Mimba za kuzimu

Mimba za kuzimu

Kuna dada mmoja ana tatizo la bleeding kila wakati na ameshahangaika saana hospital imeshindikana, sasa hivi anahangaika kwa waganga lakini bado,ana miaka 40 na bado hajabahatika kupata mtoto, je unamshauri nini?
 
Kuna dada mmoja ana tatizo la bleeding kila wakati na ameshahangaika saana hospital imeshindikana, sasa hivi anahangaika kwa waganga lakini bado,ana miaka 40 na bado hajabahatika kupata mtoto, je unamshauri nini?
Kama alifanyiwa hiki kitu ni ngumu kupata tiba.....
inawezekana kabisa bleed yake ya mwisho kabla hajapata hili tatizo kuna mtu aliipata pedi yake iliyotumika akachukua kipande kidogo chenye damu akachanganya na dawa mbaya kwa maelezo ya mganga mchawi, kisha akakifunga vizuri na uzi au pini akaenda kukitupa kwenye maji yanayotembea mtoni
 
Ni karibu wote ukipata mkweli ni wa kuokoteza na darubini mchangani
Kwanza naelewa shetani ni mjaja sana maana ndo anayeyatawala makanisa na misikiti kwa kiasi kikubwa ila watu wanakimbilia kuamini kuwa shetani amamiliki freemason tu.Hata hivyo MUNGU hayupo tena makanisani anadili na mtu mmoja mmoja ivo naamini kwa nyakati hizi hamna tena nabiii wa kweli
 
Inabidi Mshana ufungue chuo uanze kufundisha watu na kwa vile humu jf una wanafunzi wakutosha si vibaya ukawajengea uwezo wakawa wakufunzi wasaidizi katika hicho chuo chako na sivibaya kama utakijengea kifaru au kilomeni,pia sivibaya kama utakijengea kikweni,tena pale nikaribu na msitu wa kamwala,pia patakuwa njia panda ya usangi.
 
Sasa apo nieleweshe vizur inakuwaje mtu anasema kwajina la yesu na kuombea kumbe anatumia jini
Uku navojua mapepo na ata ibilisi akitajiwa jina la yesu anashindwa kuzur.
Wewe ndo unaskia kuwa katamka kwajina la Yesu lakn hatamki hvyoo anatamka jila la anayempa hzo nguvuu zakipepo.
 
Kuna dada mmoja ana tatizo la bleeding kila wakati na ameshahangaika saana hospital imeshindikana, sasa hivi anahangaika kwa waganga lakini bado,ana miaka 40 na bado hajabahatika kupata mtoto, je unamshauri nini?
Mkuu tuwasiliane. Nimpeleke kwa Mtumishi Wa Mungu huyo Dada.

Hakika kama ni mpango wa kishetani wa yeye kutopata Mimba, na atapata.

Mimi niko Dar. Asante.
 
Nimekumbuka tu haya maandiko "Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake na moyoni mwake amemwacha Mungu"

Ulivyoongea hapo juu tu nimewaza eti mtu na mtoto wako maisha yenu yote yupo binadamu anayeyacontrol. Siku mkimuudhi au amefariki bahati mbaya au yeye tu akiamua ndivyo sivyo basi ndo kila kitu kushney

Mmh Mungu tunaomba ubariki matumbo yetu. Kukosa mtoto sio kitu kirahisi jamani, hata ukiambiwa ufanye kitu gani sijui, for the sake of a child mbona utajikuta unafanya tu. What matters ni wewe kuitwa mama. Mungu atusaidie jamani
suala sio Mungu abariki matumbo yenu suala ni nyie kuacha kutoatoa mimba
 
Inabidi Mshana ufungue chuo uanze kufundisha watu na kwa vile humu jf una wanafunzi wakutosha si vibaya ukawajengea uwezo wakawa wakufunzi wasaidizi katika hicho chuo chako na sivibaya kama utakijengea kifaru au kilomeni,pia sivibaya kama utakijengea kikweni,tena pale nikaribu na msitu wa kamwala,pia patakuwa njia panda ya usangi.
Vipi serikali itanipa ruzuku? Kama hili litafanyika hakuna shida
 
Dah! Ila mshana jr sipati picha ulivyojichanachana chale, hivi nyumban kwako unasali? Au kwamfano kikatokea kitu chochote ktk mazingira ya kutatanisha hapo si unashinda unatwanga mitishamba?

Unajua nmekumbuka kipind nasoma kuna chumba nilikuwa nakaa sasa alikuja jamaa yangu mmoja kuomba hifadhi kwakuwa nyumban kwao walikuwa na migogoro yule jamaa alikuwa mshirikina hatari, yaan akiona hata mbwa kakatisha tu tayar anaanza kujipaka midawa yake, siku moja nipo kitandan napiga msuli bed nikashangaa nmemwagiwa maji hata mtu aliyenimwagia simuon na hakukuwa na mtu yeyote ndan halafu nikasikia sauti ikijisonya kutoka darini. Ikabidi nimwambie baba alimfukuza yule jamaa.

Hii comment imenichekesha vibaya mno
 
Back
Top Bottom