Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Team ziko duniani kote hata juzi Chris Brown aliposhinda BET tuzo mbili alishukuru #TeamBreezy kwa kua nae bega kwa bega tangia aingie jela atoke mpaka anaendelea kung'aa. Cha muhimu ni zitumike vzr sio zitumike moja kumshusha mwengine au kuleta chuki kati ya wasanii.

Unakosea sana kulinganisha STATES na TZ.

Wewe ni shuhuda wa ujinga mwingi unaoendelea ktk team hzi za masikini. Uchawi, Ufukunyuku, Deep hatred for no reason., matusi na upimbi mwingne mwingi.
 
Hapo dada unapotoka, unaposema kila msanii aanzishe team yake. Its very wrong.

Kumbuka hizi team zilianza kimizahamizaha, lakini ghafla mtu unajikuta unajenga chuki kali kabisa for no reason. Hili lilianza ntokea mimi, nashkuru nimeshtuka mapema. For sure nilianza chuki kali kabisa dhdi ya kiba, as kitu kinapoendekezwa na kupambwa sana kinageuka kinajenga mizizi na kinakuwa kweli. Kuja shtuka inakuwa too late. Mziki ushakufa.

Hapa tuwaite Matola na Chinga One wafanye consultations na Invisible na Moderator uzi hzi mbili zifutiliwe mbali., ambazo nimesha apa sintang'aa tena ktk uzi hzo mbili.

Kama tunataka tuwe chachu ya mabadiliko tuanze sisi. IT BEGINS WITH US.

"UA TIMU, BRING BACK BONGO FLAVOR TO ALL ARTISTS"
data Leo una mapoint hadi raha... Umekula cha Ngaramtoni nn!!!
 
Last edited by a moderator:
Unakosea sana kulinganisha STATES na TZ.

Wewe ni shuhuda wa ujinga mwingi unaoendelea ktk team hzi za masikini. Uchawi, Ufukunyuku, Deep hatred for no reason., matusi na upimbi mwingne mwingi.

Ndio mana nikasema pia hiz team kazi yke kubwa ni kipindi cha kuvote kama msanii yuko nominated kwenye tuzo lkn hizi za team za bongo zinaendelea tuuu anytime yn zimekua kama part ya life tht not good for ourMusic.
 
Hapo dada unapotoka, unaposema kila msanii aanzishe team yake. Its very wrong.

Kumbuka hizi team zilianza kimizahamizaha, lakini ghafla mtu unajikuta unajenga chuki kali kabisa for no reason. Hili lilianza ntokea mimi, nashkuru nimeshtuka mapema. For sure nilianza chuki kali kabisa dhdi ya kiba, as kitu kinapoendekezwa na kupambwa sana kinageuka kinajenga mizizi na kinakuwa kweli. Kuja shtuka inakuwa too late. Mziki ushakufa.

Hapa tuwaite Matola na Chinga One wafanye consultations na Invisible na Moderator uzi hzi mbili zifutiliwe mbali., ambazo nimesha apa sintang'aa tena ktk uzi hzo mbili.

Kama tunataka tuwe chachu ya mabadiliko tuanze sisi. IT BEGINS WITH US.

"UA TIMU, BRING BACK BONGO FLAVOR TO ALL ARTISTS"

Wazo lako unaweza ukawa sahihi ila unapotoka endapo ukianza kuchukia vtu serious hizi tatizo kuliko kubwa among hizi timu sio kwamba kuua mziki. Tatizo ni watu hawapendi kuheshimu wengine wakipendacho na Ku control mihemko.
Haya mambo yapo tangu zamani sema hakukua na mitandao ndo watu wanapakusemea.
Kuwa na chuki hakuhalalishi wengine kuto ku express feelings.
Napinga wazo lako LA kufutwa kwa hizi nyuzi kwa kisingizio cha chuki na kuuua mziki . Hayo ni mawazo ago ya kidikiteta kabisa invisible please ziachie hizi nyuzi. Mtu ka unaona hazifai usikoment chochote wenye kujisikia wa comment. Kila jambo na zama zake kufuta sio solution.
 
Last edited by a moderator:
Hapo dada unapotoka, unaposema kila msanii aanzishe team yake. Its very wrong.

