William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
1.
Hapa fourm ni mahali pa kuelimishana na kuhabarishana, sasa kama hatuna uhakika na habari basi ni kutafuta ukweli kwanza badala ya kurusha maneno ya mitaani, na kama huna ukweli dawa ni kunyamaza kuwaachie wenye ukweli maana siku zote hwua wapo, ila wanaogopeshwa na hivi vitisho vyenu na mnaishia kuharibu mijadala tu, kwa sababu kwenye hii topic sijaona mwenye kujaribu kuleta ukweli zaidi ya ule nilioutoa, sijaona mwenye facts au sheria, badala yake naona maneno mengi yasiyokuwa na ukweli, kama una ukweli zaidi uweke then unawez akuwa na right ya kudai umedanganywa.
2.
Yanayotendwa yote kwa wastaafu hupatikana idara ya utumishi, nimesema kuwa wasaidizi wakuu wa wastaafu ni trined people wanajua kuwa zama hizi sio za kupindisha sheria tena, kama kawaida maneno mengi ukweli hakuna, mimi ndiye niliyesema kuwa sijawahi kuisoma katiba inasema nini kuhusiana na mafao ya marais wastaaafu, na mawaziri wakuu, lakini nimliyoyaona nimeyakwea hapa wazi,
Kama kuna mjane anyehudumiwa sasa hivi ni Mama Maria tu, na yeye ninaamini ni under special order kutoka kwa the sitting president, lakini pia kuna wakati under Mkapa, na yeye aliachwa nje mpaka walinzi kule Butiama waliondolewa, otherwise sidhani kama bongo tuna sheria ya kuwafaa wajane, lakini mashirika ya umma huwa yana hiyo kitu, director mpya anaweza kumaua hilo ninasema hivyo kwa sababu nimeona sana, kwa mfano BOT, Sigara, nimeona wastaafu wakipewa special treatment na the sitting directors,
Ukiuliza kwa ustaarabu nitakujibu kwa ustaarabu, lakini ukileta za kuleta nitakupa hizo hizo, hapa JF wako members wengi sana hapa tunakata ishus bila noma, ila nyinyi wawili ndio mmeamua mnataka a showdown mimi sina tatizo kwa sababu nimeona wengi sana hapa kama nyinyi, lakini my standing haiwezi kubadilishwa hata siku moja na msimamow angu ni ule ule, uamuzi ni wenu kusuka au kunyoa,
Mada imetolewa nimetoa maoni yuangu kwa sababu nmi haki yangu, ni haki ya kila mtu hapa JF kuni-challenge with facts kuliko zangu na ni haki ya kila member hapa kuni-challenge na ukweli zaidi ya wangu, lakini sio tatizo langu watu kuwa na ego finyu au insecure na hoja zao zisizo na facts wala ukweli, logic sio uwkeli it just logic.
Ninarudia tena kuwa nimeweka maoni yangu on mafao ya viongozi as I know binafsi, sasa kama una ukweli zaidi uweke hapa badala ya maneno mengi sana yasiyohusu topic kabisaa!
Ahsante Mkuu!
Mkuu Mndundu,
Humu jamvini kuna watu wamejenga kitabia cha kutaka kuaminiwa kwa kila jambo ili mradi kasema yeye. Humu jamvini wengi hatufahamiani kwa hiyo mimi nikisema hii ishu niliambiwa na Mheshimiwa jana hatuna namna ya kuthibitisha. Kuna wachache wenye ujasiri wa kuweka majina yao na hao tutawaamini kutokana na kujua nafasi yao, ingawa ukweli ni kuwa hata hao hatuna uhakika nao maana watu wanaweza kutumia jina lolote.
Kwa bahati mbaya, inaelekea utomasi haukubaliwi na baadhi yetu kiasi kwamba ukihoji wanachokiita dataz basi utatafutwa hata huko ulikojificha, hata kama ni Harlem kwa Clinton.
Hapa fourm ni mahali pa kuelimishana na kuhabarishana, sasa kama hatuna uhakika na habari basi ni kutafuta ukweli kwanza badala ya kurusha maneno ya mitaani, na kama huna ukweli dawa ni kunyamaza kuwaachie wenye ukweli maana siku zote hwua wapo, ila wanaogopeshwa na hivi vitisho vyenu na mnaishia kuharibu mijadala tu, kwa sababu kwenye hii topic sijaona mwenye kujaribu kuleta ukweli zaidi ya ule nilioutoa, sijaona mwenye facts au sheria, badala yake naona maneno mengi yasiyokuwa na ukweli, kama una ukweli zaidi uweke then unawez akuwa na right ya kudai umedanganywa.
