Hivi umesoma vizuri comment yake au unakurupuka.Ni wajibu wa kisheria na maadili wazazi kulea na kutunza watoto wanaowazaa, sio wajibu wa watoto kutunza waliowazaa, ni hisani tu. Ndio maana mzazi anaweza kupelekwa mahakamani akaamriwa na mahakama kisheria kutoa matunzo ya mtoto ila mtoto hawezi kupelekwa mahakamani akaamriwa kutoa matunzo ya wazazi au ndugu.