Hii itasaidia kupunguza msongamano dsm kwa sababu mikoa husika imesha weka dhamira ya miji hii kuwa na bandari kavu.
2 miji hii imezungukwa na maeneo yenye uzalishaji wa mazao ya chakula ya kutosha ambayo pia ni malighafi viwandani, 3 Nimiji iliyo kaa kimkakati kutokana na Geographical position ni rahisi kuyafikia maeneo mbalimbali katika kanda husika na nchi jirani 4 itasaidia Pato la taifa kuongezeka kwani wakianzisha viwanda vitaingiza Sana pesa za kigeni na hii miji ipo jilani na sehemu zenye migodi mfano makambako ipo jilani na mgodi wa makaa ya mawe ya chuma liganga na mchuchuma ludewa na mkoa husika umedhamiria makambako iwe ya viwanda hivohivo na kahama 5 baada ya miaka kadhaa.
Hii itapelekea kuwa sasa Majiji ya biashara na uwekezaji kama plan za kwala kwani ni miji yenye miundombinu yote muhimu kama reli cha msingi kwa kahama ni kuitoa isaka hadi eneo walilo target bandari kavu kwa makambako reli ipo jilani na eneo la mradi.maana Reli ndo nguzo kuu ya duniani kwa miji ya viwanda na biashara mfano Africa kusin Ina miji SITA ya aina hii.
Hii ni plan ya pwani ambayo wangeitekeleza hata kwenye miji hii ya kahama na makambako kwani tayari imejipambanua kuwa hivo na mazingira ,maeneo yanaruhusu 👇👇👇👇SERIKALI imelieleza Bunge kuwa inatekeleza mpango wa kuanzisha, kupanga na kuendeleza jiji la kibiashara na uwekezaji katika eneo la Kwala mkoani Pwani. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula amesema hayo bungeni Dodoma wakati anawasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/2024.
Dk Mabula alisema katika kufanikisha mpango huo, wizara hiyo kwa kushirikiana na wizara nyingine za kisekta imeshiriki katika kuandaa mpango kabambe wa jiji hilo. Alisema mpango kabambe unahusisha eneo lenye ukubwa wa hekta 181,130 linalojumuisha vijiji 30 vya halmashauri za wilaya za Kibaha (16), Chalinze (9) na Kisarawe (5).
“Uanzishwaji wa Jiji hilo unalenga kupata eneo kubwa zaidi la uwekezaji wa viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi na pia kupunguza msongamano wa shughuli mbalimbali za kiuchumi katika Jiji la Dar es Salaam ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam.
#HabarileoUPDATES
2 miji hii imezungukwa na maeneo yenye uzalishaji wa mazao ya chakula ya kutosha ambayo pia ni malighafi viwandani, 3 Nimiji iliyo kaa kimkakati kutokana na Geographical position ni rahisi kuyafikia maeneo mbalimbali katika kanda husika na nchi jirani 4 itasaidia Pato la taifa kuongezeka kwani wakianzisha viwanda vitaingiza Sana pesa za kigeni na hii miji ipo jilani na sehemu zenye migodi mfano makambako ipo jilani na mgodi wa makaa ya mawe ya chuma liganga na mchuchuma ludewa na mkoa husika umedhamiria makambako iwe ya viwanda hivohivo na kahama 5 baada ya miaka kadhaa.
Hii itapelekea kuwa sasa Majiji ya biashara na uwekezaji kama plan za kwala kwani ni miji yenye miundombinu yote muhimu kama reli cha msingi kwa kahama ni kuitoa isaka hadi eneo walilo target bandari kavu kwa makambako reli ipo jilani na eneo la mradi.maana Reli ndo nguzo kuu ya duniani kwa miji ya viwanda na biashara mfano Africa kusin Ina miji SITA ya aina hii.
Hii ni plan ya pwani ambayo wangeitekeleza hata kwenye miji hii ya kahama na makambako kwani tayari imejipambanua kuwa hivo na mazingira ,maeneo yanaruhusu 👇👇👇👇SERIKALI imelieleza Bunge kuwa inatekeleza mpango wa kuanzisha, kupanga na kuendeleza jiji la kibiashara na uwekezaji katika eneo la Kwala mkoani Pwani. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk Angeline Mabula amesema hayo bungeni Dodoma wakati anawasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2023/2024.
Dk Mabula alisema katika kufanikisha mpango huo, wizara hiyo kwa kushirikiana na wizara nyingine za kisekta imeshiriki katika kuandaa mpango kabambe wa jiji hilo. Alisema mpango kabambe unahusisha eneo lenye ukubwa wa hekta 181,130 linalojumuisha vijiji 30 vya halmashauri za wilaya za Kibaha (16), Chalinze (9) na Kisarawe (5).
“Uanzishwaji wa Jiji hilo unalenga kupata eneo kubwa zaidi la uwekezaji wa viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi na pia kupunguza msongamano wa shughuli mbalimbali za kiuchumi katika Jiji la Dar es Salaam ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam.
#HabarileoUPDATES