Mishahara ya SUMATRA kufuru

Mishahara ya SUMATRA kufuru

Bajeti yake
net 900,000
nyumbani kwake kama akioa :500,000/-
nauli;100,000/-
oficini msosi;100,000/-
refreshment;100,000/-
others;100,000/-
 
Kweli wabongo hatujui thamani yetu,nyie ndo wale ukienda interview ukiulizwa mshahara unasema 'wowote tu"
huo mshahara wa kawaida sana,,jitambue thamani yako hapo hamna kufuru.Maisha yamebadilika thaman ya hela nayo inashuka.elfu kumi ukichenchi hapo kwishney
Sijui kama unaelewa kuwa mishahra ya serikali haitegemei kujitambua.bali inategemea skeili,
labda nikukumbushe waliojua thamani zao wakaambulia kichapo badala ya nyongeza za mishahara hawa hapa: madaktari,wazee wa east african community,waalimu n.k
Habari ya kujipangia mshahara ipo kwenye makampuni binafsi nako uhakikishe wewe ni kichwa kweli vinginevyo utaambiwa milango ipo wazi unaweza kuondoka kama huriziki na unachopewa.
Ni wachache waliosoma shule za kata wakawa vichwa kweli,waliobakia wanaandaliwa ili wanyonywe maana jibu ni raisi kwamba hawako kwenye viwango vya kimataifa,wakati wameandaliwa kwa viwango vya kitaifa.
 
Ni ahueni mara mia ukilinganisha na wa mwalimu mwenye bachelor!
sio tz tu nchi zote duniani walimu wanalipwa kidogo compare na majority ya sectors.

Kazi za ualimu hazina competition sana katika kuzipata, lakini ni za muhimu sana
 
wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani? Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila nimeijua mishahara ya SUMATRA hadi nimeshangaa. Huenda sijafahamu unyeti wa mamlaka hii ila wanaoijua watatueleza. Rafiki yangu amemaliza pale IFM akichukua Accouting, amepata ajira mwanzoni mwa mwaka huu katka mamlaka ya SUMATRA na kwa macho yangu amenionyesha Salary Slip yake daah, ni Milioni 1.53 kwa mwezi. Wakuu hii mishahara inapangwa na ofisi ya utumishi au wanajipangia wafanyakazi wenyewe wa Mamlaka?
Teh teh teh! Ndugu yangu mshahara huo ndiyo kufuru.
 
wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani? Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila nimeijua mishahara ya SUMATRA hadi nimeshangaa. Huenda sijafahamu unyeti wa mamlaka hii ila wanaoijua watatueleza. Rafiki yangu amemaliza pale IFM akichukua Accouting, amepata ajira mwanzoni mwa mwaka huu katka mamlaka ya SUMATRA na kwa macho yangu amenionyesha Salary Slip yake daah, ni Milioni 1.53 kwa mwezi. Wakuu hii mishahara inapangwa na ofisi ya utumishi au wanajipangia wafanyakazi wenyewe wa Mamlaka?
nahisi wewe utakuwa mtoto wa mkulima!

 
wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani? Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila nimeijua mishahara ya SUMATRA hadi nimeshangaa. Huenda sijafahamu unyeti wa mamlaka hii ila wanaoijua watatueleza. Rafiki yangu amemaliza pale IFM akichukua Accouting, amepata ajira mwanzoni mwa mwaka huu katka mamlaka ya SUMATRA na kwa macho yangu amenionyesha Salary Slip yake daah, ni Milioni 1.53 kwa mwezi. Wakuu hii mishahara inapangwa na ofisi ya utumishi au wanajipangia wafanyakazi wenyewe wa Mamlaka?
Bajeti yangu ya mwezi ya mafuta ya gari ni zaidi ya pesa hiyo na nafanya kazi sokoni
 
wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani? Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila nimeijua mishahara ya SUMATRA hadi nimeshangaa. Huenda sijafahamu unyeti wa mamlaka hii ila wanaoijua watatueleza. Rafiki yangu amemaliza pale IFM akichukua Accouting, amepata ajira mwanzoni mwa mwaka huu katka mamlaka ya SUMATRA na kwa macho yangu amenionyesha Salary Slip yake daah, ni Milioni 1.53 kwa mwezi. Wakuu hii mishahara inapangwa na ofisi ya utumishi au wanajipangia wafanyakazi wenyewe wa Mamlaka?
Duh,umetia aibu ndugu. Mbona huo ni mshahara wa kawaida sana,nini cha ajabu hapo?
 
mamabo ya kishamba sana haya kwanza kwa huyo kukuonyesha salary slip yake ili iweje,,,,???? kwa akili yake kaona kajipatia ujiko na ulivyotolea mimacho kwa ushamba wako ndugu we ulisikia wapi mshahara kama huo ukawa wa kufuru kwa taarifa yako hata walimu wanapata mshahara huo na ni kawaida tu na kwa ushamba wako huenda umeona gross salary wewe ukakurupuka mshahara mkubwa na kwa ushamba wako zaidi ukaleta huu uzi humu. wajanja huwa hawashangai na hawaonyeshi mishahara wewe na mwenzio woooteee na wenye tabia kama hizi ni USHAMBA.
 
Hao ni agent wa serikali kama ilivyo kwa TRA,TANESCO etc wanajipangia wao mishahara kadiri ya makusanyo yao acha wivu pambana
 
hii jf...
Gsana

Mdau Gsana na wengine! Umeeleza vema sana na kwa hoja zenye mashiko. Lipo tatizo kwa baadhi yetu wengi, hatusoma na kuielewa hoja na tunabaki kujivimbisha mabega na vifua kuwa tunajua watu wanaolipwa zaidi ya alichoshangaa mtoa mada.
Mtu anakuja na rejea ya serikalini na kioja rejea kinakuja na mishahara ya mashirika binafsi, huku ni kutoupa kazi ubongo na kusukumwa na mihemuko ya ndoto-jua.
Tunatambua misharaha ya serikali na hasa kwa wanaoanza kazi bila kujali kada imesimama kuanzia laki tano+. Zipo taasisi na mamlaka za serikali Sumatra ikihusika inalipa kutokana na kanuni walizojiwekea kama mamlaka huru.
Ndiyo, lazima nishangae na ni kweli kulinganisha 1.5m kwa 0.5m.
Tujifunze kutafuta maarifa na si kujifanya kuyajua yote
 
Hahahahaaaa...bila shaka atakuwa ana njaa iliyopitiliza..huwez kushangaa kamshahara hako na kuja na uzi kabisaaaa

Jaman msimshambulie sana huyu mjamaa (socialist) sio kosa lake hajui kwa sasa tumepiga hatua toka ujamaa hadi ubepari ndo maana analalama kuwa 1.53m ni bonge la mshahara, watu kama huyu akipewa DG ktk kampuni anaweza ua watu kwa njaa, hafai huyu
 
Six years ago nilikamata kitu km hicho nikipewa Leo mbona bora nikalime mangatungu kule songea
 
Kuna watu wanalipwa kwa saa huo mshahara. na wapo dunia hii hii unaoishi wewe.
 
Mie nalipwa 1.7m naona ndogo wewe unasema 1.5m ni mshahara wa kufuru. Duhhh!
 
Jamaa ni mwalimu mshahara ni 350,000/= na bachelor yake lazima ashangae.
 
Kawaida mkuu hao wanaokubeza mungu kawajaalia tofatuti na sie,utafauti wa kipato huo ndo unaleta heshima,mimi napata basic 515,000 na maisha yanaenda nina mke na watoto wanaenda shule.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
wakuu, hii mamlaka ya serikali inayoendeshwa kwa kodi za wavuja jasho ina unyeti sana kiasi cha watumishi wake kuenjoy pepo duniani? Cjajua Taasisi zingine kama TRA mishahara yao ikoje ila nimeijua mishahara ya SUMATRA hadi nimeshangaa. Huenda sijafahamu unyeti wa mamlaka hii ila wanaoijua watatueleza. Rafiki yangu amemaliza pale IFM akichukua Accouting, amepata ajira mwanzoni mwa mwaka huu katka mamlaka ya SUMATRA na kwa macho yangu amenionyesha Salary Slip yake daah, ni Milioni 1.53 kwa mwezi. Wakuu hii mishahara inapangwa na ofisi ya utumishi au wanajipangia wafanyakazi wenyewe wa Mamlaka?


Mdogo sana.
 
Back
Top Bottom