Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
note:Villowassa=vimada=kashfa
hahahah hii imetulia Villowassa
note:Villowassa=vimada=kashfa
Tatizo la wabunge wengi wanatumia pesa nyingi katika kampeni kwa kuonga ili washinde,hivyo huwa inasababisha wao kuwa na madeni mengi ambayo huwa hayalipiki kwa kipindi kifupi,ndio maana huwa wanakomaa sana na hili suala la posho.Mie nadhani kuna haja ya kuwa na wabunge wenye uwezo mkubwa kipesa,na wasio walafi wala mafisadi na wenyee nia njema na nchi yetu ndio wapewe madaraka.These wabunge must understand the issue is not about pay rise; it is about increasing productivity. Kuongeza mishahara bila tija, ni chanzo cha mfumuko wa bei katika uchumi. Every time, these wabunge will demand more and more pay rise as purchasing power falls since there is no TIJA. And if the government is not careful enough, this is a recipe for disaster--inflation spiral. TIJA,TIJA,TIJA ndio mbadala. Kuongeza mishahara isiyoendana na TIJA ni sawa na kubandika plasta juu ya donda ndugu.
These wabunge must understand the issue is not about pay rise; it is about increasing productivity.
Ebu jengeni hoja za maana na kulilia wananchi wenu na sio kukaa tu na kujifikilia wenyewe, shame on you, wabunge wote wenye hisia ya kuongezewa posho
Kwa hali ya sasa unaweza kuzungumzia mambo ya kuongezewa posho, wakati kima cha chini cha wafanyakazi wa kawaida serikali imetangaza na waajiri kibao bado hawatekelezi, na wanaotekeleza ni kwa mbinde, lakini hamsemi kitu mnataka nyie ndo muongezewe tuuuu, mnakaa kimya watu wanaendelea kuteseka na mabill kibao ya umeme.
Kwanini unataka kujua? Waraka wa mwisho wa serikali unaonyesha kila kitu. Fedha nyingi huwa si perdiem ni zile za dharula/incidentals. Ris na waheshimiwa wengine hulipiwa full board acommodation na hela kadhaa kwa ajili ya entertainment na dharula; how much siwezi kujua.
..jamani naomba kujua mishahara, na mafao[per diem] ya safari za ndani na nje ya nchi kwa watumishi wa umma wafuatao:
8.Maraisi wastaafu 9.Mawaziri wakuu Wastaafu
Briefly, ni 80% ya mishahara yao walipokuwa job, magari mawili SUV mapya kila mwaka, nyumba mbili za serikali Dar na Dodoma, Wafanyakazi wa ndani ya nyumba na nje wasiozidi watano, both Dar na dodoma, Askari wa kulinda nyumba zote mbili, safari za matibabu ulaya mara mbili kwa mwaka wao na wake zao na walinzi wakifuatana na mpishi mmoja na msaidizi wa karibu, free msosi wa government, walinzi wawili personal na mengineyo!
All this ni mpaka watakapoitwa kwenye haki.