenyewe.
Amandla............

Ninamlamu huyo bosi wako, kwa sababu ya kumsingizia DR. Masau kuwa hajasomea upasuaji, na kwamba amewahi kuua wananchi wagonjwa hayo mimi sijawahi kuyasema, sasa nijiangalie nini? Unafikiri unavyozimia na huyo mtu wako basi wote hapa tunazimia? not me bro!

Nonsense tupu!
 
Mkuu Field Marshall ES,

Asate sana kwa habari zote hizi. Ni kitabu tosha sana. Nakushukuru sana.

Wananchi wana haki ya kufahamu mishahara na marupurupu ya viongozi wao wakuu. Lakini kwa vile Bongo kuna watu waliozoea kudanganywa na kunyonywa kishenzi mwaka nenda rudi, lazima viongozi wale (tena sana) lakini kwa SIRI.

Nimeshtuka kufahamu fedha za MFuKO MKUU hazijadiliwi na kuidhinishwa na Bunge. Hii ni structural defect. Ni tumaini langu kwamba IMF watatukumbuka tena na kuiamrisha serikali yetu ibadili hilo.

Naona ili kudumisha Usalama wa Taifa, inabidi viongozi ambao wananyonya kishenzi wafanye hivyo kwa siri kubwa!
 
Mkuu Field Marshall ES,

Asate sana kwa habari zote hizi. Ni kitabu tosha sana. Nakushukuru sana.

Wananchi wana haki ya kufahamu mishahara na marupurupu ya viongozi wao wakuu. Lakini kwa vile Bongo kuna watu waliozoea kudanganywa na kunyonywa kishenzi mwaka nenda rudi, lazima viongozi wale (tena sana) lakini kwa SIRI.

Nimeshtuka kufahamu fedha za MFuKO MKUU hazijadiliwi na kuidhinishwa na Bunge. Hii ni structural defect. Ni tumaini langu kwamba IMF watatukumbuka tena na kuiamrisha serikali yetu ibadili hilo.

Naona ili kudumisha Usalama wa Taifa, inabidi viongozi ambao wananyonya kishenzi wafanye hivyo kwa siri kubwa!

Mwalimu Moshi,
Kama unategemea IMF isaidie katika jambo hili unaota ndoto ya mchana.
Hawa hawa si ndio kila siku wanasifia jinsi mambo yalivyo poa Bongo?
 
Kuhusu Marais wastaafu na Waziri Mkuu wastaafu kuna mafao ya aina mbili.
Wako wale kabla ya awamu ya Mkapa na wale Kuanzia Mkapa.

Magari wanabadilishiwa kila baada ya miaka minne (4). Zinarudishwa utumishi. Rais mstaafu analipwa upto 6 (sita) trip kwenda nje ya nchi. Waziri Mkuu wastaafu upto 2 (mbili). Kuanzia Mkapa , Rais Mstaafu hujengwa nyumba. Kabla ya Mkapa hawakujengewa.
 
Fundi,FMES,

..naona mmejikita zaidi kwa viongozi wastaafu.

..napenda kujua mishahara na marupurupu ya viongozi wakuu walioko madarakani.

NB:

..hivi mbona mshahara wa CEO wa Tanroads wananchi walikuwa wepesi kuutaja, lakini inapokuja kwa viongozi serikali kuu tunapatwa kigugumizi?

Niliishawahi kuanzisha thread kuulizia hiyo mishahara na marupurupu lakini jamaa wote wakaingia gizani! Wengi bado tuna imani potofu kuwa mishahara ya watumishi wa umma na viongozi wa kisiasa inastahili kuwa siri. Iwekwe wazi ili tujue kama kweli it is worth it kugombea huo urais na vyeo vingine.

Na tujue uwezo wa hawa wakubwa kuwekeza katika biashara na kujijengea vijijumba. Mwisho ni haki ya walipa kodi wote raia kujua matumizi ya kodi zao!
 
Ninamlamu huyo bosi wako, kwa sababu ya kumsingizia DR. Masau kuwa hajasomea upasuaji, na kwamba amewahi kuua wananchi wagonjwa hayo mimi sijawahi kuyasema, sasa nijiangalie nini? Unafikiri unavyozimia na huyo mtu wako basi wote hapa tunazimia? not me bro!

Nonsense tupu!

Thanks but no thanks! Kuhani hawezi kuwa bosi wangu ingawa kwa elimu amenizidi. Sina bosi humu maana hakuna ninayemjua.

Waraka hauwezi kunisaidia anything, labda ukusaidie wewe mimi ninazungumiza ninayaona kila siku, wewe tafuta waraka mimi ninakupa facts on the ground, lakini sipo hapa kukufurahisha wewe, hata siku moja wananchi wengi wameelewa hili kuwa ukweli na pumba ziko wapi, sasa wewe mtu mmoja utapunguza nini?

