Mimba za kuzimu

Mimba za kuzimu

wanaotaka mimba




kuliko kwenda kwa mganga, chukua asali vijiko viwili changanya na mdalasini wa kutosha, hadi mchanganyiko uo uwe kama big g, usiku wakati wa kulala paka katika fizi za juu na chini lala na mchanganyiko huo, au fanya mapenzi ukiwa na mchanganyiko huo na kama uko ktk siku zako za kushika mimba, au tumia mchanganyiko huo, baada ya siku tatu shiriki tendo ndani ya siku za mimba, InshaAllah naamini utapata mimba, Tiba hii nimewasaidia watu saba na wote sasa wanawatoto, ni ushauri tu niliwapa,
Mmh hii ndio naisikia leo ila siwezi kupingana nayo kwakuwa najua utajiri uliopo kwenye tiba za asili
 
downloadfile-1.jpg
 
We Mshana sio sifa kujifanya kuongelea mambo ya UCHAWI na USHIRIKINA kwenye mitandao ya jamii kwani kufanya hivyo ni KUTHIBITISHIA jamii kuwa UCHAWI na USHIRIKINA upo hapa Duniani hakuna UPUMBAVU huo weweeeeeee.
Unaumri gani mkuu?
 
Jihadhari za mimba na mimba za kutafuta kwa manabii na waganga wa kienyeji.

Jaribu kufuatilia hizo mimba mpaka mwisho wake au kama watoto walizaliwa salama na kama wako hai mpaka leo hii na kama tabia zao ni za kawaida
Nimeshuhudia mara nyingi matangazo kwenye tv magazeti na radii hao wanaojiita manabii mitume na waganga wakijinasibu kuwa wamewasaidia akina mama wengi kupata ujauzito na hatimaye kujifungua watoto.

Lakini kamwe hatujawahi kuletewa mrejesho wa wale watoto maendeleo yao....kiukweli ni kwamba wengi walikufa au kupotea katika mazingira ya ajabu mno..hawa si watoto halisi.

Kujiepusha na maumivu haya nendeni hospital kapimeni wote ijulikane tatizo liko wapi au tatizo ni la nani halafu tiba yake ninini! Kama hakuna shida kila kitu kiko sawa lakini mimba hazishiki mwombeni Mungu atawajaalia mtoto wa haki...!

Msijaribu kwingineko haitawalipa.

Kitu chochote kisicho katika sheria za uhalisia, "natural laws" huwa si halisia na mara zote huwa na mwisho mbaya, shetani huwa ni mshindi siku zote. Na anashinda kwa sababu tumemruhusu. Upractice wa hayo mambo hayajawahi kumuacha mtu salama.
 
Back
Top Bottom