sumbawanga

Sumbawanga is a city located in western Tanzania. It is the capital of Rukwa Region and the municipal seat of Sumbawanga Urban District with postcode number 55100 . The district had a population of approximately 150,000 based on the 2002 census. Sumbawanga lies in the territory of the Wafipa Fipa tribe and so many people speak Kifipa, as well as Kiswahili, the most widely used language of Tanzania. The name of the town literally translates as "throw away your witchcraft", thought to be a warning from local spiritual "healers" to any bringing in superstitions and practices relating to spiritual healers from other areas; there are still some healers who practice both in town and in the surrounding smaller villages on the plateau. The town has the largest hospital in the region, Rukwa General Hospital, which is government funded, as well as the smaller Dr. Atiman Hospital administrated and run by the Catholic Diocese of Sumbawanga.
The town acts as a supply and commercial center for the Rukwa Region and some governmental agencies are to be found there, notably the transport department for the region. Sumbawanga has both Libori and Moravian conference centres. A modest-size market is in the town centre where local produce may be found. This includes maize, rice, fruit, poultry and fish (from Lake Tanganyika and Lake Rukwa). Many imported plastic goods and electronics are available as well as bicycles and spares. Although there are several fuel outlets, supply can be quite erratic because of the difficulties of transport from the coast.
The local economy is largely dependent on agriculture and small locally owned businesses. There is very limited industry or production in the town. Significant improvement could be expected if the road to Mbeya was sealed to enable reliable all-weather access year round. This road, and its continuation north to Mpanda and Tabora or Kigoma, can become impassable at the height of the wet season (Feb-Mar). The Tanzanian government does have contracts in place for upgrading large sections of these roads. The town can be reached by flights operated by Auric Air or by bus from Mbeya which lies to the south with train links to the town of Kapiri Mposhi in Zambia, to Dar es Salaam. Rail is also available through Tabora from Mpanda in the north. Mpanda also has an airport with a 2 km sealed runway.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Kumbe ndio maana Katavi na Sumbawanga wanaua. Kwanini uharibu maisha ya mtu?

    Yaani napalangana kuuza kangala na huku napiga kazi.. Kuna dada mmoja alinikuta kazini (Kapuni naliweka jina lake.) Aliponikuta kazini alikuja hajui kitu. Nikamfundisha kazi. Baada kujua kazi. Akabadilika akaanza kunichafua kwa mabosi. Asubuhi bosi akija anakuja amenuna. Ghafla nikaanza...
  2. aronstephy

    Ombi Kwa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kufuatilia kwa ukaribu Baraza la ardhi Sumbawanga

    Mabaraza yaliyowekwa na hii wizara ili kutatua migogoro kwenye ardhi na sio migogoro ya kifamili kwa sehemu kubwa yamefanyika kuwa kero kwa wananchi haswa wenye uhalali wa umiliki wa ardhi kwa viongozi husika kuendekeza rushwa sanaa.(Sijui posho zao haziwatoshi) Kumekuwa na ucheleweshaji wa...
  3. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    Sumbawanga: Mfanyabiashara azikwa akiwa hai

    Sumbawanga. Jeshi la Polisi mkoani Rukwa, linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumpiga na kumpora fedha zaidi ya Sh 1.8 milioni kisha kumzika akiwa hai mfanyabiashara wa mazao, Baraka Nyangala (30) na kumsababishia umauti. Akizungumza jana na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi mkoa wa...
  4. Mr Why

    Je, wanawake wa Sumbawanga wana yapi kwenye mahusiano

    Ndugu zangu kila kabila lina mazuri na mabaya yake mnaombwa ushauri na kaka yenu kaniomba mimi nikashindwa nimshaurije nimebaki kimya nikaona nilete kwenu nanyi mumshauri Huyu braza kapata demu wa Sumbawanga anaishi Mbezi na anasimamia Gest ya baba yake sasa akashindwa achukue hatua gani je...
  5. BARD AI

    Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sumbawanga kuchukuliwa hatua

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Tamisemi) Mohamed Mchengerwa ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwachukulia hatua watumishi wote waliobainika kusababisha changamoto kwenye miradi inayotekelezwa Sumbawanga akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa manispaa hiyo Jacob Mtalitinya...
  6. L

    Mchengerwa amsimamisha kazi Mganga mkuu Sumbawanga Manispaa

    Mchengerwa amsimamisha kazi Mganga mkuu sumbawanga Manispaa na wengine. Akiwamo Engineer na Afisa Manunuzi kwa matumizi mabaya ya pesa za miradi. ===== Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa, amemuelekeza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI kuwasimamisha kazi aliyekuwa Mganga Mkuu wa Manispaa...
  7. A

    DOKEZO URGENT: Binti wa miaka 16 ameozeshwa kwa lazima kama mke wa pili, huko Laela, Sumbawanga

    Binti wa miaka 16 anaitwa Recho, yuko kijiji cha NITU, wilaya ya LAELA, Mkoa wa Rukwa. Ameozeshwa kwa kulazimishwa na wazazi wake pamoja na kaka zake, ambao wamechukua mahari ya shilingi 700,000, tena ameozeshwa kwa mzee kama mke wa pili. Huyo binti yeye hataki kuolewa na kwa sasa ametoroka...
  8. ChoiceVariable

    Tanga: Mume aua mke na nduguye kwa wivu wa mapenzi

    Baada ya Wanawake kuwaua waume zao Kwa wivu wa mapenzi huko Sumbawanga naona wanaume wameanza kulipa Kisasa. Kutoka Tanga Mume amkata mkewe Kwa mapanga na Nduguye kisa wivu wa mapenzi kisha kutokomea kusikojulikana. ======= WANAWAKE wawili wa familia moja wakazi wa kijiji cha Mkanyageni...
  9. AFRITRACK

