Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

Kwa madai ya elimu ya kuungaunga kwa mh Mlugo, mh Sugu asisahau kuwa hata yeye Hakustahili kuwa mbunge kwa elimu yake!! kama si katiba yetu kusema sifa ya mbunge ajue kusoma na kuandika, hivyo kumpelekea hata Rais kuchagua mawaziri miongoni mwa mbumbumbu kwa kuzingatia kuwa lazima Mbunge awe Mbunge.
 
leo amenichekesha sana sugu.Anakwambia mwigulu ni mpumbavu sana ana make deal afu anatumia m-pesa.ha ha ha ha
 
Humjui Mwigulu wewe nguchiro.Mwigulu naye kaungaunga elimu kama Nape,atakuwaje the man?au anaku******?Uliza jimbo zima la Mwigulu kama kuna mwenyeji wa huko mwenye majina hayo.Watu wenye elimu za mashaka ndo wanaojikomba ccm ili watoto waende chooni;na sishangai ukawa mmojawao.

Naunga mkono hoja,sikuzote mtu anayejiamini hawezi kujikombakomba! mtanzania yeyote hawezi kuogopa kujiunga upinzani eti ataulizwa uraia ila mhamiaji ndie ataogopa kuwa upinzani!
 
Wakati akichangia bajeti ya PM, Mh Mbilinyi ametumia lugha kali sana dhini ya serikali na Mwigulu Nchemba akazua ubishi mkubwa kati yake na Speaker..

Ameanza kwa kusema kuwa "Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe" na hivyo hivyo serikali pumbavu hubomoa nchi.

Akasema kuwa walimnyanyapaa Mbatia na hoja yake ya Elimu na kukumbatia wapumbavu kama akina Mwigulu; na sasa matokeo ya Form 4 2012 yamewaumbua.

Amelaumu usalama wa Taifa kwa kushindwa kumshauri Rais hadi akamteua waziri wa elimu mwenye elimu ya kuunga unga.

Alipotakiwa kufuta neno upumbavu alikataa kata kata...
Atakuwa alienda kushitua kidogo? Hiyo confidence ni more than natural
 
Bunge hili full usanii ni zaidi ya komedi show.
 
Wabunge wote hovyo tu, Wa CCM wakichangia hoja kwa kulalamikia serikali pumbavu, mwisho wanamalizia kwa kuunga mkono hoja! Yupi ana unafuu hapa?
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?

Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.
 
Wakati akichangia bajeti ya PM, Mh Mbilinyi ametumia lugha kali sana dhini ya serikali na Mwigulu Nchemba akazua ubishi mkubwa kati yake na Speaker..

Ameanza kwa kusema kuwa "Mwanamke mpumbavu huvunja nyumba yake mwenyewe" na hivyo hivyo serikali pumbavu hubomoa nchi.

Akasema kuwa walimnyanyapaa Mbatia na hoja yake ya Elimu na kukumbatia wapumbavu kama akina Mwigulu; na sasa matokeo ya Form 4 2012 yamewaumbua.

Amelaumu usalama wa Taifa kwa kushindwa kumshauri Rais hadi akamteua waziri wa elimu mwenye elimu ya kuunga unga.

Alipotakiwa kufuta neno upumbavu alikataa kata kata...
wewe unatarajia nini kutoka kwa mtu kama sugu au lema. hiyo ndo michango yao. nikutukana tu. wapumbavu kabisa.
 
Chadema wanaiharibu sana nchi yetu. Wakati CUF kilipokuwa chama kikuu cha upinzani Bunge lilikuwa mahali pa hoja.
Wa mpui kaleta uzi hapa moderators wameutoa nanukuu alichoandika anasema ameambiwa na mfanyakazi wa bunge kuhusu simu ya iliyotoka kwa Kinana kwenda kwa spika Anne Makinda akimwita dada mtoe mwigulu kuchangia jioni achangie asubuhi kwa sababu ana mengi ya kusema, Anna makinda akamuuliza kwani anayotaka kusema ni makali sana akasema akuonyeshe atakachosema
Ujue Spika Anna Makinda pale kakaa kama boya anafuta amri za mwenyekiti wa CCm Jakaya Kikwete,Katibu Mkuu jangiri wa pembe za ndovu Abdarahman Kinana ,Spika anasuka na watu hawa jinsi ya kuendesha bunge kwa siku ukumbuke Vuta Nikuvute alikuja hapa na mada akitueleza kuwa Tundu Lissu ananyaraka za kuimbua serikali kwa hiyo wamejipanga Spika na MACCM kutibua hoja zote zitakazoongelewa na chadema
 
upumbavu lazima usemwe ukitetea upumbavu, lazima kila kitu kiende kipumbavu
 
Hoja yake imesaidia vipi kuboresha bajeti ya Waziri Mkuu?

