Gumilapua
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 935
- 733
Mimi napata 6m kwa mwezi wewe unasema 1m?
hakuna aliekuuliza mshahara wako ni kiasi gani, na hiyo haituhusu. Soma uzi kwa umakini ujue lengo lake ni nini?
Naona wewe na wengi wa wachangiaji hapa mna tatizo la kukurupuka, kwa mtazamo wangu hapa jamaa anajaribu kuikosoa serikali kwa kupendelea baadhi ya taasisi kimaslahi. Inawezekana sumatra wanamaslahi mazuri zaidi ya taasisi alieko yeye, wakati wote wanaelimu sawa na mwajiri wao ni mmoja. Sidhani kama jamaa anashangaa hizo 1.53m au hata hizo chenji zako 6m.
Tujifunze kutokukurupuka tunapochangia, after all you have an ample time to think before start writing!!