FMeS, wewe umejikita sana katika rumours kuliko facts ndiyo maana sikubaliani na wewe mara nyingi. Mbaya zaidi, ka'ego' kako hakakuruhusu kukubali pale unapokosea.

Sasa unataka nikuamini kuwa unajua stahili ya viongozi wastaafu wakati unakiri kuwa sheria inayoyaelezea unakiri hujaisoma?

Hapa hatumzungumzii Mkapa au Mwinyi bali stahili ya viongozi waliopita, waliopo na watakaokuja. Hauwezi kuniambia facts on the ground ni habari ulizoambiwa na mtoto wa Mkapa au mpishi wake wakati zinapingana na waraka unaohusu mafao hayo! Hakuna waraka unaoweza kusema wapewe Benzi au SUV ! Waraka utaelezea sifa za gari na si kutaja aina ya gari.

Kama hao wanaotayarisha mafao wakiona Lexus inafaa kuliko Benz, watapewa benz. Waraka hauwezi kuzungumzia mahali watakapojengewa nyumba bali ukubwa wa nyumba hiyo (vyumba n.k.). Mahali ni makubaliano kati ya mstaafu na serikali. Hizi ndio facts sio hizo unazozitoa jikoni!

Kujuana kwako na hao unaowaita wakubwa kwangu hakunibabaishi maana ni kati yako na wewe. Ninachopinga ni pale unapotaka kutumia ukaribu wako huo kulazimisha hoja. Sasa kwa vile Migiro ni mama wa ubatizo wa watoto wako hauwezi kuniambia kuwa unashirikiana nae katika kazi zake kuanzia uprofesa, uwaziri na hadi hapo alipo!

From your track record sitashangaa kama hautadai kuwa ulimpigia debe huyu mama kuukwaa unaibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa! Na sasa umetufahamisha ulivyo karibu nae basi masuala yote yatakayojiri UN utayajua maana kila akitoka kazini anakutonya.

Hapana, Mkuu, I could not care less ukaribu wako na hawa watu, maisha yako as long as you don't insult our intelligence kwa kutuletea rumours ukidai kuwa ni facts. Sio mimi, labda wengine! Umri niliokuwa nao sipendi kutukanwa.

Amandla.
 
Briefly, ni 80% ya mishahara yao walipokuwa job, magari mawili SUV mapya kila mwaka, nyumba mbili za serikali Dar na Dodoma, Wafanyakazi wa ndani ya nyumba na nje wasiozidi watano, both Dar na dodoma, Askari wa kulinda nyumba zote mbili, safari za matibabu ulaya mara mbili kwa mwaka wao na wake zao na walinzi wakifuatana na mpishi mmoja na msaidizi wa karibu, free msosi wa government, walinzi wawili personal na mengineyo!

All this ni mpaka watakapoitwa kwenye haki.

Sivyo nilivyosema, nimesema wanabadilishiwa kila mwaka nenda tena kaangalie maneno yangu!

Field Marshall Muongo! Wapi uliposema wanabadilishiwa magari kila mwaka? Humu umezungumzia SUV halafu kwengine Benz wanazotumia! Lipi ni lipi maana sijawahi kumuona Rais akitumia SUV Benz!!!!!

Hivi wewe kijana uko wapi Tanzania kweli? Hvii hujasikia kua nyumba za serikali ziliuzwa viongozi kwa wanaoziishi? Wakuu hebu msaidieni huyu wewe upo wapi?

Uwe na adabu. Nimekuzidi umri. Makazi ya rais akiwa Dodoma ni Chamwino. Sasa unataka kutuambia Mkapa ameuziwa Chamwino.
Mkapa amenunua nyumba ya Sea View kama walivyofanya wafanyakazi wengine wa serikali. Nyumba anayopewa kama stahili yake ni ile aliyojengewa Masaki. Hakununua. Amejengewa na kupewa kama waraka unavyoagiza.

Usilazimishe kitu ambacho haukijui. Urafiki wako au ukaribu wako isiwe kigezo cha kutudanganya.


Nonesense, nimesema Rais na mawaziri wakuu wastaafu ni lazima wafanye safari mbili kila mwaka nje kuchekiwa tu, lakini wakiugua pia ni lazima wakatibiwe, suala la kuchekiwa linasimamiwa na mmoja wa walinzi wao, ambaye ndiye mkuu wa wasaidizi wote wa mstaafu, na ndiye anayesimamia bajeti nzima ya mstaafu, sasa unachokisema exactly ni nini hasa kama sio nonesense?