Bunge sio Rock Concert, mbunge akiongea akimaliza inabidi kuwe na input alizoweka. Ukiona mbunge kamaliza halafu kinachojadili ni kwamba "kamchana Mwigulu" ujue kuna walakini.

Natumia TECNO nimeshindwa ku " like " lakini najua unatumia kichwa sio kwa kufugia nywele tu !

Good point !
 
Kwa madai ya elimu ya kuungaunga kwa mh Mlugo, mh Sugu asisahau kuwa hata yeye Hakustahili kuwa mbunge kwa elimu yake!! kama si katiba yetu kusema sifa ya mbunge ajue kusoma na kuandika, hivyo kumpelekea hata Rais kuchagua mawaziri miongoni mwa mbumbumbu kwa kuzingatia kuwa lazima Mbunge awe Mbunge.

kweli kuna walemavu wa viungo na wa akili.bongolala wewe.cv ya sugu inajulika wazi.lakini ya uyoo mulugo inasema ana BA akati hana ni mwizi wa vyeti na amegushi ndo anafikiriaga kwa kutumia makalio kama wewe.ndo sugu akasema usalama wa taifa walikuwa wapi kumfanyia uchunguzi mulugo wakati raisi anamteua,wameacha kazi muhimu kazi yao ni kung'oa meno na kukata kukata kucha akasema.
 
Chadema wanaiharibu sana nchi yetu. Wakati CUF kilipokuwa chama kikuu cha upinzani Bunge lilikuwa mahali pa hoja.

payment umeshachukua? Tumekuongeza malipo saivi tunataka uhendelee na hii kasi yani siku nzima pambana na hao wapenda mabadiliko kwa kuchange na kutetea mada humu Jf!!!!!!!!!!!!
 
matusi haya ya kinamwigulu ni ishara tosha kuwa sasa propaganda za magamba zimegonga mwamba sasa magamba hawana jipya hasira zimewapanda wanalazimisha watanzania waamini propaganda zao wamesahau kwamba utumbo huohuo upo mahakamani wanabomoka bunge ili watanzania wawa onee huruma magamba bye bye sasa.
 
hongera sana Mh.Sugu umewachana live,umewapa makavu live:A S 39:
 
Hakuna kinachoshangaza,unategemea nini zaidi kutoka kwake?



MEMBER OF PARLIAMENT CV


[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 3, align: left"]GENERAL[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Salutation[/TD]
[TD]Honourable[/TD]
[TD="width: 42%, align: center"]Member picture
1644.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]First Name:[/TD]
[TD]Osmund[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Middle Name:[/TD]
[TD]Joseph[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Last Name:[/TD]
[TD]Mbilinyi[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 20%"]Member Type:[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Constituent:[/TD]
[TD]Mbeya Mjini[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Political Party:[/TD]
[TD]CHADEMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Location:[/TD]
[TD]Box 815, Mbeya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Phone:[/TD]
[TD]+255 716 627344[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ext.:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office Fax:[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Office E-mail:[/TD]
[TD]jmbilinyi@parliament.go.tz[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Member Status:[/TD]
[TD]Current Member[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Date of Birth[/TD]
[TD]1 May 1972[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 5, align: left"]EDUCATION[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="width: 35%"]School Name/Location[/TH]
[TH="width: 27%"]Course/Degree/Award[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"]Start Date[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"]End Date[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"]Level[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]Sabasaba Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Mbeya Secondary School[/TD]
[TD="align: center"]O-Level Education[/TD]
[TD="align: center"]1988[/TD]
[TD="align: center"]1990[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sisimba Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]1987[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Sokoine Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]1986[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ligula Primary School[/TD]
[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name[/TH]
[TH="align: center"]Position[/TH]
[TH="align: center"]From[/TH]
[TH="align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Mbeya Urban Constituency[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]BP Tanzania Limited[/TD]
[TD]Security Officer[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Self Employed[/TD]
[TD]Celebrity[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]1998[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]POLITICAL EXPERIENCE[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]CHADEMA[/TD]
[TD]Member[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

 
Back
Top Bottom