Mimea ina akili?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
4,695
6,398
Huo hapo chini ni mche wa tunda la PASHENI. Inafahamika kuwa katika ukuaji wake, hutambaa juu ya miti au egemeo litakalokuwa jirani yake. Nilikuwa nasubiri ukue vya kutosha ndipo niuwekee egemeo. Lakini nimeshangaa kukuta umeshajisogeza kwenye fensi na kuendelea kukua kwa kuukwea.

Hakuna mtu aliyeuelekeza upande huo. Na kwa mazingira ya eneo hilo, nilitarajia ungekua kwa kuelekea upande wa Magharibi, badala ya Mashariki ambako ndiko kulipo na fensi.

Umewezaje kutambua kuwa egemeo lipo upande wa Mashariki na kuamua kuufuata bila usaidizi wa binadamu?

Je! Mimea ina akili?

Mimea ina macho au namna ya kuhisi?

Kuna tafiti za Kisayansi zilishawahi kufanyika kubaini kama mimea ina uwezo wa utambuzi?
IMG_20231008_181719.jpg
IMG_20231008_181758.jpg
IMG_20231008_181709.jpg
 
Mimea ina kitu kinachosense stimuli mbali mbali.
Mfano Geotropisim - Mmea huelekea upande tofauti na nguvu ya uvutano wa Dunia na Jua.
Phototropisim - Mmea hukua kuelekea uelekeo wenye mwanga wa jua.
Mmea umeumbwa na uwezo wa ku sense mimea iliyo jirani kwa kutumia vitu kama vile kivuli kutambua kusa kuna mmea jirani hivyo kuufuata.
 
Mimea ina kitu kinachosense stimuli mbali mbali.
Mfano Geotropisim - Mmea huelekea upande tofauti na nguvu ya uvutano wa Dunia na Jua.
Phototropisim - Mmea hukua kuelekea uelekeo wenye mwanga wa jua.
Mmea umeumbwa na uwezo wa ku sense mimea iliyo jirani kwa kutumia vitu kama vile kivuli kutambua kusa kuna mmea jirani hivyo kuufuata.
Na atashangaa sana
 
ni elimu ya kidato cha pili kama sikosei au msingi sayansi kimu nafikiri mambo ya mjongeo
Ni kweli mkuu, ila hatukuambiwa kama na yenyewe ina akili kama wanyama.

Ni kweli ni viumbe hai, lakini na akili pia inayo?
 
Mimea ina kitu kinachosense stimuli mbali mbali.
Mfano Geotropisim - Mmea huelekea upande tofauti na nguvu ya uvutano wa Dunia na Jua.
Phototropisim - Mmea hukua kuelekea uelekeo wenye mwanga wa jua.
Mmea umeumbwa na uwezo wa ku sense mimea iliyo jirani kwa kutumia vitu kama vile kivuli kutambua kusa kuna mmea jirani hivyo kuufuata.
🙏🙏🙏

Ila inashangaza sana. Shukran sana mkuu!
 
Huo hapo chini ni mche wa tunda la PASHENI. Inafahamika kuwa katika ukuaji wake, hutambaa juu ya miti au egemeo litakalokuwa jirani yake. Nilikuwa nasubiri ukue vya kutosha ndipo niuwekee egemeo. Lakini nimeshangaa kukuta umeshajisogeza kwenye fensi na kuendelea kukua kwa kuukwea.

Hakuna mtu aliyeuelekeza upande huo. Na kwa mazingira ya eneo hilo, nilitarajia ungekua kwa kuelekea upande wa Magharibi, badala ya Mashariki ambako ndiko kulipo na fensi.

Umewezaje kutambua kuwa egemeo lipo upande wa Mashariki na kuamua kuufuata bila usaidizi wa binadamu?

Je! Mimea ina akili?

Mimea ina macho au namna ya kuhisi?

Kuna tafiti za Kisayansi zilishawahi kufanyika kubaini kama mimea ina uwezo wa utambuzi?

Mimea Huhisi Maumivu Katika Quran​

Januari 21, 2023 Miujiza ya Quran

Mimea Huhisi Maumivu Katika Quran​

?
Quran 17:44
Zinamtakasa mbingu saba na ardhi na vilivyomo ndani yake. Na hakuna chochote isipokuwa kinamtukuza Mwenyezi Mungu kwa sifa zake, lakini nyinyi hamufahamu jinsi wanavyotakasika. Hakika Yeye ni Mpole na Msamehevu.

📖 Quran 22:18
Je, huoni kwamba vinamsujudia Mwenyezi Mungu vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini na jua na mwezi na nyota na milima na miti na viumbe vinavyotembea na watu wengi ? Lakini juu ya wengi adhabu imehalalishwa. Na ambaye Mwenyezi Mungu amemdhalilisha, hana wa kumstahi. Hakika Mwenyezi Mungu hufanya apendavyo.

  • Imethibitishwa kisayansi kwamba mimea hutoa machozi au maji ili kujilinda kutokana na athari mbaya za bakteria na kuvu. Madhumuni ya maji haya ni kupigana na vimelea vya magonjwa, kudhibiti na kudumisha viwango vya unyevu vyema kwenye majani, na kwa usafiri wa virutubisho kwenye mmea.
  1. Rejea : Je, Mimea Hulia?
  2. Mimea Marejeleo Ina Hisia Pia

Taarifa za ziada

Quran inachukuliwa kuwa kitabu cha miujiza kutokana na uwezo wake unaotambulika wa kutoa mwongozo, hekima, na kutabiri matukio yajayo. Ufasaha wake na uzuri wake wa kifasihi pia huchukuliwa kuwa miujiza na wengi. Zaidi ya hayo, Waislamu wanaamini kwamba Quran ina habari za kisayansi ambazo hazikujulikana wakati ilipoteremshwa na kwamba huo ni ushahidi wa asili yake ya kimungu. Hii ni pamoja na habari juu ya embryology, astronomy, na nyanja zingine za sayansi, Waislamu wanaamini kwamba uhifadhi wa Quran na ukweli kwamba imebaki bila kubadilika kwa zaidi ya miaka 1400 pia ni muujiza.
 
Huo hapo chini ni mche wa tunda la PASHENI. Inafahamika kuwa katika ukuaji wake, hutambaa juu ya miti au egemeo litakalokuwa jirani yake. Nilikuwa nasubiri ukue vya kutosha ndipo niuwekee egemeo. Lakini nimeshangaa kukuta umeshajisogeza kwenye fensi na kuendelea kukua kwa kuukwea.

Hakuna mtu aliyeuelekeza upande huo. Na kwa mazingira ya eneo hilo, nilitarajia ungekua kwa kuelekea upande wa Magharibi, badala ya Mashariki ambako ndiko kulipo na fensi.

Umewezaje kutambua kuwa egemeo lipo upande wa Mashariki na kuamua kuufuata bila usaidizi wa binadamu?

Je! Mimea ina akili?

Mimea ina macho au namna ya kuhisi?

Kuna tafiti za Kisayansi zilishawahi kufanyika kubaini kama mimea ina uwezo wa utambuzi?
Sasa kama ungekutana na hii inayotembea si unge bongonyoka kabisa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom