SCALE MPYA KWA WATUMISHI KUANZA KUTUMIKA NOV. 2017
1.TGS A1-746,000
2.TGS B1-894,000
3.TGS C1-982,500
4.TGS D1-1,139,000
5.TGS E1-1,219,000
6.TGS F1-1,405,000
7.TGS G1-1,670,000
8.TGS H1-1,884,000~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka leo usiku huu.Inaanza kutumika
Novemba 2017.
*Kumbuka:mtumishi mwenye degree alietoka chuoni huwa anapokea mshahara grade: TGS D1*
Hivi ndivyo Dr.Shika alivyosikika akisema itapendeza mambo yakiwa hivyo hapa nchini,lakini hili jambo halipo kabisaaaa.