Kumbuka hizi team zilianza kimizahamizaha, lakini ghafla mtu unajikuta unajenga chuki kali kabisa for no reason. Hili lilianza ntokea mimi, nashkuru nimeshtuka mapema. For sure nilianza chuki kali kabisa dhdi ya kiba, as kitu kinapoendekezwa na kupambwa sana kinageuka kinajenga mizizi na kinakuwa kweli. Kuja shtuka inakuwa too late. Mziki ushakufa.

Hapa tuwaite Matola na Chinga One wafanye consultations na Invisible na Moderator uzi hzi mbili zifutiliwe mbali., ambazo nimesha apa sintang'aa tena ktk uzi hzo mbili.

Kama tunataka tuwe chachu ya mabadiliko tuanze sisi. IT BEGINS WITH US.

"UA TIMU, BRING BACK BONGO FLAVOR TO ALL ARTISTS"

Its OK!!kama unaamua kujitoa we jitoe tu ila mi bado kabisa mpaka diamond mwenyewe atangaze kwamba hataki team,hizi team zipo hata huko nje na watu wanafikia hatua ya kuchapana makonde kisa tu team!!!

Waanze wenyewe kwanza wasanii kukataa hizi team ndipo sisi tutafata!
 
Last edited by a moderator:
Ndio mana nikasema pia hiz team kazi yke kubwa ni kipindi cha kuvote kama msanii yuko nominated kwenye tuzo lkn hizi za team za bongo zinaendelea tuuu anytime yn zimekua kama part ya life tht not good for ourMusic.

Tena nakwambia mie sasa hivi ni member wa WCB kuanzia Whatsapp mpaka Instagram kwenye magroup!halafu data anataka mi niache ushabiki maandazi naanzaje labda??

Halafu team zingine zitukalie kichwani?mi siachi
 
Tena nakwambia mie sasa hivi ni member wa WCB kuanzia Whatsapp mpaka Instagram kwenye magroup!halafu data anataka mi niache ushabiki maandazi naanzaje labda??

Halafu team zingine zitukalie kichwani?mi siachi

Haha asikupangie mtu do wat you wanna do" m kwakwel namkubal sana mondi na nitabaki hvo.. ananiburudisha sana yani siongei kiteam bt kiukweli kabisa. Kiba nae yuko poa tu" m hua naenjoy the way tunavyozinguana jokes za hapa na pale kama mtu anatake serious cjui. Humu ni kutoa stress tu.
 
data Leo una mapoint hadi raha... Umekula cha Ngaramtoni nn!!!

Si unajua mapumziko leo' sasa niliamua sikiliza radio kwa umakini, nimegundua ujinga mwingi wa matimu haya.. Yani haya matimu yanaenda kwa media sasa. Ni hatari sana.

Nashukuru kijana huyu aliyeanzisha uzi huu. Ngoma kali nying hazipewi nafasi na promo kama hawa wawili. Na nina uhakika ukifuatilia kwa makini kuna presenters na djs tayari wana team. SAD.
 
Last edited by a moderator:
Haha asikupangie mtu do wat you wanna do" m kwakwel namkubal sana mondi na nitabaki hvo.. ananiburudisha sana yani siongei kiteam bt kiukweli kabisa. Kiba nae yuko poa tu" m hua naenjoy the way tunavyozinguana jokes za hapa na pale kama mtu anatake serious cjui. Humu ni kutoa stress tu.

Si ndio hapo sasa!majukwaa mengine siyawezi kabisaa na sinaga mzuka nayo kiviile zaidi ya hili!kama mtu anachukulia serious ukiba na udiamond hilo juu yake.Wacha sie tutoe stress tuongoze siku za kuishi
 
Hapo dada unapotoka, unaposema kila msanii aanzishe team yake. Its very wrong.

Kumbuka hizi team zilianza kimizahamizaha, lakini ghafla mtu unajikuta unajenga chuki kali kabisa for no reason. Hili lilianza ntokea mimi, nashkuru nimeshtuka mapema. For sure nilianza chuki kali kabisa dhdi ya kiba, as kitu kinapoendekezwa na kupambwa sana kinageuka kinajenga mizizi na kinakuwa kweli. Kuja shtuka inakuwa too late. Mziki ushakufa.

Hapa tuwaite Matola na Chinga One wafanye consultations na Invisible na Moderator uzi hzi mbili zifutiliwe mbali., ambazo nimesha apa sintang'aa tena ktk uzi hzo mbili.

