Mbuty
JF-Expert Member
- Sep 16, 2011
- 411
- 238
ME NADHAN BASIC SALARY KWENYE SLIP YA MLETA MADA INASOMA 432,000.kwa hyo sio kosa lake,ila hajawah kuona salary slip nyingne zaid ya za watumish wenzie wa kada yake na ya huyo jamaa yake.
Sio vyema sana kumshambulia mtoa mada, hayo ni mawazo yake ambayo probably yametokana na exposure aliyonayo hivyo ni vyema kumuelimisha tukianzia na salary wewe unayopata maana sio kukazania huyu analipwa hivi mara yule mbona hatusemi mimi! Nafikiri kwa point of view 1.53 M pesa ya kuanzia kwa graduate sio mbaya tena kwa taasisi ya Serikali. Ni mtizamo tu na hili suala lingekuwa la manufaa sana kama tungelijadili vizuri lingekuwa na msaada hasa kwa wenzetu graduates na ambao wako un employed. Nawasilisha