Nimepitia koments na michango mingi ya watu, nimeona nami niweke wangu.
Hizi mimba za kuzimu ambazo lengo lake ni kuleta uhai mpya duniani.
Kumbuka ule uzao wa YESU ulivyofanyika ambapo Roho iliweza tunga mimba kwa mwili yaani na binadamu bila muingiliano wa kimwili. Hii mbinu Shetani ka adopt na kuitumia kwa kiwango anachoweza.
Watoto wa kuzimu au watoto wa dawa kama jina lililo maarufu mitaani kwetu wapo aina kazaaaa.
1. Kuna watoto wanaopatikana baaada ya baba au mama kuondolewa vizuizi vya kuzaaaa vilivyo fanywa na tiba asili yaaan mitishamba . Huu ni utabibu tu na kutibu tatizo hilo kma vile unavyo tibiwa kuumwa tumbo, kipanda uso, Vidonda vya tumbo n.k
Hapa mbegu za baba na mama zimeleta kiumbe kwa njia ya asili kabisa. Hawa watoto wana ubinadamu 100%.
2. Watoto waliopatikana baada ya mama au baba kukosa huwezo wa kutengeneza mtoto wa njia ya kawaida. Hawa huenda kufanya shirk ili kuweza kupata mtoto,
Yaaani wanaenda kuforce kingi
"Kumbuka nguvu ya uhai utokea kwenye uhai, ili nature iendeleee ku balance" ndio maan hapa sasa utaombwa kafara n.k ili kukamilisha zoezi
Hapa yanaweza kufanyika kwa mtindi mbal mbali kulingana na mbinu, uzoef na taaalum za mganga.
A.Unapewa jini kama dawa tu, unaenda nalo kwako bila kujua. Lakini hapo lenyewe litakuwa linafanya doria kujua nani hapo around anamimba changa wachukue wapachike kwako,? Liki pata linaenda kucheza mchezo mimba inakuja kwako, utapata dalili za mimba na ukienda kupima utakutwa nayo.
Iktokea umezaaa ndipo utakuta umezaaa mtoto shombe shombe wakati kwenu ni wakurya pure, kuzaaaa mtoto kafanan live na jirani fulani (utata kwnye ndoa).
Lakini wakikuta hakuna mimb changa , au wenye mimba hizo wana ulinzi hulazimika kufanya njia ya pili
B. Unaweza pewa jini bila wew kujua, utawekewa kama dawa uogee au unywe na uiweke ndani kwako, hapo unakuwa unaliwekea mazngira ruhusa ya kukaaa tumboni bila wew kujua.
Baada ya muda utajikuta unamimba lakini si kwa njiaa y asili utakuwa na jini ndani yako, tumboni.
Utahesabu muda ukifika utaenda jifungua , kutokana na maagano ya mganga na jini huyu jini hawezi dumu kuwa mtoto wako siku zote nini hutokea.
i. Mtoto huweza fia tumboni ili jini aweze kusepa kufanya mambo yake mengine.
ii. Ukazaaa vema mtoto ila atapotea au kufa katika mazngira ya kitata. Huwa haitokei mtoto huyu akaja mzika mzazi wake, mostly hufa before kuingia utu uzima.
Kipindi chote cha utoto wanakuwa na huelewa wa mambo yote ila wanafanya ku act tu kuwa ni watoto.
Unalibembeleza jini

noma sana. Hawa wanakuwa na tabia tabia za tofauti kabisaa zipo nyingi wakuuu wataongeza hapa
jichawi Mshana Jr na wengine.