hii jf imeharibika sana, watu wanashindwa kufanya tafakuri na kukimbilia matusi badala ya kumuelimisha au kumuelekeza mleta mada, ni ujinga , ni upuuzi...anyway ngoja niseme ni wapuuzi pekee waliomjibu mleta uzi kwa matusi, siwezi kuwaita matahira kwa kuwa sijawapima akili , ila ni wapuuzi.
Mleta mada kaeleza vizuri kuwa katika taasisi za serikali,wengine wanaropoka tu bila kushirikiana na akili zao,twende sawa:
- Wapi katika govt salary scale mtu anapokea dola 25000 kama mchangiaji mmoja alivosema?je uyu aliwahi kusoma hata scale za serikali kweli?anajua high scale ni ipi??au karopoka ?
- Hapa mleta mada kaongelea salary ya mhasibu, akagusia TRA na kwingineko, je mnajua scale za wahasibu hasa new staff kama mleta mada alivosema?mkimbilie matusi,eleza kwa data, dogo mmoja anasema eti atafuatilia mda za mleta uzi ili ajue kama ataamua ambakize kwenye jukwaa ili..vitisho vya nini ?mbona sisi hatujawahi kukufukuza wewe maana haujawahi kupost cha maana isipokuwa kejeli na matusi??
_ Mleta mada hajawa na upeo wa kutosha wa kujua maisha ndo maana kaona slip ya 1point kaogopa, apa si kumtusi, ilibidi kumuelekeza tu kuwa mishahara mikubwa ipo mfano junior meneja wa benki anaweza kuwa na hata 8mil salary ila si kumbeza bila data...jamani tunaishi wapi Tanzania???tunaona kila siku walimu wanagoma kwa mishahara ya lak7, 8 nk wakati manesi wanalipwa chini ya hapo...bado tunamkejeli??
Mleta mada kahamaki labda fani yake mayb mwalimu,sekretary,au ni nesi au mkulima kule Tandahimba,lazma haone ni kubwa, ila tumuelekeze si kumtusi. Mfano, mfanyakazi wa Shirika la Posta ambaye ameanza kazi 28 years ago bado wanalipwa mishahara ya lak4 mpaka 6 wakati vijana tulioanza kazi later than 2007 salary ni five plus time that scale.
Tujifunze kuelimishana na si kutukanana,
I hate wote wanaotukana hata pasipo sababu.
Gsana