Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

wajenzi wana terms zao hasa kwenye ile michoro ya sewerage systems (waste water collection systems) kuna kitu kinaitwa 'INSPECTION-CHEMBA'wahandisi mnisaidie hapa....mnaweza kufanya gani...yani can you compare and review?....

CC RR Asprin Ncha Engineersmasha
 
Last edited by a moderator:
hao ndo wabunge tuliochagua maneno yote yalikosekana akaona matusi ndiyo neno pekee linalo mfaa lakini bado miaka miwili tutakutana majimboni make tumewapima na tumeshajua cha kufanya hatuwezi kuwa na wabunge wanaoenda kutukana bungeni badala ya kuwasilisha matatizo yetu.
 
Kigwangala naye anachemka kishenzi...anasema kuwa serikali ispoacha upuuzi atachukua hatua mwenyewe...

Kwamba wanaandamana, wanaua watu na kung'oa kucha na meno...

Kama wataachwa yeye atahamasisha watu wa Nzega wawakamate na yeye atawashughulikia...

Amesema kuwa viongozi wote wa CHADEMA ni wapuuzi...

Na speaker hajaingilia kati...

Wa
wana hasira kwa mwigulu kumsema mbowe,hadi wamechanganyikiwa.

Kigwa naye kawachana live kwamba ni wapuuzi,huh?

Upuuzi au ujasili wa CHADEMA umekuwa ukionekana kwenye matokeo ya chaguzi ndogo ndogo mikoani.
 
kwa hiyo wamejipanga kutuonyesha sisi wahaya ni magaidi?! ama kweli wahaya tumefika hatua ya chini kabisa kudhalilishwa na watu wa ajabu ajabu ambao mpaka juzi wanakuja mjini waki-share nyumba na mifugo!

we kuwa na staha wahaya usituingize huko gaid ni lwakatare na siyo wahaya we kama umo kwenye hilo kundi la magaid ni wewe sisi wengine usituhusishe.
 
Wewe, serekali haijawahi kuchukua ushauru ambao ni wa maana kutoka kwa upixani. Rejea hotuba ya mbowe na hotuba za Zitto nyingi za nyuma. Kwa hiyo iliyobaki ni mipasho. Ukileta mipasho unarudishiwa mipasho. Kama wewe ni mzalendo, je nini alichosema mwigulu nchemba kilicholeta input kwenye bajeti ya bajeti wa waziri mkuu?
 
Serikali pumbavu
Kiongozi dhaifu
Heko kwa sugu

kimsingi yeye ndiye mpumbavu.anaacha jimbo limeshachukuliwa na ccm wanangoja 2015.kazi kubwa ya kupora vijana wake kwenda ccm imefanywa na mlugo ndivyo wanamagwanda wanavyolalamika hivi juzi nilikuwa huko nikazipata.
 
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
Nimeona Kigwangala akitumia muda mwingi kuwaita wapinzani wapuuzi, sijui mchango wake kwenye budget ni upi! Tena kama kuna wabunge wasiochangia kitu cha maana na wa ccm. Kazi yao ni kujibu hoja za upinzani wakati hiyo ni kazi ya mawaziri
 
Ngumi ziwe ruksa bungeni lazima heshima itashika mkondo wake, mwigulu kwa kubaka hoja hajambo


wakati akichangia bajeti ya pm, mh mbilinyi ametumia lugha kali sana dhini ya serikali na mwigulu nchemba akazua ubishi mkubwa kati yake na speaker..

Ameanza kwa kusema kuwa "mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe" na hivyo hivyo serikali pumbavu hubomoa nchi.

Akasema kuwa walimnyanyapaa mbatia na hoja yake ya elimu na kukumbatia wapumbavu kama akina mwigulu; na sasa matokeo ya form 4 2012 yamewaumbua.

Amelaumu usalama wa taifa kwa kushindwa kumshauri rais hadi akamteua waziri wa elimu mwenye elimu ya kuunga unga.

Alipotakiwa kufuta neno upumbavu alikataa kata kata...
 
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?

Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.

Input ina maana gani kwako wewe mwanamke mpumbavu?
Kuonya na kukaripia pia ni input. Sasa ukishauri serikali imuondoe waziri mwenye elimu ya kuunga asiyejua hata mipaka ya nchi yake, hiyo sio input? Wizara ya Elimu inaongozwa na mawaziri wabovu (Kawambwa kila leo anabadilishwa wizara baada ya kuboronga, Mulugo nae ufahamu F). Waziri anayefikiri kuwachapa watoto viboko ndio kutawaongezea ufaulu ni mpumbavu kabisa.

Raisi wetu nae Mr. dhaifu anaiongoza serikali kwenye upumbavu. Sasa anamlinda Kawambwa kisa ni ndugu yake. Huyu Kawambwa inabidi arudi vijijini akatibu mbwa, sio kuendesha wizara nyeti kama ya Elimu. Poor Tanzania.

Woe kwa wadogo zetu wanaoanza kusoma sasa hivi wakati Elimu ya Tz ishakuwa ya mataputapu!
 
Tatizo Sugu analeta mambo ya mipasho mpaka bungeni hawa ndiyo wanajitapa kuwa wanataka kumkomboa mtanzania.

Fight fire with fire,asubuhi Mwigulu alibeep mchana Sugu akaweka vocha then jioni akampigia,na alimwambia Mwigulu ni mshamba huwezi kucheza deal kwa M-Pesa,sasa kama ni uongo mbona hajaomba Sugu au Tundu Lissu athibitishe?
 
Kwani huyu speaker hawezi kuwa mbayu wayu??

Mkuu pale ndio kashafanya umbayuwayu wa kuchanganya na za kwake. Ameshaona hata nchi ikiharibika hana cha kupoteza. Mwanamke asiye na mume wala watoto huwa hana uchungu wowote wala ubinadamu.

Unajua ukitaka kujua ubinadamu wa mtu muangalie usoni, the face reflects what the heart bears.
Sasa bibi Kiroboto, uso mchungu namna ile unategemea awe na utu rohoni?..U wish!

Ninachokiona ni kwamba watanzania tunajifunza in a hard way kwa sababu tulikataa kujifunza in a humble way.
Mungu anatufunulia uovu in its fullest ili akija kutufunulia wema tuone tofauti na tumshukuru (tusichukulie for granted)
 
So far nadhani wanazitendea haki dakika zao.
Hakuna namna ya kuzitumia vizuri bila kuwachanachana hawa wapumbavu.
Hata ukisema kipi, kwa busara ipi, kuboresha bajeti haisaidii kitu.
Mwishoni wapo kina "Naunga Mkono Mia kwa Mia"
Mwacheni Sugu awachane, na wengine ungeni tera!

Need u say more!...well stated mkuu.
 
si ajabu sugu kulipuka, itakua si yeye ni bangi tu zimelipuka mkuu, zile alizokua akivuta kabla ya kupanda majukwaani na mlegezo
Mbona mzee wako ndie aliye hivyo au kwa ufupi ni tabia za mzee wako
 
Muziki na siasa wapi na wapi kimsingi chadema hawawezi kuongoza nchi hii hata kidogo
 
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?

Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.

ulakini ni kwa Sugu kumsema Mwigulu ila mwigulu alipomsema Mbowe na Slaa tena kwa kuwataja majina hakukua na ulakini? ushabiki wako wa kipumbavu.
 
Back
Top Bottom