wanaotaka mimba
kuliko kwenda kwa mganga, chukua asali vijiko viwili changanya na mdalasini wa kutosha, hadi mchanganyiko uo uwe kama big g, usiku wakati wa kulala paka katika fizi za juu na chini lala na mchanganyiko huo, au fanya mapenzi ukiwa na mchanganyiko huo na kama uko ktk siku zako za kushika mimba, au tumia mchanganyiko huo, baada ya siku tatu shiriki tendo ndani ya siku za mimba, InshaAllah naamini utapata mimba, Tiba hii nimewasaidia watu saba na wote sasa wanawatoto, ni ushauri tu niliwapa,