Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

komaa nao kamanda sugu wee ndio mnyakyusa wa ukweli uliyejitolea kuitetea tanzania acha hao walioolishwa sumu kisa amewaaumbua kwenye tume kisha bado wana cheka nao big up kamanda
 
So cool Mr Sugu. Big up broda acha wajisikilizie wenyewe kama wapumbavu. Hata kwa upumbavu wao hawakujua hata huyo mama nae yumo anaharibu bunge kwa mikono yake mwenyewe.
 
Kung'oa kucha na meno? hii ni kali au kweli? walishindwa kujua Naibu waziri wa elimu hana elimu? walishindwa kujua katikati ya jiji la Dar majengo hayatakiwi kuvuka ghorofa 12? walishindwa kumwambia JK nani ni mmiliki wa Richmond? 2015 no mistakes
 
Viongozi vijana wana matatizo makubwa sana juu ya hekima na busara kwa kuwa hawajui kipi kinatakiwa kuzungumzwa wapi na wakati gani,siku zote wao ni kutanguliza nguvu kubwa sana ya kimaamuzi ama kwa maslai yao au ya makundi yao ili eti waonekane wanawajibika vema.

Viongozi wa namna hii hawafai kabisa kwa kuwa wanadhalilisha dhima mzima ya bunge na kuonekana ni mkusanyiko wa watu fulani waliovalia vizuri lakini kichwani hamna kitu.

Nayasema haya kwa ujumla wala si kwa mtu fulani au kundi fulani.Kwa yoyote mwenye busara na utimamu wa akili ni vema kuwakemea kwa nguvu zote,lakini pia ni vema kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu ili aweze kuwabadilisha kitabia na mienendo yao.
 
Mkilumbana na mwigulu Nchemba mtakuwa kama Rais wa Cyria anayeona kitakachomwua siku zijazo
 
Tatizo Sugu analeta mambo ya mipasho mpaka bungeni hawa ndiyo wanajitapa kuwa wanataka kumkomboa mtanzania.

HIPHOP na MIPASHO wapi na wapi we Ritz, mahaba kwa magamba yasikufunge fikra!
 
Last edited by a moderator:
CHADEMA shupalieni mambo ya kumkomboa Mtanzania tafadhali wala msibishane na CCM, wenyewe wanajua wanachotetea, mtu kama Mwigulu ataongea nini wenye nhekima wamsiklize?
ni kweli kabisa mku
 
Hongera kamanda Sugu. Mwigulu kichwa chake kimejaa makamasi badala ya ubongo!
 
Back
Top Bottom