Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

hahaha bongo ni kazi sana aisee, watu wanawaza increment za mshahara na hamjapandishwa vyeo? hivi kuhusu arreas inakuaje? kama watu waliopanda vyeo mwaka jana inakuaje?
kwanza kwa bajeti ipi?
 
hahaha bongo ni kazi sana aisee, watu wanawaza increment za mshahara na hamjapandishwa vyeo? hivi kuhusu arreas inakuaje? kama watu waliopanda vyeo mwaka jana inakuaje?
Waliopanda vyeo mwaka jana barua zao zitarekebishwa ili zisome kuwa wanapanda daraja kuanzia Novemba 1 2017. Yaani ni dhulma kwa kwenda mbele.
 
Yani unabaki kuushangaa utawala huu kiukweli unaboa sana najua tuna miaka.7 mbele.then si wasomi tutausahau kabisa like kama hakuwahi kuwepo Bali makovu yatakuwepo
 
SCALE MPYA KWA WATUMISHI KUANZA KUTUMIKA NOV. 2017


1.TGS A1-746,000
2.TGS B1-894,000
3.TGS C1-982,500
4.TGS D1-1,139,000
5.TGS E1-1,219,000
6.TGS F1-1,405,000
7.TGS G1-1,670,000
8.TGS H1-1,884,000~ 2,665,000.

Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka leo usiku huu.Inaanza kutumika
Novemba 2017.
*Kumbuka:mtumishi mwenye degree alietoka chuoni huwa anapokea mshahara grade: TGS D1*
Hivi ndivyo Dr.Shika alivyosikika akisema itapendeza mambo yakiwa hivyo hapa nchini,lakini hili jambo halipo kabisaaaa.
 
Wakuu kwema?Nadhani Leo 17 November,Payroll zimeshawafikia wakuu wa idara huko kwenye Halmashauri mbalimbali nchi nzma.

Itapendeza zaidi Maafisa Utumishi au Wakuu wa idara mkitujuza kuhusu Orodha za malipo ya Mishahara mipya kuanzia November hii kama Mkulu alivoahidi!Je kuna ongezeko?Na kama lipo Ningependa kufahamu scales zake zimekaaje kuanzia Madaraja ya chini mpaka juu.

Ahsanteni,nawasilisha!!
SCALE MPYA KWA WATUMISHI KUANZA KUTUMIKA NOV. 2017


1.TGS A1-746,000
2.TGS B1-894,000
3.TGS C1-982,500
4.TGS D1-1,139,000
5.TGS E1-1,219,000
6.TGS F1-1,405,000
7.TGS G1-1,670,000
8.TGS H1-1,884,000~ 2,665,000.

Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka leo usiku huu.Inaanza kutumika
Novemba 2017.
*Kumbuka:mtumishi mwenye degree alietoka chuoni huwa anapokea mshahara grade: TGS D1*
Hivi ndivyo Dr.Shika alivyosikika akisema itapendeza mambo yakiwa hivyo hapa nchini,lakini hili jambo halipo kabisaaaa.
 
Hapa mwendo ni kujilipua tu na crdb salary advance....haimalizi matatizo ila inasaidia kuyasogeza mbele.....loh!
 
Hiyo crdb salary advance wanaiba kiaina aisee, haya mambo haya. Wanasema wanachukua 5% interest lakini wanakata zaidi.
Nimeitumia mara 2 hadi sasa sijaexperience hiko kitu....labda kwa vile hesabu kwenye ukoo wetu zililaaaniwa.

Ila mie maraa kwanza nilikopa lak nikapewa 95 elf. Siku ya salary nikalipa lak 1.

Mara ya pili nikachukua lak 2..nikapewa lak 190 elf...so keshokutwa nitalipa lak 2.

Mie hadi hapo naona sijaibiwa hata senti....nashukuru kwa aliyeleta hili wazo....maaana kimtaa mtaa hapa lak ilikuwa nalipa lak na 20....!
 
Nimeitumia mara 2 hadi sasa sijaexperience hiko kitu....laba kwa vile hesabu kwenye uko wetu zililaaaniwa.

Ila mie maraa kwanza nilikopa lak nikapewa 95 elf. Siku ya salary nikalipa lak 1.