2.
Tofauti katika hii ishu ni simpo. Kuna mmoja amesema yeye anajua stahili za viongozi wastaafu kwa sababu yu karibu nao! Huyu muungwana anafikia hatua ya kusema kuwa hana hata haja ya kusoma waraka wa katiba ( anajaribu ku'cover all bases' maana kitu kama hicho hakipo) maana yeye anayaona. Anachosahau ni kuwa si kila kitendachwo ni halali au kimeidhinishwa. Mengi yanafanywa kwa kuoneana aibu au kuheshimiana tuu lakini hatuwezi hata siku moja tukasema ni stahili (Kwa mfano leo wajane wa viongozi wetu wanaendelea kutunzwa ingawa sidhani kama kuna sheria inayosema kuwa hiyo ni haki yao).Kuna sheria inayoongoza stahili za mafao za viongozi wastaafu na ni hii peke yake ambayo inaainisha mafao ya haki ya hawa wakuu wetu na si kingine. Mimi nimeisoma kitambo lakini uwezo wa kuitundika humu ndani sinao. Nimeyasema ninayoyakumbuka lakini kama kuna mtu anajua kuwa sheria inasema tofauti I stand to be corrected. Ninachokataa ni huu ubabe wa kulazimishana na inaposhindikana kutumia personal attacks ambazo hazina msingi maana huyo anayenidhania ndiye, siye. Ni haki yangu ya msingi kubakia anonymous kama ilivyo kwa mchangiaji yeyote. Na ni haki yangu ya msingi kupinga hoja au kauli ambayo naona haijakaa sawa. Ninachotarajia ni kuwa nitajibiwa kwa lugha ya kuheshimiana ( hata katika utani) maana kufanya vinginevyo kutondoa maudhui ya jamvi hili na kulifanya sehemu ya michapo. Mbaya zaidi itawafanya hata wale wenye mawazo yanayopingana na wengi wetu kuchelea kuyaweka humu kwa kuhofia hizo lugha za ubabe na kejeli!
Amandla........
Yanayotendwa yote kwa wastaafu hupatikana idara ya utumishi, nimesema kuwa wasaidizi wakuu wa wastaafu ni trined people wanajua kuwa zama hizi sio za kupindisha sheria tena, kama kawaida maneno mengi ukweli hakuna, mimi ndiye niliyesema kuwa sijawahi kuisoma katiba inasema nini kuhusiana na mafao ya marais wastaaafu, na mawaziri wakuu, lakini nimliyoyaona nimeyakwea hapa wazi,
Kama kuna mjane anyehudumiwa sasa hivi ni Mama Maria tu, na yeye ninaamini ni under special order kutoka kwa the sitting president, lakini pia kuna wakati under Mkapa, na yeye aliachwa nje mpaka walinzi kule Butiama waliondolewa, otherwise sidhani kama bongo tuna sheria ya kuwafaa wajane, lakini mashirika ya umma huwa yana hiyo kitu, director mpya anaweza kumaua hilo ninasema hivyo kwa sababu nimeona sana, kwa mfano BOT, Sigara, nimeona wastaafu wakipewa special treatment na the sitting directors,
Ukiuliza kwa ustaarabu nitakujibu kwa ustaarabu, lakini ukileta za kuleta nitakupa hizo hizo, hapa JF wako members wengi sana hapa tunakata ishus bila noma, ila nyinyi wawili ndio mmeamua mnataka a showdown mimi sina tatizo kwa sababu nimeona wengi sana hapa kama nyinyi, lakini my standing haiwezi kubadilishwa hata siku moja na msimamow angu ni ule ule, uamuzi ni wenu kusuka au kunyoa,
Mada imetolewa nimetoa maoni yuangu kwa sababu nmi haki yangu, ni haki ya kila mtu hapa JF kuni-challenge with facts kuliko zangu na ni haki ya kila member hapa kuni-challenge na ukweli zaidi ya wangu, lakini sio tatizo langu watu kuwa na ego finyu au insecure na hoja zao zisizo na facts wala ukweli, logic sio uwkeli it just logic.
Ninarudia tena kuwa nimeweka maoni yangu on mafao ya viongozi as I know binafsi, sasa kama una ukweli zaidi uweke hapa badala ya maneno mengi sana yasiyohusu topic kabisaa!
Ahsante Mkuu!