Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?
Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
Akiguswa Mwigulu basi kuna walakini, eti? Ila Mwigulu akigusa wengine kuna INPUT!!! SHY AWAY!!!!