Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
huwezi kuzuia mvua,
sugu ni kama mvua.
sugu ni kama mvua.
Ndio huwa namkubali Zitto, huwezi kusikia anaongea upuuzi upuuzi Bungeni.
Kama akili yako inafikiria kugeuzwa tu! Unasubiri nini kujiShoot risasi ya utosini?
Tatizo Sugu analeta mambo ya mipasho mpaka bungeni hawa ndiyo wanajitapa kuwa wanataka kumkomboa mtanzania.
No, he is just an ignorant guy
si ajabu sugu kulipuka, itakua si yeye ni bangi tu zimelipuka mkuu, zile alizokua akivuta kabla ya kupanda majukwaani na mlegezo
Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Kwa madai ya elimu ya kuungaunga kwa mh Mlugo, mh Sugu asisahau kuwa hata yeye Hakustahili kuwa mbunge kwa elimu yake!! kama si katiba yetu kusema sifa ya mbunge ajue kusoma na kuandika, hivyo kumpelekea hata Rais kuchagua mawaziri miongoni mwa mbumbumbu kwa kuzingatia kuwa lazima Mbunge awe Mbunge.
Chadema wanaiharibu sana nchi yetu. Wakati CUF kilipokuwa chama kikuu cha upinzani Bunge lilikuwa mahali pa hoja.
Haijasaidia chochote...bali ni mwendelezo wa vijembe ambavyo havina tija katika maslahi ya taifa na wananchi kwa ujumla....na kulipwa kodi zetu hapo mjengoni....i hate this
Neno mwanamke mpumbavu liko kwenye BIBLIA TAKATIFU..
Usijaribu kutetea uozo wa ccm...hata mtoto mdogo sana anaelewa ubaya wa ccm sembuse wewe ulie mpumbavu wa kuwaza ngono...shenzi tyepe hiyo picha inakuonyesha ni jinsi gali ulivyojaa tope kichwani...!
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?
Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
kama sugu tatizo elimu ndogo
kwa hiyo wamejipanga kutuonyesha sisi wahaya ni magaidi?! ama kweli wahaya tumefika hatua ya chini kabisa kudhalilishwa na watu wa ajabu ajabu ambao mpaka juzi wanakuja mjini waki-share nyumba na mifugo!Wa mpui kaleta uzi hapa moderators wameutoa nanukuu alichoandika anasema ameambiwa na mfanyakazi wa bunge kuhusu simu ya iliyotoka kwa Kinana kwenda kwa spika Anne Makinda akimwita dada mtoe mwigulu kuchangia jioni achangie asubuhi kwa sababu ana mengi ya kusema, Anna makinda akamuuliza kwani anayotaka kusema ni makali sana akasema akuonyeshe atakachosema
Ujue Spika Anna Makinda pale kakaa kama boya anafuta amri za mwenyekiti wa CCm Jakaya Kikwete,Katibu Mkuu jangiri wa pembe za ndovu Abdarahman Kinana ,Spika anasuka na watu hawa jinsi ya kuendesha bunge kwa siku ukumbuke Vuta Nikuvute alikuja hapa na mada akitueleza kuwa Tundu Lissu ananyaraka za kuimbua serikali kwa hiyo wamejipanga Spika na MACCM kutibua hoja zote zitakazoongelewa na chadema