Sawa mkuu, nimekuelewa vizuri sana , tatizo ni hizi shule zetu za kata.Kama ulimaanisha hivyo basi ulikosea namna ya kuandika.
Ulipaswa kuandika ‘Waafrika’ na siyo ‘wa Afrika’.
Sawa mkuu, nimekuelewa vizuri sana , tatizo ni hizi shule zetu za kata.Kama ulimaanisha hivyo basi ulikosea namna ya kuandika.
Ulipaswa kuandika ‘Waafrika’ na siyo ‘wa Afrika’.
Jibu hoja. Kama uislam ujinga basi tuachie na ujinga wetu lkn makafiri wenzio wakubwa akina papa wanaona uislam ndio njia sahihi wanachofata huko na maslahi ya kifedha tuLogical non sequitur.
Rubbish.
Uislamu huku watu wanauona ujinga tu.
Haha. Ndio mnauana kwa mali . Halafu roho mbaya hio. Ukisha kufa unadhani nikusaidia. Si unaacha watu wanazichezeaHii inafaa zaidi Uarabuni labda na kwa Wahindi ambako mali huwa zinatafutwa zaidi na kumilikiwa kifamilia, kiukoo au kijamii. Mtu aliyezitafuta pesa zake mwenyewe huwezi kumpangia mlolongo wote huo, yeye mwenyewe kwa utashi wake ndiye ataamua anagawaje urithi wake.
Jibu hoja. Kama uislam ujinga basi tuachie na ujinga wetu lkn makafiri wenzio wakubwa akina papa wanaona uislam ndio njia sahihi wanachofata huko na maslahi ya kifedha tu
Hata mbowe alishatskiwa kwa ugaidi tena mkiristo hasa yule. Unasemaje hapo?Mimi nimekuacha na ujinga wako, wewe ndiye unaleta habari za Uislamu kwenye uzi wa mtu ambaye hakujali lolote kuhusu Uislamu.
Unalazimisha Uislamu uwe relevant katika sehemu ambayo Uislamu ni irrelevant.
Uzi wa Kobe Bryant lakini unalazimisha tu habari za Uislamu.
Ugaidi wa kimawazo tu huu.
Logical non sequitur fallacy.Hata mbowe alishatskiwa kwa ugaidi tena mkiristo hasa yule. Unasemaje hapo?
Kama wao hawakutimiza wajibu wao hawakukupa maisha mazuri na walikuwa na nafasi nzuri kutoka kwa wazazi wao unategemea nini?Kuwapa maisha mazuri wazazi Wako kunahitaji sheria za mirathi?!
Uislam siyo kinga ya ujinga wako na siyo mila za Kiafrika ni za Waarabu na ndiyo maana wao wanaoana ndugu kwa ndugu ili kulinda mali zisipoteeUnaongea utumbo wakati wewe ni muislamu kabisa
Wakale mafundisho ya kiislam au msikitini sasa,kumbe we chiizi!!Kwa mafundisho ya kiislamu huyo kobe kafanya makosa makubwa mno
Sijakuelewa ulichokiandika kwakweliWakale mafundisho ya kiislam au msikitini sasa,kumbe we chiizi!!
Sent from my SH-52C using JamiiForums mobile app
Kwani kinachokuumiza wewe ni kuoana ndugu kwa ndugu? Mbona hata biblia inaeleza Yakobo alimuoa mtoto wa mjomba yake? Je Yakobo alikuwa mwarabu?Uislam siyo kinga ya ujinga wako na siyo mila za Kiafrika ni za Waarabu na ndiyo maana wao wanaoana ndugu kwa ndugu ili kulinda mali zisipotee
Sent from my SH-52C using JamiiForums mobile app
Unajua katika taratibu za Maisha au Sheria kuna kitu kinaitwa general rule, lakini general rule inaweza kurekebishwa Kwa Jambo Fulani kutokana na mazingira ya suala lililopo. Mfano Mtoto WA chini ya umri WA miaka 18 haruhusiwi kuingia mkataba wowote, lakini ikiwa jambo aliloingia ni necessity, but Sheria itatambua huo mkataba au hilo Jambo.Kitu cha muhimu kabisa ni kwamba mzazi ana wajibu wa kumlea mtoto mpaka afikishe umri fulani. Zaidi ya hapo ni option kuendelea kum support.
Na mtoto akifikisha umri fulani, anaanza kujipanga kuwa na watoto wake na kuwalea.
Mtoto akianza kazi tu, anatakiwa kuanza ku focus ku save kwa ajili ya nyumba yake, kwa ajiki ya mafao yake ya uzeeni, kwa ajili ya kusomesha watoto wake, hapo uje umuongezee na kuhudumia wazazi wake tena? Kwani wazazi hawakujipanga siku zote hizo?
Labda mimi niko biased kwa sababu wazazi wangu hawahitaji msaada.
