muxin
Senior Member
- Apr 4, 2012
- 175
- 61
Tufanye 900 itapendeza zaidAmeongeza 50,itapendeza zaidi.
Tufanye 900 itapendeza zaidAmeongeza 50,itapendeza zaidi.
ss mlitaka aongeze 300k kila mtu...m nachojua kila mfanyakazi ana kiasi flani cha annual increment kutegemeana na mshahara wake......inabid kujiandaa kisaikolojia mapema...Sure mkuuu.. na mimi kuna afisa utumishi mmoja nilikutana nae nikamuuliza alicheka sana.ila akasema ni ndogo tu ndo imeongezwa bila kusema ni Kiasi gani...
Tujiandae kisaikolojia..
Hakuna nyongezaWakuu
Hebu achen kudanganyana apa.
Addition ni 183k for Dgr holders TGS D levo.
Ikiwa punguf ah zaid nitafte nkupe 50 ya soda.
OVER
masikio kama mapamboSi Katibu Mkuu Utumishi kasema ni watumishi elfu 59 tu ndio watapandishwa mishahara.. Sijui nyie mnabeba masikio kama mapambo tu
Nimekupenda buremsijidanganye msije kufa kwa presha. hamna hata senti itakayoongezeka. Komaeni tu na hali zenu.
Do not trust a politician.Sasa mbona Miluzi mingi mbwa anapotea!!Mara kaongeza 34500,Mara 90,000 mara 50,000!!
which is which????
jibu lake ni which which!Sasa mbona Miluzi mingi mbwa anapotea!!Mara kaongeza 34500,Mara 90,000 mara 50,000!!
which is which????