Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,096
- 828,932
Na ndio maana tuliaswa kwa uwazi kabisa kuhusu manabii wa siku za mwisho kuwa watakuwa na uwezo hata wa kuhamisha milima na kufufua watu lakini .TUSIWAAMINI HAO.Akhsante mkuu
Unayosema ni mambo makubwa sana na jamii inaangamia pasipo kujua kwamba milki za giza zipo kazini, watazameni kwa macho mawili watoto wanaozaliwa na miujiza......nasisitiza watazameni na ukuaji wao!
Nikirudi kwa viongozi wa dini wanaopotosha kama ulivyoeleza...ni hakika.....kipindi kirefu kilichopita walinitembelea viongozi fulani wa dini fulani na kuniambia kuwa ili waaminike katika ibada inatakiwa kipawa hivyo niwasaidie.
Niliingia kwa wakuu na nifanya maagano kwa niaba ya viongozi wale wa dini na nikawapatia jinn mmoja wa kuogofya na mwenye nguvu na ubabe hata kwa majini wenzake, nikawapatia watu wale na kwenda kuongoza ibada kama kawaida......ila kila walipokuwa wakiombea watu jinn yule ndiye aliyekuwa akijibu maombi na sio Mungu.
KIVIPI?
Wenye mapepo walianguka wenyewe kwa kumuogopa jinn yule wa kifalme, vifungo vya kichawi alivifungua yeye, majini wabaya wa waumini walikimbia wenyewe kwa kumuogopa huyo bwana na nyumba ya ibada ikasifika kiasi kwamba wale viongozi wakanawiri.
Je, ni haki? Mungu anapenda kuona nafasi yake inafanyiwa dhihaka?
Niishie hapa.
Mada namna hii ni nzuri maana naishi ndani ya yanazungumzwa na nayajua......binafsi kuna dada mmoja wa miaka kama 37 hivi ambae hakuwahi kushika mimba tangu kuvunja ungo kwake.
Alinifuata kuhitaji msaada wangu maana ameshapoteza matumaini na tiba za kizungu hazionyeshi manufaa kwake, nikafanya nnachokijua akashika mimba na kujifungua (japo alijifungua kwa tabu mpaka nikatuma nguvu za ziada)
Jana amenitembelea akiwa na furaha kuu na yeye kuwa na mtoto na alikuwa mtoto ameshafikisha siku arobaini.
Narudi kwenye mada.....nayajua maagano yake na roho zinazomuandama yule mtoto na mama......najua anahitaji ukaribu na mimi ili mambo yaendelee kuwa sawa......najua pindi mambo akiyaacha njiani kwa kunidharau kisa katimiza lengo lake nini kitampata......nk nk
Alien upo?Mada namna hii ni nzuri maana naishi ndani ya yanazungumzwa na nayajua......binafsi kuna dada mmoja wa miaka kama 37 hivi ambae hakuwahi kushika mimba tangu kuvunja ungo kwake.
Alinifuata kuhitaji msaada wangu maana ameshapoteza matumaini na tiba za kizungu hazionyeshi manufaa kwake, nikafanya nnachokijua akashika mimba na kujifungua (japo alijifungua kwa tabu mpaka nikatuma nguvu za ziada)
Jana amenitembelea akiwa na furaha kuu na yeye kuwa na mtoto na alikuwa mtoto ameshafikisha siku arobaini.
Narudi kwenye mada.....nayajua maagano yake na roho zinazomuandama yule mtoto na mama......najua anahitaji ukaribu na mimi ili mambo yaendelee kuwa sawa......najua pindi mambo akiyaacha njiani kwa kunidharau kisa katimiza lengo lake nini kitampata......nk nk
Huku kwetu kuna mabosi wanaomiliki mabasi ya safari za mikoani na ni marafiki zangu......si mara moja wala mara mbili pale wanapopokea simu kuwa mabasi yao yamepinduka na kuua watu wengi.....hawaonyeshi mshtuko ila wanakuwa na furaha! Na baada ya mda mtu anaongeza mabasi mapya hii inakuwaje? Ni kafara?
Na pia nina mtoto wa dada yangu anaishi Dar na alikuwa ni tax drive, ghafla amekuwa na pesa ana nyumba si chini ya nne hapo Dar achilia mbali za chalinze, pia anamiliki gari tofauti za kutembelea na ameoa mwarabu kwa pesa ndefu (sishangai kupata maana pengine ni jitihada zake)
Kinachoshangaza ni kuwa pale kwake analala chini hatumii kitanda tofauti na awali, mke wake analalamika kwa ndg kuwa mume hampi mapenzi japo akiaga safari anaruhusiwa na kupewa gari na pesa za kutosha.