Bandiko lako hilo hapo juu, wapi unasema wanaenda kuchekiwa? Au safari ya matibabu (maneno yako) ni sawa na kuchekiwa? Unazidi kujikanganya, mkuu wa ulinzi ndiye anayesimamia bajeti nzima ya mstaafu? Au unazungumzia ADC? Au unataka kusema mkuu wa usalama? Mimi ninavyojua Personal Assistant si lazima awe bodyguard! Pamoja na yote haya kusimamiwa na huyo Mkuu wa ulinzi (which I doubt) kunahusiana nini na stahili ya mstaafu+ Kwamba huyo Mkuu wa Ulinzi anaweza kujiamulia kitu nje ya waraka? Kwamba huyo Mkuu amepewa blank cheque kwenye masuala ya mstaafu? Kwa vile haujui ninachokisema si lazima kiwe ni nonsense ingawa uwezekano upo kuwa mimi ni punguani. Lakini pengine ni wewe ndiye mwenye matatizo ya uelewa? Yote yanawezekana. Si dhambi kukiri kuwa hiki kitu sikifahamu. Hata mimi siwezi kudai kuwa nina uhakika wa 100% wa haya ninayoyasema. Anayejua tofauti anaweza kunisahihisha na mimi nitamkubalia. Lakini si kwa hadithi za kutoka kwa jamaa,wapishi au madereva wa wakubwa. Nisahihishe kwenye waraka nitakukubalia lakini si hizi anecdotal evidence!

Amandla.....

Kuna sehemu umeniita mdini na mkabila. Mdini, nakubali maana sijawahi kuficha kuwa mimi ni mmisheni. La ukabila unanionea maana sijawahi kutetea kabila humu kwenye jamvi. Nilichowahi kufanya ni kukemea ubaguzi wa aina yeyote. Katika hilo nimewapinga wale wanaoleta chuki dhidi ya wanaowaita wahindi, nimewasema wamisheni wenzangu wanapoleta chuki dhidi ya waislamu, nimewasema waislamu wanapoleta chuki dhidi ya wamisheni. Nimewatetea wenye ulemavu. Nimewatetea hata wale ambao jamii imekimbilia kuwahukumu kuwa ni wanga (pengine na mimi ni mmoja wao). Nimetetea wakina mama pale nilipoona hawatendewi haki. Wewe uliyenitangulia humu jamvini, wapi, nje ya kutoa dataz, umefanya hivyo?
 
HIVI Nyani McCain NYANI ni sisi tunaoiga ya Wamarekani na Waingereza tukidhania eti ndio model ya kupata maendeleo katika miaka na karne hii au ni McCain na Obama?

Hawa jamaa hapa sijui hata kama wanajua the Great Depression ilitokea lini na ni nini maana ya depression ya miaka hii? Sasa kama viongozi wenu bado wanaoendelea kutaka kumshika mkono yule anayeshuka ngazi wakati wao wana panda unategemea hatutakuwa tumepinda na viwete kweli?
 

Field Marshall Muongo! Wapi uliposema wanabadilishiwa magari kila mwaka? Humu umezungumzia SUV halafu kwengine Benz wanazotumia! Lipi ni lipi maana sijawahi kumuona Rais akitumia SUV Benz!!!!!


Uwe na adabu. Nimekuzidi umri. Makazi ya rais akiwa Dodoma ni Chamwino. Sasa unataka kutuambia Mkapa ameuziwa Chamwino.
Mkapa amenunua nyumba ya Sea View kama walivyofanya wafanyakazi wengine wa serikali. Nyumba anayopewa kama stahili yake ni ile aliyojengewa Masaki. Hakununua. Amejengewa na kupewa kama waraka unavyoagiza.

Usilazimishe kitu ambacho haukijui. Urafiki wako au ukaribu wako isiwe kigezo cha kutudanganya.


Bandiko lako hilo hapo juu, wapi unasema wanaenda kuchekiwa? Au safari ya matibabu (maneno yako) ni sawa na kuchekiwa? Unazidi kujikanganya, mkuu wa ulinzi ndiye anayesimamia bajeti nzima ya mstaafu? Au unazungumzia ADC? Au unataka kusema mkuu wa usalama? Mimi ninavyojua Personal Assistant si lazima awe bodyguard! Pamoja na yote haya kusimamiwa na huyo Mkuu wa ulinzi (which I doubt) kunahusiana nini na stahili ya mstaafu+ Kwamba huyo Mkuu wa Ulinzi anaweza kujiamulia kitu nje ya waraka? Kwamba huyo Mkuu amepewa blank cheque kwenye masuala ya mstaafu? Kwa vile haujui ninachokisema si lazima kiwe ni nonsense ingawa uwezekano upo kuwa mimi ni punguani. Lakini pengine ni wewe ndiye mwenye matatizo ya uelewa? Yote yanawezekana. Si dhambi kukiri kuwa hiki kitu sikifahamu. Hata mimi siwezi kudai kuwa nina uhakika wa 100% wa haya ninayoyasema. Anayejua tofauti anaweza kunisahihisha na mimi nitamkubalia. Lakini si kwa hadithi za kutoka kwa jamaa,wapishi au madereva wa wakubwa. Nisahihishe kwenye waraka nitakukubalia lakini si hizi anecdotal evidence!