Mara ya pili nikachukua lak 2..nikapewa lak 190 elf...so keshokutwa nitalipa lak 2.

Mie hadi hapo naona sijaibiwa hata senti....nashukuru kwa aliyeleta hili wazo....maaana kimtaa mtaa hapa lak ilikuwa nalipa lak na 20....!
Sasa mkuu mm nimeelewa kuwa ukikopa utalipa riba ya 5% ya pesa uliopewa. Hapo ulipokopa 95, 000/ asilimia tano ni 4,750/ na sio 5,000/. Kama wakikata 5, 000/ walipaswa wakupe 100, 000/. Na 5% ya 190,000/ ni 9,500/ sio 10,000/ utakayolipa.
 
Sasa mkuu mm nimeelewa kuwa ukikopa utalipa riba ya 5% ya pesa uliopewa. Hapo ulipokopa 95, 000/ asilimia tano ni 4,750/ na sio 5,000/. Kama wakikata 5, 000/ walipaswa wakupe 100, 000/. Na 5% ya 190,000/ ni 9,500/ sio 10,000/ utakayolipa.
Mie uelewa wangu unasema hiv:

Crdb wanaponipa salary adv wananikata riba kabsa. Maanake ni kwamba nitajalipa pesa yao bila riba kwakuwa riba nimeshalipa nipochukua mkopo.

Sasa nikirejea kwenye nilichokopa. Mie nilikopa lak 1 ambayo riba yake ni 5% ambayo ni elf 5. So kwakuwa wao wanachukua kabsa riba....nikapewa elf 95. Hapa maanake kwa jinsi nilivoelewa mie ni kwamba....nimeshalipa na riba...hivo siku ya kulipa nalipa lak 1 kamili.

Ili kuelewa zaidi hebu tutizame kinyume chake....kama wasingenikata hyo elf 5 inamaana kwamba siku ya mshahara ningelipa lak 1 na elf 5.

Hiv ndio nilivoelewa.
 
Mie uelewa wangu unasema hiv:

Crdb wanaponipa salary adv wananikata riba kabsa. Maanake ni kwamba nitajalipa pesa yao bila riba kwakuwa riba nimeshalipa nipochukua mkopo.

Sasa nikirejea kwenye nilichokopa. Mie nilikopa lak 1 ambayo riba yake ni 5% ambayo ni elf 5. So kwakuwa wao wanachukua kabsa riba....nikapewa elf 95. Hapa maanake kwa jinsi nilivoelewa mie ni kwamba....nimeshalipa na riba...hivo siku ya kulipa nalipa lak 1 kamili.

Ili kuelewa zaidi hebu tutizame kinyume chake....kama wasingenikata hyo elf 5 inamaana kwamba siku ya mshahara ningelipa lak 1 na elf 5.

Hiv ndio nilivoelewa.
Hapana mkuu mm sahihi naona walitakiwa wakupe 100, 000/ urudishe 105, 000/ kama wamekupa 95,000/ ulipaswa urudishe 99, 750/. Kwani 5% ya 95, 000/ uliyopewa ni 4, 750.
 
Hapana mkuu mm sahihi naona walitakiwa wakupe 100, 000/ urudishe 105, 000/ kama wamekupa 95,000/ ulipaswa urudishe 99, 750/. Kwani 5% ya 95, 000/ uliyopewa ni 4, 750.
Hapo umebadili muundo wa mkopo sasa.....wao riba unalipa kabla. Unachosema wewe ni kulipa riba baada ya hudumu( jambo ambalo lingependeza zaidi).

Hebu weww jifanye mkopeshaji mkopeshe juma lak 1 kwa sharti kwamba juma akulipe riba sasa hiv...je mwisho wa mwezi juma atapaswa kukulipa tsh ngap ili wewe uwe umepata faida ya elf 5.
 
Natabiri Ongezeko la elfu 10, 6, 100, ... range hizo za kipuuzi! Unamsoma mtu anayetoa nyongeza na uhusiano wake na wafanyakazi. Is he friendly? NO, a big NO!
Kwani annual increament ni kiasi gani kwa uelewa wako?
 
Back
Top Bottom