Mirathi ya Kobe Bryant yazua gumzo USA, utajiri wote wagawanywa kwa mke na watoto huku wazazi wakiishi kimaskini

Logical non sequitur.

Rubbish.

Uislamu huku watu wanauona ujinga tu.
Jibu hoja. Kama uislam ujinga basi tuachie na ujinga wetu lkn makafiri wenzio wakubwa akina papa wanaona uislam ndio njia sahihi wanachofata huko na maslahi ya kifedha tu
 
Hii inafaa zaidi Uarabuni labda na kwa Wahindi ambako mali huwa zinatafutwa zaidi na kumilikiwa kifamilia, kiukoo au kijamii. Mtu aliyezitafuta pesa zake mwenyewe huwezi kumpangia mlolongo wote huo, yeye mwenyewe kwa utashi wake ndiye ataamua anagawaje urithi wake.
Haha. Ndio mnauana kwa mali . Halafu roho mbaya hio. Ukisha kufa unadhani nikusaidia. Si unaacha watu wanazichezea
 
Jibu hoja. Kama uislam ujinga basi tuachie na ujinga wetu lkn makafiri wenzio wakubwa akina papa wanaona uislam ndio njia sahihi wanachofata huko na maslahi ya kifedha tu

Mimi nimekuacha na ujinga wako, wewe ndiye unaleta habari za Uislamu kwenye uzi wa mtu ambaye hakujali lolote kuhusu Uislamu.

Unalazimisha Uislamu uwe relevant katika sehemu ambayo Uislamu ni irrelevant.

Uzi wa Kobe Bryant lakini unalazimisha tu habari za Uislamu.

Ugaidi wa kimawazo tu huu.
 
Mimi nimekuacha na ujinga wako, wewe ndiye unaleta habari za Uislamu kwenye uzi wa mtu ambaye hakujali lolote kuhusu Uislamu.

Unalazimisha Uislamu uwe relevant katika sehemu ambayo Uislamu ni irrelevant.

Uzi wa Kobe Bryant lakini unalazimisha tu habari za Uislamu.

Ugaidi wa kimawazo tu huu.
Hata mbowe alishatskiwa kwa ugaidi tena mkiristo hasa yule. Unasemaje hapo?
 
Kitu cha muhimu kabisa ni kwamba mzazi ana wajibu wa kumlea mtoto mpaka afikishe umri fulani. Zaidi ya hapo ni option kuendelea kum support.

Na mtoto akifikisha umri fulani, anaanza kujipanga kuwa na watoto wake na kuwalea.

Mtoto akianza kazi tu, anatakiwa kuanza ku focus ku save kwa ajili ya nyumba yake, kwa ajiki ya mafao yake ya uzeeni, kwa ajili ya kusomesha watoto wake, hapo uje umuongezee na kuhudumia wazazi wake tena? Kwani wazazi hawakujipanga siku zote hizo?

Labda mimi niko biased kwa sababu wazazi wangu hawahitaji msaada.

Lakini naona, jii mipango ya mtoto kutegemewa kumhudumia mzazi kwa kiasi kikubwa ni mzazi kukosa kujipanga, na kwa kiasi k8ngine kikubwa ni matatizo ya uchumi wetu kiujumla kamanulivyosema sitaki kuwa mtu nisiyetambua hilo, ila kama tuna matatizo ya uchumi, tuyatatue, tukiwawekea mzigo huo watoto, italeta mzigo mkubwa sana kwa mtoto kuhudumia watoto wake na wazazi.

Imagine baba umeshindwa kujiwekea akiba ya uzeeni mpaka unamtegemea mtoto, haponunatengeneza vicious cycle of poverty, huyo mtoto wako ukiwa unamtegemea yeye, na watoto wake wanamtegemea yeye, inakuwa kama jeshi moja linalopigana vita ya pande mbiki, atachoka mapema sana na atashindwa kufanya mambo yake mengi ya maendeleo. Kizazi hata kizazi tutabaki kwenye umasikini tu.
Tutakuwa tunafanya kazi kuhudumia watoto na wazazi tu, hakuna uwekezaji wala maendeleo.

Kama tulikuwa na mipango hiyo huko nyuma, tujipange tuondoke huko.

Halafu, tu normalize watoto kufocus kutunza watoto wao, sio wazazi. Tuondokane na mfumo wa kijima wa kufanya watoto kuwa ndiyo akiba ya uzeeni, hao watoto wakifa kabla ya wazazi, wazazi watafanya nini? Watoto wasipojali wazazi, wazazi watafanya nini?

Kama kuna umuhimu wa kutunza na kurithi, basi iwe mzazi ndiye anamtunza na kumrithisha mtoto, si mtoto kumtunza na kumrithisha mzazi.