Amandla.....

Kuna sehemu umeniita mdini na mkabila. Mdini, nakubali maana sijawahi kuficha kuwa mimi ni mmisheni. La ukabila unanionea maana sijawahi kutetea kabila humu kwenye jamvi. Nilichowahi kufanya ni kukemea ubaguzi wa aina yeyote. Katika hilo nimewapinga wale wanaoleta chuki dhidi ya wanaowaita wahindi, nimewasema wamisheni wenzangu wanapoleta chuki dhidi ya waislamu, nimewasema waislamu wanapoleta chuki dhidi ya wamisheni. Nimewatetea wenye ulemavu. Nimewatetea hata wale ambao jamii imekimbilia kuwahukumu kuwa ni wanga (pengine na mimi ni mmoja wao). Nimetetea wakina mama pale nilipoona hawatendewi haki. Wewe uliyenitangulia humu jamvini, wapi, nje ya kutoa dataz, umefanya hivyo?

You have no idea how imperative and critical what you are pointing out is.

Tanzania hakuna records (hata hati ya Muungano imepotea). Rekodi zenyewe ndio hizi za simulizi simulizi. Nina hakika mbeleni huko kuna vizazi vitakuja kutafiti haya tunayoandika humu (thanks to Invisible and cohort) in order to piece together our history. Sasa wakikuta mwandishi mmoja ambae ana hold sway kubwa sana anasema vitu oulandish vya ajabu halafu hawi called out tutaoneka kizazi chote ma heathen!

Ila nichaoomba kukuuliza sio kuhusu mtu mmoja, ni kuhusu jamii ya Watanzania kwa ujumla.

Hivi unadhani ni kwa nini FMES na uongo wake wote huu bado an garner support ya watu wanaosubiri dataz zake? I mean kuna watu kabla ya kuchangia kitu huwa wanaandika "FMES njoo utupe dataz kwenye hii mada..." na vitu kama hivyo.

Ni kwamba watu hawaijui Bongo na siasa kiasi hicho, au ? Fundi, hear me out on this, Field Marshall anasema, kwa mfano, mafao ya safari za nje za viongozi kama vile kwenda kutibiwa yamo kwenye Katiba! Hivi unahitaji kuwa constitutional scholar kugutuka kwamba safari za Rais mstaafu zitaingiaje kwenye Katiba?

Au ni watu kuhofia hivyo vigezo vya ukaribu na Wakubwa, kusaidiwa kubatiziwa watoto wake na kina Asha Migiro, kama anavyodai. Lakini, mmmh! Angalia hili, anasema anakutana na kina Rupia na Mke wake wanampa dataz, halafu anawaalika nao wajiunge JF. Kwa maneno mengine, Rupia na Mkewe wanajua kwamba analeta hizo data JF. Think about it, Rupia na Mkewe wakijua kwamba huyu Mja tukimpa dataz anapeleka kwenye public forum halafu anatutaja kwamba ni sisi tumempa unadhani kweli, Fundi, huyo Rupia na Mke wake na kina Migiro na wengine ni wapumbavu kiasi gani mpaka wawe wanaendelea kumpa FMES dataz? Au, kwenye sakata la Ballali akasema ameongea na dada yake mjane, na akaonyesha anataka privacy yake. Lakini akaendelea kuja na dataz kutoka kwa hao hao wanaomwambia wanataka privacy halafu anawaanika hapa, na saa nyingine anawachana na kuwachana. Ina maana hawezi tena kurudi kwa hao Wakubwa kuchukua dataz kwa sababu baadae anawatandika shutuma na kuwaanika, sasa watakuwa vipi kila siku wamuibie siri za serikali ? Kiongozi hawezi kuwa mjinga kiasi hicho kumpa dataz mtu kama FMES, hata awe karibu nae kivipi, hata awe Mama wa Ubatizo wa wanae, hata awe baba yake mzazi.

Sasa kwanini Umma unashindwa kuona kwamba FMES anatengeneza data mwenyewe?

Eti Katiba inasema viongozi wakatibiwe nje...! How preposterous is that.
 
You have no idea how imperative and critical what you are point out is.

Tanzania hakuna records (hata hati ya Muungano imepotea). Rekodi zenyewe ndio hizi za simulizi simulizi. Nina hakika mbeleni huko kuna vizazi vitakuja kutafiti haya tunayoandika humu (thanks to Invisible and cohort) in order to piece together our history. Sasa wakikuta mwandishi mmoja ambae ana hold sway kubwa sana anasema vitu oulandish vya ajabu halafu hawi called out tutaoneka kizazi chote ma heathen!