Kuna wakati jamaa alisafiri kwenda Tanga na mke huku nyuma alinunua kitanda na kufunga, jamaa aliporudi alilia sana kwa uchungu na kusema unataka kuniua! Ugomvi haukuamulika na jamaa kampa mke talaka moja.
Je, jamaa ni free mason?
Hiyo avatar yako inashawishi kuwa wewe ni alien, mchawi au mganga mkuu!!Nipo mkuu
Yanaelezwa ili kuonyesha ukubwa wa tatizo na wengine wajifunze na kutofuata, hayaelezwi ili na wewe ukaombe mtotoSawa mkuu ila inaonekana mama mtoto atakuwa tegemez maisha yote kwa jichaw kwa ajil ya mtoto.huu ni mzigo mkubwa
Sawa Alien!!...... Mimi napenda nikuite Alien!Hahahahah linapokuja swala la undani wangu huwa sizungumzii mkuu
Ni kwa vile tuko busy na dunia na tunaendeshwa na mihemko na matukio ya papo kwa papo huku tukiaminishwa kuwa huo ndio uhalisiaMkuu Mshana leta vyombo baba maana ni bora wewe unaeeleza kuwa kuna tatizo.....kuliko mkuu wa dini anaesema hakuna tatizo na mtu umetakaswa wakati ukijiangalia matatizo unayaona
Kuna dawa za asili za mitishamba zinazosaidia kuzibua mirija ya uzazi na watu wakafanikiwa kupata watoto wasio na tatizo lolote. ..hizi tusizichanganye na mambo ya kishirikina au kuzimukuna mwalimu mwenzangu hapa alikuwa anatafuta mtoto akapewa Dawa ya kunywa akapiga double double mara 2 watoto wote wapo, kuna binamu yangu anaitwa Kolelo mjomba alimuomba mizimuni kule morgoro nae yupo, bonge la mama..
mshana jr iyo picha ya juu mbna km jamaa (Lucifer) ana symbo ya watu wanao fanya meditation (sixth sense/ nyoka wawili) kwenye tumbo lakeView attachment 322988hiki ndicho kinachotokea kwenye ulimwengu wa roho View attachment 322989na huku ndiko wanakopatikana...kwenye ufalme wa giza ambako mzazi na mtoto wataishi kwenye maagano ya utii kitu kinachowashinda wengi na kuishia kupoteza hao watoto
jichawi karibu tena kwa nyongeza
Mkuu taja ata huduma zao kututoa tongotongo tuchukue tahadhari maana swala la imani ni kubwaAkhsante mkuu
Unayosema ni mambo makubwa sana na jamii inaangamia pasipo kujua kwamba milki za giza zipo kazini, watazameni kwa macho mawili watoto wanaozaliwa na miujiza......nasisitiza watazameni na ukuaji wao!
Nikirudi kwa viongozi wa dini wanaopotosha kama ulivyoeleza...ni hakika.....kipindi kirefu kilichopita walinitembelea viongozi fulani wa dini fulani na kuniambia kuwa ili waaminike katika ibada inatakiwa kipawa hivyo niwasaidie.
Niliingia kwa wakuu na nifanya maagano kwa niaba ya viongozi wale wa dini na nikawapatia jinn mmoja wa kuogofya na mwenye nguvu na ubabe hata kwa majini wenzake, nikawapatia watu wale na kwenda kuongoza ibada kama kawaida......ila kila walipokuwa wakiombea watu jinn yule ndiye aliyekuwa akijibu maombi na sio Mungu.
KIVIPI?
Wenye mapepo walianguka wenyewe kwa kumuogopa jinn yule wa kifalme, vifungo vya kichawi alivifungua yeye, majini wabaya wa waumini walikimbia wenyewe kwa kumuogopa huyo bwana na nyumba ya ibada ikasifika kiasi kwamba wale viongozi wakanawiri.
Je, ni haki? Mungu anapenda kuona nafasi yake inafanyiwa dhihaka?
Niishie hapa.
Meditation isipochanganywa na imani yoyote ni kitu kizuri mno lakini bahati mbaya sana ni ngumu kwahiyo kwa sehemu kubwa imani zinazopingana na uwepo wa Mungu hutumia sana meditation kama kichaka cha kuficha uhalisia waomshana jr iyo picha ya juu mbna km jamaa (Lucifer) ana symbo ya watu wanao fanya meditation (sixth sense/ nyoka wawili) kwenye tumbo lake
Je midetation ina ushetani ndani yake?
Maana nilisikiaga ukifika degree za juu za meditation unakua powerful kiroho kama mchawai au zaidi
Embuu ni dadavulie katika hili