Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,354
Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Mng'oa kucha na meno tu... hana lolote...
Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Wewe amekushika wapi mpaka unamsifia kua ni Mwanaume??Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Wabunge wote hovyo tu, Wa CCM wakichangia hoja kwa kulalamikia serikali pumbavu, mwisho wanamalizia kwa kuunga mkono hoja! Yupi ana unafuu hapa?
Hivi tutafika kweli 2015?
Amemtukana mwiguru kuwa ni mpumbavu.
Hizi bange bwana.
Na kama spika asingemzuia Nchemba kutoa taarifa tungeshuhudua senema ingine maana Mwiguru si mchezo kwa maneno.
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?
Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
mohamedi mtoi, CHADEMA kupitia viongozi wake wote bila kificho ni wapenda mabadiliko na wasioridhishwa na hali halisi ya maisha ya watanzania. Kwa watanzania wengi hiki ni kigezo tosha kwenye kampeni za uchaguzi wa 2015 kwa sababu wapiga kura wengi hawako tayari kuendelea kuukumbatia umaskini uliokidhiri miongoni mwa familia zao,Duh! Sugu ameuwa bendi kabisa!
Mwigulu amewashika pabaya ndio maana wanatukana. Mwigulu is the man
Chadema wanaiharibu sana nchi yetu. Wakati CUF kilipokuwa chama kikuu cha upinzani Bunge lilikuwa mahali pa hoja.
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?
Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
Kama ni bangi, basi kwa hapa inafaa, kama Bob Marley.amesema Serikali hii ni sawa na mwanamke mpumbavu anaeiharibu nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
hatuwezi kuwa na waziri mwenye elimu ya kuungaunga tutegemee elimu bora.!!