Ila nichaoomba kukuuliza sio kuhusu mtu mmoja, ni kuhusu jamii ya Watanzania kwa ujumla.

Hivi unadhani ni kwa nini FMES na uongo wake wote huu bado an garner support ya watu wanaosubiri dataz zake? I mean kuna watu kabla ya kuchangia kitu huwa wanaandika "FMES njoo utupe dataz kwenye hii mada..." na vitu kama hivyo.

Ni kwamba watu hawaijui Bongo na siasa kiasi hicho, au ? Fundi, hear me out on this, Field Marshall anasema, kwa mfano, mafao ya safari za nje za viongozi kama vile kwenda kutibiwa yamo kwenye Katiba! Hivi unahitaji kuwa constitutional scholar kugutuka kwamba safari za Rais mstaafu zitaingiaje kwenye Katiba?

Au ni watu kuhofia hivyo vigezo vya ukaribu na Wakubwa, kusaidiwa kubatiziwa watoto wake na kina Asha Migiro, kama anavyodai. Lakini, mmmh! Angalia hili, anasema anakutana na kina Rupia na Mke wake wanampa dataz, halafu anawaalika nao wajiunge JF. Kwa maneno mengine, Rupia na Mkewe wanajua kwamba analeta hizo data JF. Think about it, Rupia na Mkewe wakijua kwamba huyu Mja tukimpa dataz anapeleka kwenye public forum halafu anatutaja kwamba ni sisi tumempa unadhani kweli, Fundi, huyo Rupia na Mke wake na kina Migiro na wengine ni wapumbavu kiasi gani mpaka wawe wanaendelea kumpa FMES dataz? Au, kwenye sakata la Ballali akasema ameongea na dada yake mjane, na akaonyesha anataka privacy yake. Lakini akaendelea kuja na dataz kutoka kwa hao hao wanaomwambia wanataka privacy halafu anawaanika hapa, na saa nyingine anawachana na kuwachana. Ina maana hawezi tena kurudi kwa hao Wakubwa kuchukua dataz kwa sababu baadae anawatandika shutuma na kuwaanika, sasa watakuwa vipi kila siku wamuibie siri za serikali ? Kiongozi hawezi kuwa mjinga kiasi hicho kumpa dataz mtu kama FMES, hata awe karibu nae kivipi, hata awe Mama wa Ubatizo wa wanae, hata awe baba yake mzazi.

Sasa kwanini Umma unashindwa kuona kwamba FMES anatengeneza data mwenyewe?

Eti Katiba inasema viongozi wakatibiwe nje...! How preposterous is that.

Kuhani tuna wasomi lakini wameamuwa kuwa watumwa na sasa wananchi ni watumwa wa viongozi ambao ni vibaraka.

Kama huelewi basi inatakiwa uelewe!

Hivi unajuwa maana ya Absolute advantage na Opportunity cost?

Wewe huoni kuwa tuna import mitumba na madawa ya ukimwi na malaria na huku tuki export dhahabu,Tanzanite,Coal,Diamond etc etc?

Hivi kweli chini ya mfumo huo kwenye micro-economics tutafika?

Kwanini tuna viongozi ambao wanasaini mikataba lakini hawaulizi maswali?
Whats in there for the peole etc etc?

Inaonekana wakiambiwa watoto wao watasomeshwa na wao wana 10% basi mambo powa tu na kisingizio kikubwa ni kwamba wananchi wanahitaji madawa na mitumba na huku umasikini umebobea..Waache usanii lasivyo wataonja joto kali sana...TIME FOR CHANGE IS NOW!

Hatuwezi kujustify opportunuty cost ya sisi ku give rasilimali zetu na kubadilishana na hayo makampuni ya kinyonyaji na bidhaa zao mbovu na midawa iliyo expire ama ina elekea ku expire...

Kisingizio ni kuwa hatuna techology ya kutosha bali tunaumwa na sisi ni masikini...Halafu Miongozi yetu imekaa hapo katikati kwa muda mtefu ikijinufaisha yenyewe na familia zao kwa kulindwa na viongozi wabovu wa mataifa makubwa...this time Afrika imeamka na i can see the sun and no more clounds...NO MORE RAIN....OUR SUNSHINE HAS COME...

HATUTAKI VIONGOZI VIBARAKA PERIOD!
 
Kuhani tuna wasomi lakini wameamuwa kuwa watumwa na sasa wananchi ni watumwa wa viongozi ambao ni vibaraka.

Kama huelewi basi inatakiwa uelewe!

Hivi unajuwa maana ya Absolute advantage na Opportunity cost?

Wewe huoni kuwa tuna import mitumba na madawa ya ukimwi na malaria na huku tuki export dhahabu,Tanzanite,Coal,Diamond etc etc?

