ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 269
Thanks SUGU! Hata siku moja jibu la -------- haliwezi kuwa marhaba! ...Umewapa saizi yao hawa Lumumbawood wang'oa kucha, meno plus Video za kimagumashi....
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?
Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
Wakati akichangia bajeti ya PM, Mh Mbilinyi ametumia lugha kali sana dhini ya serikali na Mwigulu Nchemba akazua ubishi mkubwa kati yake na Speaker..
Ameanza kwa kusema kuwa "Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe" na hivyo hivyo serikali pumbavu hubomoa nchi.
Akasema kuwa walimnyanyapaa Mbatia na hoja yake ya Elimu na kukumbatia wapumbavu kama akina Mwigulu; na sasa matokeo ya Form 4 2012 yamewaumbua.
Amelaumu usalama wa Taifa kwa kushindwa kumshauri Rais hadi akamteua waziri wa elimu mwenye elimu ya kuunga unga.
Alipotakiwa kufuta neno upumbavu alikataa kata kata...
Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Mwigulu is the man
CHADEMA wameshindwa hoja bungeni sasa wanataka wazichape na CCM!
What a weak opposition!
CHADEMA si chama makini.
Mbowe toka lini amewahi kuwa waziri Wa elimu we kilaza? Mbowe tangu lini akagushi vyeti vya elimu we mbwiga? We jamaa huwa nakudharau sana kwa pumba unazoandika humu.Ni kiongozi gani wa CHADEMA aliyewahi kujiwajibisha/kuwajibika? Unaifahamu elimu ya Mh. Mbowe?
Kigwangala naye anachemka kishenzi...anasema kuwa serikali ispoacha upuuzi atachukua hatua mwenyewe...
Kwamba wanaandamana, wanaua watu na kung'oa kucha na meno...
Kama wataachwa yeye atahamasisha watu wa Nzega wawakamate na yeye atawashughulikia...
Amesema kuwa viongozi wote wa CHADEMA ni wapuuzi...
Na speaker hajaingilia kati...
Tatizo Sugu analeta mambo ya mipasho mpaka bungeni hawa ndiyo wanajitapa kuwa wanataka kumkomboa mtanzania.
Sema si mchezo kwa matusi kwani hana kitu kichwani zaidi ya povuAmemtukana mwiguru kuwa ni mpumbavu.
Hizi bange bwana.
Na kama spika asingemzuia nchemba kutoa taarifa tungeshuhudua senema ingine maana mwiguru si mchezo kwa maneno.
Hoja yake imesaidia
vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?
Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input
alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba
"kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Sugu anatisha
Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?
Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
Viongozi vijana wana matatizo makubwa sana juu ya hekima na busara kwa kuwa hawajui kipi kinatakiwa kuzungumzwa wapi na wakati gani,siku zote wao ni kutanguliza nguvu kubwa sana ya kimaamuzi ama kwa maslai yao au ya makundi yao ili eti waonekane wanawajibika vema.
Viongozi wa namna hii hawafai kabisa kwa kuwa wanadhalilisha dhima mzima ya bunge na kuonekana ni mkusanyiko wa watu fulani waliovalia vizuri lakini kichwani hamna kitu.
Nayasema haya kwa ujumla wala si kwa mtu fulani au kundi fulani.Kwa yoyote mwenye busara na utimamu wa akili ni vema kuwakemea kwa nguvu zote,lakini pia ni vema kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu ili aweze kuwabadilisha kitabia na mienendo yao.