Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
wewe unatarajia nini kutoka kwa mtu kama sugu au lema. hiyo ndo michango yao. nikutukana tu. wapumbavu kabisa.
Aaaaah ! Na wewe umetukana ?! Pumbavu zako kabisaaa !
wewe unatarajia nini kutoka kwa mtu kama sugu au lema. hiyo ndo michango yao. nikutukana tu. wapumbavu kabisa.
payment umeshachukua? Tumekuongeza malipo saivi tunataka uhendelee na hii kasi yani siku nzima pambana na hao wapenda mabadiliko kwa kuchange na kutetea mada humu Jf!!!!!!!!!!!!
Wakati akichangia bajeti ya PM, Mh Mbilinyi ametumia lugha kali sana dhini ya serikali na Mwigulu Nchemba akazua ubishi mkubwa kati yake na Speaker..
Ameanza kwa kusema kuwa "Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe" na hivyo hivyo serikali pumbavu hubomoa nchi.
Akasema kuwa walimnyanyapaa Mbatia na hoja yake ya Elimu na kukumbatia wapumbavu kama akina Mwigulu; na sasa matokeo ya Form 4 2012 yamewaumbua.
Amelaumu usalama wa Taifa kwa kushindwa kumshauri Rais hadi akamteua waziri wa elimu mwenye elimu ya kuunga unga.
Alipotakiwa kufuta neno upumbavu alikataa kata kata...
if mwiguru is theman,who doyou think you are.
Wewe akili zako na Dr. Paurine hazina tofauti. Sio kosa lako.
Watu kama wewe kule kwetu Old Moshi ni wanywa dadii na banana. Kwasababu hata mtu unywe album/vitochi vya mbege vingi namna gani, huwezi kuwa na akili ya namna hii.
Unahitaji kuombewa misa ya wafu parokiani au kigangoni.
Inanibidi nicheke tuu, sasa kama hawa ndiyo watu wanaotaka kuongoza nchi, basi kazi ipo. Kinachonisikitisha ni kwamba upumbavu wake wote umepewa "thumbs up" hapa JF.
Labda tuanze na hoja yake kwanza.
1. Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe".
Kwanini mwanamke? Ina maana uvunjikaji wa nyumba ni makosa ya wanawake peke yao? Hivi ndivyo chadema inavyowaona wanawake?
2. matokeo ya Form 4 2012 yamewaumbua.
Hivi mweshimiwa mbilinyi sugu matokeo yake ya form 4 yakoje? Kama ni kweli mtu huyu ana haki ya kushangaa matokeo ya form yakoje? Nauliza kwa sababu kulaumu matokeo ya form 4 imekuwa "fashion"sasa. Hata watu ambao walipata zero na div. fours wakiwa form 4 nao pia wanajifanya kuyashangaa matokeo ya form 4. Naomba Sugu aweke matokeo yake ya form 4 hapa.
3. waziri wa elimu mwenye elimu ya kuunga unga. Hivi elimu ya waziri wa elimu inatakiwa iwe ya kiwango gani? na ya mbunge jee? Kwa mujibu wa katiba, mtu mwenye elimu ya kuunga unga anakatazwa kushika nyazifa gani?
Mimi binafsi sina elimu ya kuunga unga lakini nilijaaliwa kuwa na elimu ya mfululizo. Lakini kwa uzoefu wangu nimewahi kuona viongozi wazuri sana ambao elimu zao ni za ku unga unga. Mmoja wa viongozi hao ni Nelson Mandela. Sasa kama mweshimiwa Sugu anadhania mtu mwenye elimu ya kuunga unga asiruhusiwe kuwa waziri wa elimu, jee ana msimamo gani kuhusu mtu asiye na elimu kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa? au mtu asiye na elimu kuwa mbunge wa watu Mbeya?
-------------------------------------------------------------------------------
![]()
Can you define elimu ndogo? Hao unaofikiri wana wana elimu nzuri, kubwa, kwanini wameshindwa kutuvusha? Stupid you.kama sugu tatizo elimu ndogo
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?
Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
sasa mkuu lakini mimi hainivunjii heshima maana title yangu haianzi na Mheshimiwa, kama hao WAPUMBAVU niliowataja. nawasiwasi hata na wananchi wanaowawakilisha. kama vile zinafanana.Aaaaah ! Na wewe umetukana ?! Pumbavu zako kabisaaa !