Hivi kweli chini ya mfumo huo kwenye micro-economics tutafika?

Kwanini tuna viongozi ambao wanasaini mikataba lakini hawaulizi maswali?
Whats in there for the peole etc etc?

Inaonekana wakiambiwa watoto wao watasomeshwa na wao wana 10% basi mambo powa tu na kisingizio kikubwa ni kwamba wananchi wanahitaji madawa na mitumba na huku umasikini umeboea..Waache usanii lasivyo wataonja joto kali sana...TIME FOR CHANGE IS NOW!

Hatuwezi kujustify opportunuty cost ya sisi ku give rasilimali zetu na kubadilishana na hayo makampuni ya kinyonyaji na bidhaa zao mbovu na midawa iliyo expire ama ina elekea ku expire...

Kisingizio ni kuwa hatuna techology ya kutosha bali tunaumwa na sisi ni masikini...Halafu Miongozi yetu imekaa hapo katikati kwa muda mtefu ikijinufaisha yenyewe na familia zao kwa kulindwa na viongozi wabovu wa mataifa makubwa...this time Afrika imeamka na i can see the sun and no more clounds...NO MORE RAIN....OUR SUNSHINE HAS COME...

HATUTAKI VIONGOZI VIBARAKA PERIOD!

JMushi, ndugu yangu,

Kuna kitu kinaitwa mada, topic, focus, subject, maudhui, theme, issue inayoongelewa!

What - in - the - heck - are - you - talking - about - here?

Unaweza kuwa unasema cha maana lakini kinakuwa hakihusiani na mada, kwa hiyo unakuwa una sound kama unaropoka ropoka tu. Rev. Kishoka amesema leo kwamba siku hizi "umebalehe" kwenye hili swala lakini Kishoka kakurupuka mapema kukubariki hivyo. Mbona wewe hu focus?
 
.............Au ni watu kuhofia hivyo vigezo vya ukaribu na Wakubwa, kusaidiwa kubatiziwa watoto wake na kina Asha Migiro, kama anavyodai. Lakini, mmmh! Angalia hili, anasema anakutana na kina Rupia na Mke wake wanampa dataz, halafu anawaalika nao wajiunge JF. Kwa maneno mengine, Rupia na Mkewe wanajua kwamba analeta hizo data JF. Think about it, Rupia na Mkewe wakijua kwamba huyu Mja tukimpa dataz anapeleka kwenye public forum halafu anatutaja kwamba ni sisi tumempa unadhani kweli, Fundi, huyo Rupia na Mke wake na kina Migiro na wengine ni wapumbavu kiasi gani mpaka wawe wanaendelea kumpa FMES dataz? Au, kwenye sakata la Ballali akasema ameongea na dada yake mjane, na akaonyesha anataka privacy yake. Lakini akaendelea kuja na dataz kutoka kwa hao hao wanaomwambia wanataka privacy halafu anawaanika hapa, na saa nyingine anawachana na kuwachana. Ina maana hawezi tena kurudi kwa hao Wakubwa kuchukua dataz kwa sababu baadae anawatandika shutuma na kuwaanika, sasa watakuwa vipi kila siku wamuibie siri za serikali ? Kiongozi hawezi kuwa mjinga kiasi hicho kumpa dataz mtu kama FMES, hata awe karibu nae kivipi, hata awe Mama wa Ubatizo wa wanae, hata awe baba yake mzazi........................

.....mmmhhh..........interesting!!
 
JMushi, ndugu yangu,

Kuna kitu kinaitwa mada, topic, focus, subject, maudhui, theme, issue inayoongelewa!

What - in - the - heck - are - talking - about - here?

Unaweza kuwa unasema cha maana lakini kinakuwa hakihusiani na mada, kwa hiyo unakuwa una sound kama unaropoka ropoka tu. Rev. Kishoka amesema leo kwamba siku hizi "umebalehe" kwenye hili swala lakini Kishoka kakurupuka mapema kukubariki hivyo. Mbona wewe hu focus?

Kuwa mstaarabu na uache ubishi wako wa kipimbi pimbi....
Hiyo mishahara chini ya system hii ya kibepari ni halali kabisa...Kwani chini ya ubepari hakuna wananchi kuitegemea serikali hata siku moja..Kwahiyo ndio maana nikasema kwanza tuanze na mamuzi ya hao wanaojiita wasomi ambao ni viongozi wetu kuwa inakuwa vipi tutoe rasilimali na tupewe mitumba na madawa na vyandarua eti kisa hatuna teknolojia?
Tukipata haki yetu hata hiyo mishahara wananchi wasingeizungumzia...Tuna approach issue hii in a CONCEPTUAL WAY..Got it?
Maana na wewe unaleta za kubalehe...DUH!
 