Kama tuna matatizo ya kiuchumi, tuyatatue hayo matatizo ya kiuchumi, tusiwabebeshe watoto kazi za kutunza wazee kwa sababu tumeshindwa kutatua matatizo yetu ya uchumi na tunawafanya hao watoto kuwa ndiyo mafao yetu ya uzeeni.

Wao nao wanatakiwa kutunza watoto wao.
Unajua katika taratibu za Maisha au Sheria kuna kitu kinaitwa general rule, lakini general rule inaweza kurekebishwa Kwa Jambo Fulani kutokana na mazingira ya suala lililopo. Mfano Mtoto WA chini ya umri WA miaka 18 haruhusiwi kuingia mkataba wowote, lakini ikiwa jambo aliloingia ni necessity, but Sheria itatambua huo mkataba au hilo Jambo.
Sasa Kwa Kobe ana Mali zilizopotiliza, hivyo kuwapa kidogo wazazi wake sio kitu kibaya.
Tuna sema ni kutoa kama kutambua uwepo wao na kitu au nafasi walio kupatia katika Maisha yako.
 
Unajua katika taratibu za Maisha au Sheria kuna kitu kinaitwa general rule, lakini general rule inaweza kurekebishwa Kwa Jambo Fulani kutokana na mazingira ya suala lililopo. Mfano Mtoto WA chini ya umri WA miaka 18 haruhusiwi kuingia mkataba wowote, lakini ikiwa jambo aliloingia ni necessity, but Sheria itatambua huo mkataba au hilo Jambo.
Sasa Kwa Kobe ana Mali zilizopotiliza, hivyo kuwapa kidogo wazazi wake sio kitu kibaya.
Tuna sema ni kutoa kama kutambua uwepo wao na kitu au nafasi walio kupatia katika Maisha yako.
Mkuu,

Mali si issue. Kuna watu wana mali ndogo sana na wanawapa wazazi wao, na kuna watu wana mali nyingi sana na hawawapi wazazi wao.

Waswahili katika mfumo wao walijua hili, wakasema "Kutoa ni moyo, usambe utajiri".

Mtoto ana haki ya kukataa kumsaidia mzazi wake bila kunyanyapaliwa kwamba kakataa kumsaidia mzazi wake, awe ana mali au hana mali. Cha mtoto kinashuka chini kwa mtoto wake, hakirudi juu kwa baba.

Yani yule ambaye hana mali akishindwa kusaidia wazazi wake kwa sababu hana mali na yule mwenye mali akikataa kusaidia wazazi kwa sababu hataki tu, wote wawe sawa, wote ni watoto, hawana wajibu wa kumsaidia mzazi, wajibu ni wa mzazi kulea watoto, si wa mtoto kulea mzazi.

Suala ni principle, wala si mali.
 
Mkuu,

Mali si issue. Kuna watu wana mali ndogo sana na wanawapa wazazi wao, na kuna watu wana mali nyingi sana na hawawapi wazazi wao.

Waswahili katika mfumo wao walijua hili, wakasema "Kutoa ni moyo, usambe utajiri".

Mtoto ana haki ya kukataa kumsaidia mzazi wake bila kunyanyapaliwa kwamba kakataa kumsaidia mzazi wake, awe ana mali au hana mali. Cha mtoto kinashuka chini kwa mtoto wake, hakirudi juu kwa baba.

Yani yule ambaye hana mali akishindwa kusaidia wazazi wake kwa sababu hana mali na yule mwenye mali akikataa kusaidia wazazi kwa sababu hataki tu, wote wawe sawa, wote ni watoto, hawana wajibu wa kumsaidia mzazi, wajibu ni wa mzazi kulea watoto, si wa mtoto kulea mzazi.

Suala ni principle, wala si mali.
Sio principle, ni wajibu wa watoto kuwatunza Wazazi wao. Hivi mkuu, Mzee wako akiumwa, wewe hutamuuguza!?
 
Katika uislamu kuwatunza wazazi ni lazima na sio ombi kutokufanya hivyo ni dhambi kubwa itakayokufanya uingie jahanam.......

Mwenyezi haikubali ibada ya mtu asiyewatendea wema wazazi wake............
Sie kiafrika pia Ni lazima kuwatunza. Hili halihitaji mpaka mzungu ama mtu mweupe anipe utaratibu namna ya kuishi.

Ila watu beans Wana mental attitude diseases. Hizi Ni traditional and norms za watu na mazingira yao.
Kiafrika naweza nikaoa hata wanawake Mia tano Ni mradi niwatunze mbele ya Mungu wetu.
Sijajua nyie huko na Imani za waarabu na wazungu.
Hivi jamaa wanawapenda mno Mana na pia wanapenda muwe na maisha mazuri.
Watu wamekuwa addicted and mentally enslaved towards foreign beliefs.
 
Back
Top Bottom