Lakini naona, jii mipango ya mtoto kutegemewa kumhudumia mzazi kwa kiasi kikubwa ni mzazi kukosa kujipanga, na kwa kiasi k8ngine kikubwa ni matatizo ya uchumi wetu kiujumla kamanulivyosema sitaki kuwa mtu nisiyetambua hilo, ila kama tuna matatizo ya uchumi, tuyatatue, tukiwawekea mzigo huo watoto, italeta mzigo mkubwa sana kwa mtoto kuhudumia watoto wake na wazazi.
Imagine baba umeshindwa kujiwekea akiba ya uzeeni mpaka unamtegemea mtoto, haponunatengeneza vicious cycle of poverty, huyo mtoto wako ukiwa unamtegemea yeye, na watoto wake wanamtegemea yeye, inakuwa kama jeshi moja linalopigana vita ya pande mbiki, atachoka mapema sana na atashindwa kufanya mambo yake mengi ya maendeleo. Kizazi hata kizazi tutabaki kwenye umasikini tu.
Tutakuwa tunafanya kazi kuhudumia watoto na wazazi tu, hakuna uwekezaji wala maendeleo.
Kama tulikuwa na mipango hiyo huko nyuma, tujipange tuondoke huko.
Halafu, tu normalize watoto kufocus kutunza watoto wao, sio wazazi. Tuondokane na mfumo wa kijima wa kufanya watoto kuwa ndiyo akiba ya uzeeni, hao watoto wakifa kabla ya wazazi, wazazi watafanya nini? Watoto wasipojali wazazi, wazazi watafanya nini?
Kama kuna umuhimu wa kutunza na kurithi, basi iwe mzazi ndiye anamtunza na kumrithisha mtoto, si mtoto kumtunza na kumrithisha mzazi.
Kama tuna matatizo ya kiuchumi, tuyatatue hayo matatizo ya kiuchumi, tusiwabebeshe watoto kazi za kutunza wazee kwa sababu tumeshindwa kutatua matatizo yetu ya uchumi na tunawafanya hao watoto kuwa ndiyo mafao yetu ya uzeeni.
Wao nao wanatakiwa kutunza watoto wao.
Mkuu,Unajua katika taratibu za Maisha au Sheria kuna kitu kinaitwa general rule, lakini general rule inaweza kurekebishwa Kwa Jambo Fulani kutokana na mazingira ya suala lililopo. Mfano Mtoto WA chini ya umri WA miaka 18 haruhusiwi kuingia mkataba wowote, lakini ikiwa jambo aliloingia ni necessity, but Sheria itatambua huo mkataba au hilo Jambo.
Sasa Kwa Kobe ana Mali zilizopotiliza, hivyo kuwapa kidogo wazazi wake sio kitu kibaya.
Tuna sema ni kutoa kama kutambua uwepo wao na kitu au nafasi walio kupatia katika Maisha yako.
Kwanini umnyenyekee?Sio dini ya kiarabu...uislamu maana yake ni kumnyenyekea na kumtii aliyeiumba mbingu na ardhi na kila kilichomo ndani yake
Ni dini ya mwarabu kiasili imeanzia uarabuni.Sio dini ya kiarabu...uislamu maana yake ni kumnyenyekea na kumtii aliyeiumba mbingu na ardhi na kila kilichomo ndani yake
Unataka kumfundisha ugaidi?Mkuu nakushauri ingia kwenye uislamu
Sio principle, ni wajibu wa watoto kuwatunza Wazazi wao. Hivi mkuu, Mzee wako akiumwa, wewe hutamuuguza!?Mkuu,
Mali si issue. Kuna watu wana mali ndogo sana na wanawapa wazazi wao, na kuna watu wana mali nyingi sana na hawawapi wazazi wao.
Waswahili katika mfumo wao walijua hili, wakasema "Kutoa ni moyo, usambe utajiri".
Mtoto ana haki ya kukataa kumsaidia mzazi wake bila kunyanyapaliwa kwamba kakataa kumsaidia mzazi wake, awe ana mali au hana mali. Cha mtoto kinashuka chini kwa mtoto wake, hakirudi juu kwa baba.
Yani yule ambaye hana mali akishindwa kusaidia wazazi wake kwa sababu hana mali na yule mwenye mali akikataa kusaidia wazazi kwa sababu hataki tu, wote wawe sawa, wote ni watoto, hawana wajibu wa kumsaidia mzazi, wajibu ni wa mzazi kulea watoto, si wa mtoto kulea mzazi.
Suala ni principle, wala si mali.
Sie kiafrika pia Ni lazima kuwatunza. Hili halihitaji mpaka mzungu ama mtu mweupe anipe utaratibu namna ya kuishi.Katika uislamu kuwatunza wazazi ni lazima na sio ombi kutokufanya hivyo ni dhambi kubwa itakayokufanya uingie jahanam.......
Mwenyezi haikubali ibada ya mtu asiyewatendea wema wazazi wake............