Field Marshall Muongo! Wapi uliposema wanabadilishiwa magari kila mwaka? Humu umezungumzia SUV halafu kwengine Benz wanazotumia! Lipi ni lipi maana sijawahi kumuona Rais akitumia SUV Benz!!!!!



Uwe na adabu. Nimekuzidi umri. Makazi ya rais akiwa Dodoma ni Chamwino. Sasa unataka kutuambia Mkapa ameuziwa Chamwino.
Mkapa amenunua nyumba ya Sea View kama walivyofanya wafanyakazi wengine wa serikali. Nyumba anayopewa kama stahili yake ni ile aliyojengewa Masaki. Hakununua. Amejengewa na kupewa kama waraka unavyoagiza.

Usilazimishe kitu ambacho haukijui. Urafiki wako au ukaribu wako isiwe kigezo cha kutudanganya.




Bandiko lako hilo hapo juu, wapi unasema wanaenda kuchekiwa? Au safari ya matibabu (maneno yako) ni sawa na kuchekiwa? Unazidi kujikanganya, mkuu wa ulinzi ndiye anayesimamia bajeti nzima ya mstaafu? Au unazungumzia ADC? Au unataka kusema mkuu wa usalama? Mimi ninavyojua Personal Assistant si lazima awe bodyguard! Pamoja na yote haya kusimamiwa na huyo Mkuu wa ulinzi (which I doubt) kunahusiana nini na stahili ya mstaafu+ Kwamba huyo Mkuu wa Ulinzi anaweza kujiamulia kitu nje ya waraka? Kwamba huyo Mkuu amepewa blank cheque kwenye masuala ya mstaafu? Kwa vile haujui ninachokisema si lazima kiwe ni nonsense ingawa uwezekano upo kuwa mimi ni punguani. Lakini pengine ni wewe ndiye mwenye matatizo ya uelewa? Yote yanawezekana. Si dhambi kukiri kuwa hiki kitu sikifahamu. Hata mimi siwezi kudai kuwa nina uhakika wa 100% wa haya ninayoyasema. Anayejua tofauti anaweza kunisahihisha na mimi nitamkubalia. Lakini si kwa hadithi za kutoka kwa jamaa,wapishi au madereva wa wakubwa. Nisahihishe kwenye waraka nitakukubalia lakini si hizi anecdotal evidence!

Amandla.....

Kuna sehemu umeniita mdini na mkabila. Mdini, nakubali maana sijawahi kuficha kuwa mimi ni mmisheni. La ukabila unanionea maana sijawahi kutetea kabila humu kwenye jamvi. Nilichowahi kufanya ni kukemea ubaguzi wa aina yeyote. Katika hilo nimewapinga wale wanaoleta chuki dhidi ya wanaowaita wahindi, nimewasema wamisheni wenzangu wanapoleta chuki dhidi ya waislamu, nimewasema waislamu wanapoleta chuki dhidi ya wamisheni. Nimewatetea wenye ulemavu. Nimewatetea hata wale ambao jamii imekimbilia kuwahukumu kuwa ni wanga (pengine na mimi ni mmoja wao). Nimetetea wakina mama pale nilipoona hawatendewi haki. Wewe uliyenitangulia humu jamvini, wapi, nje ya kutoa dataz, umefanya hivyo?

....mmmhh.......very interesting.......ngoja nichukue popcorn zangu niendelee ku-check movie........wengine mnakaribishwa
 
Quote:- Augustine Moshi

Mkuu Field Marshall ES,

Asate sana kwa habari zote hizi. Ni kitabu tosha sana. Nakushukuru sana.

Wananchi wana haki ya kufahamu mishahara na marupurupu ya viongozi wao wakuu. Lakini kwa vile Bongo kuna watu waliozoea kudanganywa na kunyonywa kishenzi mwaka nenda rudi, lazima viongozi wale (tena sana) lakini kwa SIRI.

Nimeshtuka kufahamu fedha za MFuKO MKUU hazijadiliwi na kuidhinishwa na Bunge. Hii ni structural defect. Ni tumaini langu kwamba IMF watatukumbuka tena na kuiamrisha serikali yetu ibadili hilo.

Naona ili kudumisha Usalama wa Taifa, inabidi viongozi ambao wananyonya kishenzi wafanye hivyo kwa siri kubwa!

Mkuu Mwalimu Moshi,

Ahsante sana na hukuwa na sababu ya kushukuru, maana hi ni kawaida yangu kuweka dataz hapa si unakumbuka toka BCS huwa ni dataz, heshima ikurudie tena Mwalimu, maana watu wenye busara na elimu nzito kama yako ni wachache sana hapa JF, halafu wewe ni mfano wa ninachokisema mara nyingi kwamba tuwe na elimu, halafu kwanza itusaidie sisi binafsi maana kwa michango yako mingi hapa JF, ni clear kuwa una elimu nzito na inakusaidia sana wewe binafsi, ndio maana unaweza kutusaidia na sisiw engine hapa JF.