    Fleet Tracking, Fuel Sensors, Smart Generators, and AI Dash Cameras

    Karibu Afritrack, Afritrack ni alama ya biashara iliyosajiliwa ya Laiki Technology Limited ambayo ni kampuni iliyoanzishwa mwezi wa Aprili 2006 na ni moja ya kampuni za kwanza kuleta huduma za kufuatilia(kutrack) magari nchini Tanzania. Kwa miaka mingi, Afritrack imebadilika na kuwa mtoa...
  10. benzemah

    Nyuki Wamvamia na Kumuua Mwanamke Akiwa Nyumbani Kwake Sumbawanga

    Bi Janeth Sued mwenye umri wa miaka 72, mkazi wa mtaa wa Mtakumbukwa, Kata ya Momoka Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ameuawa kwa kushambuliwa na kundi la nyuki nyumbani kwake. Mashuhuda mmojawapo akiwa ni mtoto wa marehemu wameeleza kuwa walikuwa wameketi nje ya nyumba na Mama yake (Sasa...
  11. B

    Rukwa: Nyuki waua mmoja Sumbawanga

    Mwanamke mmoja aitwaye Janath Swedi (72) Mkazi wa Mtaa wa Mtakumbuka, Kata ya Momoka Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa, ameuawa kwa kushambuliwa na kundi kubwa la nyuki nyumbani kwake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Mwenyekiti wa Mtaa huo, Mohamed Makubi amesema tukio hilo lilitokea...
  12. Munch wa annabelletz47

    Sumbawanga: Mtoto auawa kwa kuliwa na nguruwe

    #HABARI Mtoto aitwaye Haruna Mwanakatwe anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kumi (10) mwenye ulemavu wa viungo na mkazi wa mtaa wa Edeni B Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ameuawa kwa kuliwa na Nguruwe nyumbani kwao. Tukio hilo limetokea jana Juni 25, 2023, baada ya mtoto huyo kubaki ndani...
  13. JanguKamaJangu

    Waganga wa jadi 10 wapelekwa Kigoma kupambana na Wachawi, DC aweka ngumu

    Wananchi wa Kijiji cha Sunuka, Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wameshirikiana na Serikali ya Kijiji kuchukua Waganga wa Jadi zaidi ya 10 kutoka Sumbawanga ili kukagua wachawi waliomo ndani ya kijiji chao wakidai ndicho chanzo cha utitiri wa vifo vya vijana katika mazingira ya kutatanisha. Baadhi...
  14. Roving Journalist

    Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa: Baada ya ujenzi Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga utakuwa wa kisasa

    Salaam, Hatimaye ile ndoto ya siku nyingi ya Uwanja wa ndege sumbawanga uliokuwa hautumiki imetimia. Leo Serikali inayoongozwa na rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Samia Suluhu Hassan imetia saini kuanza kwa ujenzi wa Uwanja. ILIKUWAJE? Awamu ya kwanza ya Upembuzi yakinifu na...
  15. blogger

    Kufuatia kutumbuliwa kwa DC wa Sumbawanga, kuna vitu havipo sawa nchini na ni lazima visemwe

    Kwanza kabisa naanza kwa kumsalimia Rais wetu kipenzi Samia Suluhu Hassan kwa heshima zote kabisa maana najua atasoma uzi huu kwani anapita humu na tupo naye. Ni swali la moja kwa moja tu, kama ni kweli yule DC wa Sumbawanga katolewa kwa igizo lile basi hatuna budi kujitafakari upya lakini pia...
  16. Teko Modise

    Huyu ndiye Jane Nyamsenda, DC mstaafu wa Sumbawanga

    Huyu ndio DC aliyetumbuliwa jana na mamlaka za uteuzi. Hakika CCM tuna watu!!
  17. R

    Rais aliwaasa viongozi waandamizi kufanya KAZI Kwa kujiamini, DC Sumbawanga kafanya Kwa kujiamini akatumbuliwa. Bado kuna tatizo sehemu

    DC Sumbawanga ametumbuliwa Jana Bila Sababu yakumbuliwa kwake kuwekwa wazi. Mitandao ya kijamii imeandika kwamba zoezi la utayari lililoandaliwa na Askari WA kike ndicho chanzo cha kutumbuliwa kwake. Wakati vyanzo vikinyetisha kwamba zoezi la utayari Ndilo lililomtumbua naomba tutumie Sababu...
  18. B

    CHADEMA Sumbawanga pigo jingine kwa wale Wengine

    Mwenye macho haambiwi tazama: Kwani hata ipo siri? Inatakiwa Katiba Mpya hapo. Ni wazi kuwa hata ule upande mwingine, salamu zitakuwa zimewafikia. Mungu Ibariki CHADEMA.
  19. C

    Miji ifuatayo iandaliwe kuwa Majiji

    Nchiyetu ni kubwa sana na ina miji mingi, lakini miji yenye huduma za hadhi ya jiji ni michache kulinganisha na idad ya watu waliopo. Mfano Kanda ya Ziwa nikubwa na ina watu wengi lakini jiji ni moja tu Mwanza, inabidi Bukoba iandaliwe kuwa jiji kwa selikali kupeleka huduma za hali ya juu kama...
  20. Unique Flower

    Naomba mwenyeji wa Sumbawanga mwaminifu mwelewa

    Naomba mwenyeji wa Sumbawanga, mwelewa na mwaminifu anayejua na awe Mzaliwa wa huko . Pili hata kama so mzaliwa awe tu mwelewa na sehemu za hukoo
Back
Top Bottom