Kichwa Ndio Mtu
JF-Expert Member
- Jan 17, 2014
- 3,079
- 1,719
That is little kwa taasisi za serikali kama TRA,FCC,Ewura,Takukuru.... nk.Usiogope
Acheni uongo jamani, mshahara wa watumishi wa serikali hayo mashirika ni mdogo sio kama watu wanavyoaminisha wengine humu na kuwapa presha. TRA mshahara wao kwa graduate anaeanza haufiki hapo.