Ni utamaduni wa umimi.Ukweli wamarekani wana utamaduni wa ajabu sana, how can a person be worth Trillions of Money and his parents are broke? This life is not fair.
Wengi tuUna wazazi?
Wengi tuUna wazazi?
Nishaanza kuzeeka na siogopi hilo.Huna mtoto wewe eti mpenzi mtazamaji .
....hta wewe utazeeka na unakuta umefanya effort ila pesa ulilipia ada watoto na wakipata baadae wasikuangalie wewe Uwe mpenzi mtazamaji ni wao na wake zao tu how will you feel?fucking ushauri....
Hakuna kosa ni sahihi kabisa kama hao wazazi ni wema basi wajukuu watawatunzaWamarekani wanamlaumu Kobe Kobe ana makosa ya kutowapa wazazi wake maisha hakuandika wosia kabla hajafa hivyo ni kama alichagua kutojumuisha wazazi wake katika wosia wake hivyo mali zote zimeenda kwa mke wake.
Ukweli wamarekani wana utamaduni wa ajabu sana, how can a person be worth Trillions of Money and his parents are broke? This life is not fair.
Kobe Bryants parents are broke. His dad was forced to auction off the ring Kobe gave him in the year 2000 ili apate hela ya ku survive huku mkewe na Kobe kapewa mirathi ya dola milioni 600 ambazo kobe kaacha bank.
Could be Kobe mwenyewe walimuua kwa kumuwekea bomu kwenye ndege ingawa walificha kicho kitu ili watu wagawaneWamarekani wanamlaumu Kobe Kobe ana makosa ya kutowapa wazazi wake maisha hakuandika wosia kabla hajafa hivyo ni kama alichagua kutojumuisha wazazi wake katika wosia wake hivyo mali zote zimeenda kwa mke wake.
Ukweli wamarekani wana utamaduni wa ajabu sana, how can a person be worth Trillions of Money and his parents are broke? This life is not fair.
Kobe Bryants parents are broke. His dad was forced to auction off the ring Kobe gave him in the year 2000 ili apate hela ya ku survive huku mkewe na Kobe kapewa mirathi ya dola milioni 600 ambazo kobe kaacha bank.
Wewe Nyani , wazazi wako hawakukusaidia kufika sehemu fulani ya Maisha yako.Hawana kazi wanazofanya?
Mambo ya kutegemea mtu/watu maishani ni mabaya sana.
Mfano mmezaliwa 4 , Mzazi au wazazi wamewa somesha wote, sasa wewe na wenzio mnashindwa kuirudisha kidogo Kwa wazazi wenu yaani mama na BabaMaji hayapandi mlima.
Mara zote maji hutiririka chini.
Kumsaidia mzazi si lazima. Mzazi ndiye ana ulazima wa kumwinua mtoto wake.
Sheria za Kiislam ni sheria za jamii ya kizamani sana, mtu ukichuma mali zako hupaswi kupangiwa matumizi yake.Grudges , grudges, grudges.............she hold those for a loooooong time .
Ila sheria za kiislamu tamu sana kwa sababu kwenye mirathi hadi wazazi wapo pia mfano mume anaweza rithiwa na mke wake, watoto wake , wazazi wake na kuna muda hadi ndugu baadhi upande wa mume wanarithi na kwa mke vivyo hivyo.
Na kuwatunza wazazi wawili ni jukumu la lazima la mtoto as long as upo hai na kushindwa kufanya hivyo ni madhambi makubwa mno.
Kwanini umpe Mzazi mzigo huo kama kuna mazingira ambayo, yalimsababisha, ashindwe kuweka kiwango cha kutosha au cha kuboresha zaidi Maisha yake.Kutunza wazazi ni hisani tu, sio wajibu.
Wazazi wanatakiwa watafute pesa zao wawaachie watoto wao urithi.
Kobe Bryant alikuwa Mkatoliki kama sikosei.Sasa unalaumu nn hapo?
Wazazi walikuwa na maisha yao wakamzaa kobe.
Kobe akawa na maisha yake akatengeneza familia yake, maana yake kobe akawa kizazi kingine mbele.
Sasa mzazi anahusikaje hapo zaidi ya hisani tu?
Yaani nisiipende familia yangu kwa sababu ya mzazi wangu?
Mzazi anatakiwa kuwa mpenzi mtazamaji..
Anajukumu la kupenda mkwe wake na wajukuu pia, akitimiza hilo atapendwa na familia yote na hizo offer atapata tu, kama si kwangu basi kwa mke wangu au wajukuu zake.
Hii sio sawa especially kama mungu amekujalia ukwasi si mbaya wazazi wako ukawajali na kuwahudumia mahitaji yao muhimu.Sasa unalaumu nn hapo?
Wazazi walikuwa na maisha yao wakamzaa kobe.
Kobe akawa na maisha yake akatengeneza familia yake, maana yake kobe akawa kizazi kingine mbele.
Sasa mzazi anahusikaje hapo zaidi ya hisani tu?
Yaani nisiipende familia yangu kwa sababu ya mzazi wangu?
Mzazi anatakiwa kuwa mpenzi mtazamaji..
Anajukumu la kupenda mkwe wake na wajukuu pia, akitimiza hilo atapendwa na familia yote na hizo offer atapata tu, kama si kwangu basi kwa mke wangu au wajukuu zake.
Tatizo lako unashindwa kuelewa kanuni, watoto kusaidia wazazi ni hisani tu na hisani hailazimishwi, wazazi kulelea watoto ni wajibu na wajibu unaweza kulazimishwa hadi kisheria ukionekana hutekelezi wajibu wako ipasavyo.Mfano mmezaliwa 4 , Mzazi au wazazi wamewa somesha wote, sasa wewe na wenzio mnashindwa kuirudisha kidogo Kwa wazazi wenu yaani mama na Baba
Kujisalimisha kwa AllahUislamu ni nini?
Mpaka wazazi wako wasikutegemee ilhali hali yako inaruhusu?Hawana kazi wanazofanya?
Mambo ya kutegemea mtu/watu maishani ni mabaya sana.
Ngozi nyeusi ni kasheshe kila pahala.Kobe yeye kwa nini hakuwapa ama kuwasaidia wazazi wake akiwa hai?
Mwanaume cha kwanza unachotakiwa kufanya ukifanikiwa ni ku uplift kwanza background yako kabla hujaamua kusimama mwenyewe.
How comes jamaa aliwaacha na kuwatelekez wazazi wake bila kuwainua?
Watu weusi wa ulaya wana malezi mabaya sana. Angalia Ronaldo, amepata pes acha kwanza ni nyumbani, kuinua watu wako, kuinua ndugu zako kisha unaamua kujiinua mwenyewe
Shida ilikua kwa kobe, alikua mtu wa hovyo.