Cosenegy

Member
Dec 11, 2022
77
80
Nchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo.

Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama vyuo vikuu, viwanda, hospital, na kupima na kupanga mji mpya wa kisasa kama inavyofanyika Magufuli City Dodoma, ilituwe na miji ya kisasa inayovutia na kukidhi mahitaji ya wananchi.

Halikadhalika yafanyike miji ya Morogoro, Mtwara, Songea, Kigoma, Moshi, Sumbawanga na Kahama, pamoja na miji yenye idadi kubwa ya watu. Miji ipangwe na ijengwe kisasa atilist kila kanda tuwe na majiji walau mawili.

Hii itasaidia sana kueneza maendeleo makubwa katika pembe zote za nchi, na itapunguza watu kukimbilia Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma na Arusha. Hivyo selikali itahudumia watu kirahisi wakiwa hukohuko kwenye miji yao.
 
Bukoba Moshi na Tabora kamwe hawawez kupata majiji... Mikoa imejaa ushirikina ukabila ubinafsi na wazee tu...
Sidhan kama watu wa Moshi wanapendelea kuwa Jiji. Wao wanchofanya ni kwenda kushika fursa za wajinga wanaofurahia miji yao kuitwa majiji huku wakiwa hawana kitu wanaangalia nyumba na miradi ya wanaume tu ikiendelea.

Kama nchi ya Congo tu. Unafurahia kuwa una nchi tajir lakin utajir wote unachukuliwa na wanaume. Mnabaki kucheza mduara tu. Akili za kiafrica hiz bure kabisa.
 
Sidhan kama watu wa Moshi wanapendelea kuwa Jiji. Wao wanchofanya ni kwenda kushika fursa za wajinga wanaofurahia miji yao kuitwa majiji huku wakiwa hawana kitu wanaangalia nyumba na miradi ya wanaume tu ikiendelea. Kama nchi ya Congo tu. Unafurahia kuwa una nchi tajir lakin utajir wote unachukuliwa na wanaume. Mnabaki kucheza mduara tu. Akili za kiafrica hiz bure kabisa.
Moshi kwasasa ni chimbo la mashoga hata organization nyingi za mashoga zipo huko... Wanawake wa moshi wanalalamika wanaume wa moshi hawana nguvu za kiume inabidi kutafuta wanaume wa mikoa jirani. Ndio maana moshi ina migogoro mingi ya kifamilia kwasabab 90% ya watoto waliozaliwa moshi baba zao nikutoka nje ya ndoa...
 
Sidhan kama watu wa Moshi wanapendelea kuwa Jiji. Wao wanchofanya ni kwenda kushika fursa za wajinga wanaofurahia miji yao kuitwa majiji huku wakiwa hawana kitu wanaangalia nyumba na miradi ya wanaume tu ikiendelea. Kama nchi ya Congo tu. Unafurahia kuwa una nchi tajir lakin utajir wote unachukuliwa na wanaume. Mnabaki kucheza mduara tu. Akili za kiafrica hiz bure kabisa.
Fursa zip zaidi ya utapeli tu!! Eti fursa za wajinga wakati hamtaki kukaa kwenu mtarogana ..
 
Mji hauandaliwi kuwa jiji ndugu, mji unafika hadhi flani ya juu ukikidhi vigezo husika. Ktk miji uliyoitaja bado hakuna mji uliofikia hadhi uliyoitaja. Hata Dodoma aliilazimisha Magufuli kuwa jiji pamoja na Kahama kuwa manispaa ilikuwa ni kile kiburi cha urais kujiamulia bila kufuata taratibu zilizowekwa. Hakuna mwananchi anayekimbilia mji flani eti ni jiji.
 
Ondoa moshi na bukoba huko kumejaa vumbi nyekundu na ukabila na kujuana USSR
Bukoba mbona ishaanza kuandaliwa...kuna vyuo vikuu viwili vinajengwa UDSM tawi la bukoba na campus ya chuo cha Mandela....na hapo juzi kumefunguliwa chuo cha veta...

Jana wamefungua taa za kuongoza magari na zile za kuwasha mwanga...

Tender zimetangazwa za ujenzi wa stendi kuu na soko mwezi march ujenzi wa stendi unaanza...


Meli mv mwanza na mv Victoria zinaenda bukoba na mambo kibao tu
 
Back
Top Bottom