Kigwangala naye anachemka kishenzi...anasema kuwa serikali ispoacha upuuzi atachukua hatua mwenyewe...
Kwamba wanaandamana, wanaua watu na kung'oa kucha na meno...
Kama wataachwa yeye atahamasisha watu wa Nzega wawakamate na yeye atawashughulikia...
Amesema kuwa viongozi wote wa CHADEMA ni wapuuzi...
Na speaker hajaingilia kati...
Yaani hamjajua tu. Mwigulu aliongea fact
Hakuna kinachoshangaza,unategemea nini zaidi kutoka kwake?
MEMBER OF PARLIAMENT CV
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
[/TD]![]()
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Osmund[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Joseph[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Mbilinyi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Mbeya Mjini[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]Box 815, Mbeya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 716 627344[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]jmbilinyi@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]1 May 1972[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Sabasaba Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1988[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sisimba Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sokoine Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ligula Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Mbeya Urban Constituency[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]BP Tanzania Limited[/TD]
[TD]Security Officer[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Self Employed[/TD]
[TD]Celebrity[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]Member[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Nafikiri bunge la tanzania linaweza kuwa ndo bunge bovu kuliko yote duniani. Bunge ambalo asilimia kubwa ya wabunge hawajui kwanini wako bungeni.
Ze Ze Ze Ze taaaaaaaaa! Umefulia wewe, wenzio wanasema Sugu kamchama gaidi wewe unaleta hoja ya mzee wa kulialia. CCM bana mmefulia!! Kweli Joti ana hoja! MmefuliaaaaaaaHoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
Inanibidi nicheke tuu, sasa kama hawa ndiyo watu wanaotaka kuongoza nchi, basi kazi ipo. Kinachonisikitisha ni kwamba upumbavu wake wote umepewa "thumbs up" hapa JF.
Labda tuanze na hoja yake kwanza.
1. Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe".
Kwanini mwanamke? Ina maana uvunjikaji wa nyumba ni makosa ya wanawake peke yao? Hivi ndivyo chadema inavyowaona wanawake?
2. matokeo ya Form 4 2012 yamewaumbua.
Hivi mweshimiwa mbilinyi sugu matokeo yake ya form 4 yakoje? Kama ni kweli mtu huyu ana haki ya kushangaa matokeo ya form yakoje? Nauliza kwa sababu kulaumu matokeo ya form 4 imekuwa "fashion"sasa. Hata watu ambao walipata zero na div. fours wakiwa form 4 nao pia wanajifanya kuyashangaa matokeo ya form 4. Naomba Sugu aweke matokeo yake ya form 4 hapa.
3. waziri wa elimu mwenye elimu ya kuunga unga. Hivi elimu ya waziri wa elimu inatakiwa iwe ya kiwango gani? na ya mbunge jee? Kwa mujibu wa katiba, mtu mwenye elimu ya kuunga unga anakatazwa kushika nyazifa gani?
Mimi binafsi sina elimu ya kuunga unga lakini nilijaaliwa kuwa na elimu ya mfululizo. Lakini kwa uzoefu wangu nimewahi kuona viongozi wazuri sana ambao elimu zao ni za ku unga unga. Mmoja wa viongozi hao ni Nelson Mandela. Sasa kama mweshimiwa Sugu anadhania mtu mwenye elimu ya kuunga unga asiruhusiwe kuwa waziri wa elimu, jee ana msimamo gani kuhusu mtu asiye na elimu kuwa mwenyekiti wa chama cha siasa? au mtu asiye na elimu kuwa mbunge wa watu Mbeya?
-------------------------------------------------------------------------------
![]()
Watu kama wewe kule kwetu Old Moshi ni wanywa dadii na banana. Kwasababu hata mtu unywe album/vitochi vya mbege vingi namna gani, huwezi kuwa na akili ya namna hii.
Unahitaji kuombewa misa ya wafu parokiani au kigangoni.
kwani hao unaowasema wameongea leo bungeni kama Mh. Mbilinyi?.Sawa elimu ni ndogo..
Hebu tuwekee ile ya mganga wa kienyeji
anaejiita PROFESSOR MAJI MAREFU,, NA YA LIVNSON LUSINDE...
Acha kukashifu watu..
Hivi wale wenye madigree wametusaidia nini?
Si ndio wengi bungeni wanalala usingizi wa porno!
CHADEMA wameshindwa hoja bungeni sasa wanataka wazichape na CCM!
What a weak opposition!
CHADEMA si chama makini.