Kama tunataka tuwe chachu ya mabadiliko tuanze sisi. IT BEGINS WITH US.

"UA TIMU, BRING BACK BONGO FLAVOR TO ALL ARTISTS"

Hongera kwa kuufanyia kazi ushauri wangu.

Be part of the changes you want to see.

BTW Slogan yako ya mwisho ni nzuri, kuna watu bado wanapinga sana hili wazo labda tungependa kupata maoni zaidi hii hali wanaionaje? Is it healthy anyway kwa muzik wetu wa Bongoflava?

Kuna mdau amesema watu wanammind kabisa DJ kwa nini hapigi mziki wa Kiba, ukifuatilia hapo utaona ni kwa sababu wamesikia track ya Chibu imechezwa so wanataka iwe balanced acheze na ya Kiba pia on the same session. Sio sawa, kama tunataka muziki upate mzani sawa basi na ya wasanii wengine ipate support sawa sawa na hii inayofanyika kwa hawa vijana wawili wa Kigoma. Tusiendekeze unazi hadi ukatupofusha.

Naunga mkono slogan yako #UA TIMU SUPPORT BONGO FLAVA HOLISTICALLY.
 
Last edited by a moderator:
+hata wasanii wengine wakianzisha team zao hazitakua na nguvu

+Kwa sababu hizi team mbili zina nguvu kwa kile kinachosemekana uwepo wa bifu kati ya Chibu na Kiba, vinginevyo hizi team zisingekua na nguvu kiasi kwamba watu wake wanapigana vita vya maneno!

+leo hii hata shilole akianzisha team yake haitakua na msisimuko wowote kwa sababu shilole hashindani na mtu yoyote!
 
Its OK!!kama unaamua kujitoa we jitoe tu ila mi bado kabisa mpaka diamond mwenyewe atangaze kwamba hataki team,hizi team zipo hata huko nje na watu wanafikia hatua ya kuchapana makonde kisa tu team!!!

Waanze wenyewe kwanza wasanii kukataa hizi team ndipo sisi tutafata!

Diamond kasema jana hzi team hazitaki na hana time nazo.
Uzi hizi mbili kuendelea wepo hapa ni kuendelea jazana chuki na uhasama.

"UA TIMU,.."
 
Diamond kasema jana hzi team hazitaki na hana time nazo.
Uzi hizi mbili kuendelea wepo hapa ni kuendelea jazana chuki na uhasama.

"UA TIMU,.."

Sijasikia hiyo sentensi ya diamond kusema hazitaki hizi team!alisema kwamba "hizi team zina faida na hasara yake lakini mi sijasikia aliposema hazitaki hizi team!usiongeze maneno tafadhali ambayo hajaongea.

Hapa hakuna uzi utakaofutwa,we kama unataka anzisha uzi wako wa kupinga hizi team lakini usitake wote tufate mawazo yako.We endelea na kampeni yako ila kwangu imegonga mwamba mpaka diamond atangaze kutotambua uwepo wetu
 
Wazo lako unaweza ukawa sahihi ila unapotoka endapo ukianza kuchukia vtu serious hizi tatizo kuliko kubwa among hizi timu sio kwamba kuua mziki. Tatizo ni watu hawapendi kuheshimu wengine wakipendacho na Ku control mihemko.
Haya mambo yapo tangu zamani sema hakukua na mitandao ndo watu wanapakusemea.
Kuwa na chuki hakuhalalishi wengine kuto ku express feelings.
Napinga wazo lako LA kufutwa kwa hizi nyuzi kwa kisingizio cha chuki na kuuua mziki . Hayo ni mawazo ago ya kidikiteta kabisa invisible please ziachie hizi nyuzi. Mtu ka unaona hazifai usikoment chochote wenye kujisikia wa comment. Kila jambo na zama zake kufuta sio solution.

Hata wakifuta izo nyuzi sitopoteza mda kuufatilia mziki Wa baba levo au quick racker

Wanataka kuwazuia watu kushabakia vitu wanavyovipenda yaani wanazuia mafuriko kwa mikono
 
Si unajua mapumziko leo' sasa niliamua sikiliza radio kwa umakini, nimegundua ujinga mwingi wa matimu haya.. Yani haya matimu yanaenda kwa media sasa. Ni hatari sana.