Ubarikiwe mkuu!
 
Hiyo nayo ni siri kubwa Watanzania hatistajili kuijua!!! Tunajua mshahara wa Rais wa Marekani lakini hatujui mshahara wa Rais wetu!!!! Bill clinton ndiye alikwa Rais wa mwisho wa Marekani kupokea mshahara wa $200,000 kwa mwaka alipomaliza awamu yake ya miaka minane mwaka 2000. Kuanzia 2001 mshahara wa Rais wa marekani uliongezwa na kufikia $400,000 kwa mwaka. Kama kumbu kumbu zangi ni nzuri walidai wameoungeza maradufu kwa sababu ni miaka mingi imepita tangu nyongeza ya mwisho na pia gharama za maisha zimepanda sana. Lakini tukirudi kwa Rais wetu hatuujui mshahara wake!!! Mwe hii ni sirikali!!!

Angalia vizuri Bushi anapata hizi $400,000 kwa mwezi na siyo mwaka.

some tips on salary of presidents ingawa ni za muda kidogo.
Breakfast Crew: September 2006 ;
PRESIDENT Yoweri Museveni (Of Uganda) has persistently opposed a pay rise for himself, Prime Minister Prof. Apolo Nsibambi has said. Nsibambi yesterday said there have been suggestions to the President to have his salary raised considering its insufficient state but the President has turned it down. He said the President takes home Uganda shillings 3.6m, which is about kenya shs 144,000 besides other Presidential emolument and added that when the country’s envelope improves, the review could be considered.
Any increment, however, would bring President Museveni's salary closer to that of his Tanzanian counterpart Jakaya Kikwete, who earns an equivalent of UgShs6 million but far short of Kenya's Mwai Kibaki's Ksh2 million (UgShs50 million).By the way, what Museveni earns is much less than even what former President Moi earns in retirement by like 10 times or so...

www.moot.org.uk/pdf/update_388.pdf ; After criticism at home and abroad, President Mwai Kibaki rejects a 60% salary increase supported by parliament that would have taken his monthly pay to more than £22 000 (14 December). Kibaki says the country has ‘‘other priority projects in need of urgent funding’’
 
....mmmhh.......very interesting.......ngoja nichukue popcorn zangu niendelee ku-check movie........wengine mnakaribishwa

Mkuu Ogah,

Heshima mbele mkuu, jamaa nimewaona huko na pumba zao, lakini siku hizi nimeamua kufuata ushauri wa DR. Slaa, kwamba ukibishana na juha, wenye akili watashindwa kujua nani ni juha na nani sio.

Hiii topic ni muhimu sana wananchi kujua kuhusu mafao ya viongozi wao, sasa siwezi kuwapa nafasi ya kuifunga hii tena na hii topic, kama walivyofanya zingine.
 
Talking about kutengeneza habari au dataz mwenyewe, check this out:-


Nimeongea na wahusika wa jimbo la Texas, kitengo cha Texas Medical Board, pamoja na "shule" ya Dr. Masau, kitengo cha Texas Heart Institute, na nimethibitisha kwamba:

1 ) Dr. Masau hakuwahi kuwa mganga Houston, Texas. Jina lake halipo katika waganga waliowahi kuruhusiwa kutibu mtu Texas.

2 ) Elimu ya upasuaji moyo aliyoipata Texas Heart Institute sio "accredited program." Hata wakati anajifunza , hakuruhusiwa kugusa mgonjwa wa moyo ila kuangalia tu wanavyopasua.

Ofisa wa hospitali aliyejitambulisha kama Dianne ameniambia "now, I don't know how much you can learn by looking..." Nikamwomba yeye ndio aniambie unaweza vipi kujifunza upasuaji kwa kutazama. Akasema "He obtained a certificate from an unaccredited program ...... now I don't know how much good that certificate can do him in Tanzania, but it's no good in Texas." Program hiyo inaitwaje, akasema "visiting physician in Cardiovascual Surgery" akizidi kurudia rudia kunitahadharisha kwamba ni unaccredited program, kama ambavyo tovuti yao inabainisha wazi.

Bwa! ha! ha! ha! ha! ha! ha! ha!ha! Ooh My God this is Hillarious!
 
Kuwa mstaarabu na uache ubishi wako wa kipimbi pimbi....

Mkuu Mushi, kumbe na wewe umemshitukia jamaa kuwa ni pimbi, nilifikiri ni mimi tu peke yangu, ahsante kwa hili na ubarikiwe!

Tena saafi sana, chapa bakora tu!
 


Hakukosea. Ni kwa mwaka!


Huu ndiyo uwazi tunaodai!
 
Back
Top Bottom