Nashukuru kijana huyu aliyeanzisha uzi huu. Ngoma kali nying hazipewi nafasi na promo kama hawa wawili. Na nina uhakika ukifuatilia kwa makini kuna presenters na djs tayari wana team. SAD.

Kweli kabisa, ushabiki umepitiliza Mpaka imekuwa upofu... Walioko chini ndio wanazidi kudidimia....
 
Hongera kwa kuufanyia kazi ushauri wangu.

Be part of the changes you want to see.

BTW Slogan yako ya mwisho ni nzuri, kuna watu bado wanapinga sana hili wazo labda tungependa kupata maoni zaidi hii hali wanaionaje? Is it healthy anyway kwa muzik wetu wa Bongoflava?

Kuna mdau amesema watu wanammind kabisa DJ kwa nini hapigi mziki wa Kiba, ukifuatilia hapo utaona ni kwa sababu wamesikia track ya Chibu imechezwa so wanataka iwe balanced acheze na ya Kiba pia on the same session. Sio sawa, kama tunataka muziki upate mzani sawa basi na ya wasanii wengine ipate support sawa sawa na hii inayofanyika kwa hawa vijana wawili wa Kigoma. Tusiendekeze unazi hadi ukatupofusha.

Naunga mkono slogan yako #UA TIMU SUPPORT BONGO FLAVA HOLISTICALLY.

Pamoja sana mkuu, ahsante kwa support yako kwa mawazo yangu.
Kampeni ndo imeanza na haitostop mpaka timu hzi zife.

Ni vigumu sana kuwabadilisha watanzania kwa kile walichoamua hata kama si sahii.

Na wakati mwingine unakosa majibu MIAKA HAMSINI YA UHURU NA UPENDELEO WA MALI ASILI... Watoto mashuleni hawana madawati na CCM yaendelea shinda.

Mdogomdogo tutafika lakini.
 
Hapo dada unapotoka, unaposema kila msanii aanzishe team yake. Its very wrong.

Kumbuka hizi team zilianza kimizahamizaha, lakini ghafla mtu unajikuta unajenga chuki kali kabisa for no reason. Hili lilianza ntokea mimi, nashkuru nimeshtuka mapema. For sure nilianza chuki kali kabisa dhdi ya kiba, as kitu kinapoendekezwa na kupambwa sana kinageuka kinajenga mizizi na kinakuwa kweli. Kuja shtuka inakuwa too late. Mziki ushakufa.

Hapa tuwaite Matola na Chinga One wafanye consultations na Invisible na Moderator uzi hzi mbili zifutiliwe mbali., ambazo nimesha apa sintang'aa tena ktk uzi hzo mbili.

Kama tunataka tuwe chachu ya mabadiliko tuanze sisi. IT BEGINS WITH US.

"UA TIMU, BRING BACK BONGO FLAVOR TO ALL ARTISTS"

Duh stagnant mind! Plato alisema conflicting ndiyo chachu ya Maendeleo sasa nashangaa nyie mnaogopa.

Kwa hoja basi sitoshangaa ukitoa wazo CHADEMA na maCCM vifutwe na turudi mfumo wa chama kimoja.

Hao wakina Mirror nao ni wajibu wao wakomae na game hadi waje wafike level za Kiba na Diamond its possible, kwani hao nao hawazuka tu by surprise from a vacuum bali nao walijiwekeza vya kutosha kwenye mioyo ya washabiki zao kupitia ubora wa kazi zao.
 
Last edited by a moderator:
Ni swala la muda tu mkuu! Barakah da prince naye toka zamani aliwah kutoa nyimbo kali na nzuri lakin hakuweza kung'aa kivile.

Tumpe muda #mirror naamin atafika mbali japo kuna umuhimu wa kuitazama upya management yake hasa katika upande wa promo na kulibrand jina lake.

Inawezekana kati ya siku zote leo ndo umeongea point! Hadi nimekugongea like teh teh!
 
Mirror ni wa mda aisee, mara ya kwanza nilimuona kwenye fiesta ya 2012 ya Rickross, aliperform akapata shangwe za kutosha hasa za kina dada nikajua huyu mtoto ana damu nzuri atakuja kusumbua sana. But leo 2015 sioni hatua yoyote aliyopiga japo ana ngoma kali

Wewe..kweli..mwenzako.kapiga hatua...ana passo sasa hivi😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom