Mgomo wa madaktari - Updates

Mgomo wa madaktari - Updates

Hoja hujibiwa kwa hoja na si rejea tu. Any way sio kosa lako.

lazy lady ...you don't know what you I talking about ..I cite a reference so that you can go ,get understanding then come and discuss.You resisted ,you keep your ignorant ...research will give you a right to speak..amka
 
Rais hana matatizo yoyote madaktari wakigoma. Anayo arsenal kubwa ya silaha kutumia dhidi ya madaktari. Tatizo hapa ni kuamua tu jambo ambalo linaweza kuwa satisfactory for every one.
Na wale it seems they have had the good sense kwenda Ukumbi wa Utamaduni wa Russia. Wangekuwa Arnatouglo hall,Rais angepeleka vifaru kuwazingira.
Kumbuka ile Fukoshima Nuclear disaster ya mwaka jana Japan. Radiation ilikuwa imezidi katika reactor,there was even talk of evacuating Tokyo. Lakini Waziri Mkuu akaamuru wale scientists waingie ndani ya zile reactor to stabilize the situation. Na sasa wale watu wanaitwa the 50 Fukoshima heroes. Waliitikia wito wa Waziri Mku in the Kamikaze tradition of Japan. Hata hivyo Waziri Mkuu wa Japan baadaye ilibidi ajiuzulu.
Muhimu hapa ni kwamba madaktari warudi kazini kwa moyo wa Uzalendo,halafu baadaye Ndugu Rais atoe tamko kuhusu hao Mawaziri,anatak wajiuzulu au vipi.

Maana ya JF inadhihirika! You are the great thinker friend! Ulikuwa wapi?
 
AISEE KAMA KUNA MIJITU MIJINGA WEWE UNAWEZA KUWA KIONGOZI WAO ETI UNAWEKA NA TUMANENO TWA KINGEREZA KWENYE HUU UJI WA MLENDA ULIOWEKA HAPA STUPIDIFIDY STUPIDITY,UNAFIKIRI KILA MTU ANA MAWAZO YA JIKONI KAMA WEWE??

SISI TUNAFANYA KAZI YA KUWAKOMBOA WATANZANIA NA SIO KUDAI HAKI ZETU SISI,NI MIGOMO MINGAPI IMEWAHI KUITISHWA TOKEA UHURU NA IKAKOSA MAFANIKIO??UMEWAHI KUJIULIZA NI KWA NINI?NI JEURI KIASI GANI WALIYONAYO WANASIASA HASA WATAWALA AMBAPO WANAWEZA KUWAAMURU POLISI WAUE WANANCHI NA POLISI WAKAUA BILA HATA KUCHUKULIWA HATUA

IMEFIKA WAKATI SASA TUKIGOMA WATUSIKILIZE NA HII NI RAI YANGU KWA MADAKTARI WOTE,TUENDELEE NA MGOMO HUU MPAKA KIELEWEKE TUSITISHWE NA AMRI ZA MAHAKAMA NA WANASIASA WASIONA HURUMA NA WATAZNANIA WANAOWAONGOZA

RAI YANGU KWA WALIMU,WANAJESHI,MAPOLISI NA MAKUNDI PEMBEZONI YOTE HUU NI WAKATI WA UKOMBOZI ,RASILIMALI ZETU ZINATUMIKA NA FAMILIA CHACHE ZA KISIASA SIO SAWA HII NI NCHI YETU NA SISI NDIO WATANZANIA,TUNA UCHUNGU NA KWA UCHUNGU HUU TUTAGOMA HATA MWAKA MZIMA

RAI YANGU KWA WATANZANIA WOTE WAPENDA MABADILIKO ,HUUU NI WAKATI WA KUUNGANA NA KUUPINGA UDHALIMU NA UKANDAMIZAJI,TUUNGENI MKONO ILI TULIKOMBOE TAIFA LETU,UKOMBOZI WA NCHI HII UTAANZIA KWETU NA KUSAMBAA KOTE NA HILI NI KWA MANUFAA YA WATANZANIA WA LEO NA KIZAZI KIJACHO

umoja ni nguvu tuunge mkono tuongoze na kuleta mabadiliko ya kweli

I disagree with my friend,

Mnatukomboa wananchi kwa lipi ambalo tunahitaji kukombolewa. Kumbe mgomo wa madaktari mnataka kupindua nchi???? Kama lengo lenu ni hilo siwaungi mkono maana najua kuna nguvu nyuma yenu inawasukuma na hiyo nguvu itawatokea puani kwani mjue urais ni taasisi sasa mkimpindua huyo mtakayemweka hatatawala kwa amani na ndio mwisho amani tunayoimba kila siku Tanzania.
 
I disagree with my friend,

Mnatukomboa wananchi kwa lipi ambalo tunahitaji kukombolewa. Kumbe mgomo wa madaktari mnataka kupindua nchi???? Kama lengo lenu ni hilo siwaungi mkono maana najua kuna nguvu nyuma yenu inawasukuma na hiyo nguvu itawatokea puani kwani mjue urais ni taasisi sasa mkimpindua huyo mtakayemweka hatatawala kwa amani na ndio mwisho amani tunayoimba kila siku Tanzania.

vifaa,mazingira yakiwekwa mazuri huku wakwamishaji wakiondolea
 
kwa wale msioamini naomba mtembelee muhimbili.habari zinasema huu mgomo wa leo umezidi ule wa kwanza.madaktari wote wamerespond,specialist wanaendelea na kikao.

Rafiki,
naona unashadadia as if ni kitu kizuri sanaaaaaa.
ni mambo matatu
1. kwa serikali
act faster kwa hicho mlichojipanga(stmt from Mh. Pinda)
ushauri
-tangaza nafasi za udaktari ndani na nje ya TZ.
-privatised medical sector
2. kwa madaktari
-rudini kazini
-kwa wale wanaogoma tu kwa shinikizo la wengine be careful ulisoma peke yako na ukakaribia na kua daktari kama ww
speak out then serikal ikusaidie si kwa njia ya kusababisha mauaji/hofu kwa wagonjwa
-ninyi ambao mna channels kwenye ma NGO halafu mnawachuza wenzenu M/Mungu atawalipizia humu humu dunian, kwan hata mkifukuzwa tayari mna kazi sehem nyingine
3. wananchi
-mgomo wa madaktar unaweza kua ni sahihi ila tutazame kwa kina jamaa wamekosea,maombi yao mengi ni nadhalia zaid kuliko uhalisia na iwapo wakitimiziwa haya next watakuja na complicated things na pia je kuna halufu ya kuchochowa!!!
 
AISEE KAMA KUNA MIJITU MIJINGA WEWE UNAWEZA KUWA KIONGOZI WAO ETI UNAWEKA NA TUMANENO TWA KINGEREZA KWENYE HUU UJI WA MLENDA ULIOWEKA HAPA STUPIDIFIDY STUPIDITY,UNAFIKIRI KILA MTU ANA MAWAZO YA JIKONI KAMA WEWE??

SISI TUNAFANYA KAZI YA KUWAKOMBOA WATANZANIA NA SIO KUDAI HAKI ZETU SISI,NI MIGOMO MINGAPI IMEWAHI KUITISHWA TOKEA UHURU NA IKAKOSA MAFANIKIO??UMEWAHI KUJIULIZA NI KWA NINI?NI JEURI KIASI GANI WALIYONAYO WANASIASA HASA WATAWALA AMBAPO WANAWEZA KUWAAMURU POLISI WAUE WANANCHI NA POLISI WAKAUA BILA HATA KUCHUKULIWA HATUA

IMEFIKA WAKATI SASA TUKIGOMA WATUSIKILIZE NA HII NI RAI YANGU KWA MADAKTARI WOTE,TUENDELEE NA MGOMO HUU MPAKA KIELEWEKE TUSITISHWE NA AMRI ZA MAHAKAMA NA WANASIASA WASIONA HURUMA NA WATAZNANIA WANAOWAONGOZA

RAI YANGU KWA WALIMU,WANAJESHI,MAPOLISI NA MAKUNDI PEMBEZONI YOTE HUU NI WAKATI WA UKOMBOZI ,RASILIMALI ZETU ZINATUMIKA NA FAMILIA CHACHE ZA KISIASA SIO SAWA HII NI NCHI YETU NA SISI NDIO WATANZANIA,TUNA UCHUNGU NA KWA UCHUNGU HUU TUTAGOMA HATA MWAKA MZIMA

RAI YANGU KWA WATANZANIA WOTE WAPENDA MABADILIKO ,HUUU NI WAKATI WA KUUNGANA NA KUUPINGA UDHALIMU NA UKANDAMIZAJI,TUUNGENI MKONO ILI TULIKOMBOE TAIFA LETU,UKOMBOZI WA NCHI HII UTAANZIA KWETU NA KUSAMBAA KOTE NA HILI NI KWA MANUFAA YA WATANZANIA WA LEO NA KIZAZI KIJACHO

umoja ni nguvu tuunge mkono tuongoze na kuleta mabadiliko ya kweli

Mtawakomboaje watanzania kwa kutomtaka waziri? unadhani shida kubwa ya watanzania ni afya?

Assume waziri kajiuzulu na madai yenu yote mmetimiziwa kesho, je mnaweza tibu wagonjwa bila umeme, maji etc?

Mmefanya kosa kuingiza, kuingia au kuingizwa kwenye siasa na kusahau wajibu wenu.
 
vifaa,mazingira yakiwekwa mazuri huku wakwamishaji wakiondolea

There lies a problem mazingira yapi mnayataka? Mishahara minono, marupurupu kibao au mazingira ya nje kama vifaa vya matibabu, vitanda nk. Ama mazingira ya nje kama vitanda na vitu vyengine nawaunga mkono but katika mishahara na marupurupu siwaungi mkono maana hamsemi ukweli. Madaktari mishahara yenu inajumuisha allowance zote ambazo wafanyakazi wa serikalini wanapata. Ila hamtosheki mnataka zaidi kwa madai kuwa hampati. Zamani mlikuwa mkilipwa mishahara midogo but kukiwapo housing allowance, petrol allowance nk. Kuanzia mwaka 2000 nadhani ikabadilishwa vyote vikajumuisha katika mshahara. Sasa tatizo liko wapi? Je hilo ni tatizo la waziri au idara zenu za fedha zilizopeleka mapendekezo hayo? Mbona taasisi zengine hawajafanya kama walivyofanya nyie. Acheni tamaa zenu natamani rais anipe uwaziri wa wizara hiyo maana mngelinikoma wallahi.
 
Rais hana matatizo yoyote madaktari wakigoma. Anayo arsenal kubwa ya silaha kutumia dhidi ya madaktari. Tatizo hapa ni kuamua tu jambo ambalo linaweza kuwa satisfactory for every one.
Na wale it seems they have had the good sense kwenda Ukumbi wa Utamaduni wa Russia. Wangekuwa Arnatouglo hall,Rais angepeleka vifaru kuwazingira.
Kumbuka ile Fukoshima Nuclear disaster ya mwaka jana Japan. Radiation ilikuwa imezidi katika reactor,there was even talk of evacuating Tokyo. Lakini Waziri Mkuu akaamuru wale scientists waingie ndani ya zile reactor to stabilize the situation. Na sasa wale watu wanaitwa the 50 Fukoshima heroes. Waliitikia wito wa Waziri Mku in the Kamikaze tradition of Japan. Hata hivyo Waziri Mkuu wa Japan baadaye ilibidi ajiuzulu.
Muhimu hapa ni kwamba madaktari warudi kazini kwa moyo wa Uzalendo,halafu baadaye Ndugu Rais atoe tamko kuhusu hao Mawaziri,anatak wajiuzulu au vipi.
Mkuu wangu hizi stori za vijiweni usituletee hapa. Hakuna watoto wachanga hapa! Hakuna mtawala/kiongozi ktk dunia ya leo anaweza wazunguka madaktari na vifaru! Hakuna. Hizi ni akili viwango vya kata kama anavyosema mkuu Ritz!
 
Kama hutaki kurudi meza ya mazungumzo hadi waziri ajiuzulu, ina maana unataka mazungumzo bila waziri (common sense ni kwamba waziri hafanyi maamuzi binafsi, kuna kanuni, taratibu na maelezo mengine ambayo inabidi ayafuate wakati anafanya kazi- na hii inaaply kwa mfanyakazi mwingine yeyote). Kwa hiyo basi, Waziri akijiuzulu, au akaondolewa kwenye nafasi hiyo na Rais, basi lazima hiyo nafasi izibwe na waziri mwingine - ambaye atafanya kazi kwa kanuni, taratibu, sheria na maelekezo yale yale ambayo waziri msiyemtaka amekuwa akifanya kazi kwayo. Kumkataa waziri sio suluhisho la matatizo yeni, na hilo mnalijua fika.

Impliation ya madai ya kuondolewa waziri ili mkae meza ya mazungumzo ni kuwa hamtaki kuongozwa, mnataka mjiongoze ili mhakikishe mnapata vifaa, mazingira, posho, mishahara na stahiki zenu kadri mnavyopenda na mnavyoona inawasuit. Ingekuwa vinginevyo mngerudi meza ya mazungumzo (unless matakwa yenu mnayalazimisha kama vile sekta ya afya ndo muhimu kuliko sekta ya elimu, maji, kilimo nk ambao mnadhani wao hawana matakwa kama mliyonayo).

Wananchi malimbukeni kama mimi tunaona haina haja ya kuwa na madaktari wanaotaka kuua kwa maslahi yao binafsi badala ya kufa wao kwa ajili ya maslahi ya wengi. Mnastahili kuwajibishwa na nadhani mwenye mamlaka anachelewa sana kuwawajibisha.


Hivi umeshawahi kunafikiria kwa nini kuna watendaji au mawaziri wanaonekana ni bora kuliko wenzao??? Wote tunaju kuwa kanuni, sheria na taratibu za kazi ni zilzile lakini utendaji ndiyo huwa unatofautiana.
 
Mkuu Riwa......siku zote naheshimu sana maandiko yako........are you really serious.........hebu chukua mawazo yako hayo yaweke katika picha iliyo kubwa kidogo......toka nje ya madaktari kidogo...........please



Labda hapo ndio kwenye tatizo na watu tunaojiita 'Great Thinkers' tunabaki tukibishana kwa siku kadhaa juu ya kitu ambacho kiko straight forward....pande zote hapa zinajitahidi kuwa selfish...si madaktari, si serikali, si wananchi/wagonjwa...tunatofautiana degree na lengo la ya u-selfish tu!

Sisi kama madaktari, bila kuwa selfish serikali haitaboresha maslahi yetu na utoaji huduma bora katika hospitali za umma, kwa sababu serikali ni selfish kushinda hata sisi, lakini uselfish wa maDaktari una component ya kuboresha utoaji wa huduma bora za afya kwa jamii!

Serikali nayo ni selfish, lakini u-selfish wake haumsaidii Daktari wala mwananchi! Wananchi nao kwa upande wao ni selfish, wanajali afya zao tu, bila kujali madai ya msingi ya maDaktari wala serikali inafanya nini kuyatatua.

Sasa huu u-selfish wa pande zote ndio utakaodetermine urefu wa huu mgomo...serikali ikiamua kutokuwa selfish huu mgomo unaisha in a day...maDaktari wakiamua wasiwe selfish, huu mgomo unaisha in a day, lakini utaendelezwa na mgomo-baridi kutokana na frustration kitu ambach si kizuri kwa wagonjwa, na pia idadi kubwa ya maDaktari watakatishwa tamaa na kufanya kazi hospitalini au nchini, hivyo tutawapoteza...wananchi hawawezi acha kuwa selfish kwani kila mtu lazima ajali afya yake kwanza, lakini wanaweza kuutumia u-selfish wao kuishinikiza serikali kutatua huu mgogoro haraka, sababu wakiwaacha maDaktari wawe watatuzi wa huu mgogoro bado wananchi watatathirika na mgomo-baridi au kuondokewa na idadi kubwa ya maDaktari tabibu!

you can be selfish as much as you want..........lakini uselfish huo....kuu-associate...na kutaka Mawaziri wajiuzulu....is absolutely NONSENSE......PERIOD!....huhitaji kuwa eti "great thinker" kwenye hilo.....Mkuu Riwa........


Siku mgomo wa kwanza ulipoisha maDkatari wakati wanatoa kauli ya kurudi kazini waliweka wazi kinachofuata...waliweka wazi kuwa watendaji waliobaki wa Wizara ya Afya (Waziri na Naibu wake) wajiuzulu au kutimuliwa, jukumu ambalo WM Pinda alimtwisha Rais...Madaktari waliweka wazi kuwa tarehe 3 march watakutana kujadili progress ya mchakato utakaojumuisha madai yaliyokuwa pending. Tarehe 3 March maDaktari walikutana na wakatoa tamko kuwa wanaelewa kuwa serikali iko katika mchakato wa kuangalia jinsi ya kuboresha maslahi ya watunishi wa afya na mazingira ya kazi, ila kuna jambo ambalo halihitaji mchakato....Mawaziri kujiuzulu! Na walitoa tamko nini kitakachofuatia iwapo hawatajiuzulu!

Badala yake Mawaziri hawakujiuzulu na serikali kutangaza ubabe na kuwakingia kifua....NANI ANATAKA SIFA HAPO?

Let me tell you...with or without public support, we reached the point of no return! Kurudi kazini ni iwapo tu Mawaziri watajiuzulu kupisha watu wengine tutakaowaamini kuwa wana nia ya dhati ya kuboresha maslahi na ubora wa huduma za afya, then tutarudi mezani...hata kama will take years, atleast tuwe kwenye mchakato na watu tunaojiaminisha wana nia ya dhati!

Again..........maelezo mengine yako sawa.........hilo la kujiuzulu......mmeonyesha uwezo wenu mdogo wa kufikiri.......your selfishness exceeded your ability to think..........


Tatizo letu ni mnapogoma 'eti kwa vile waziri na naibu wake hawajajiuzulu' .... mtarudi mezani baada ya waziri na naibu mpya kuteuliwa au mnataka hiyo wizara muindendeshe wenyewe?

Kiasi cha kusema with or without public support mko kwenye point of no return, ni kiburi, jeuri ukatili na uasaliti kwa wananchi. We better live without dr than kuwa na madrs wa kaliba yenu, wauaji.

Thank you...........given whetever they desire..........jeuri wanayoionyesha.......INATU-COST na ITATU-COST sana wananchi.......

Naishauri serikali....kuboresha mazingira ya madaktari ni muhimu.........however kushinikizwa kuwaondoa viongozi kwa njia hii.......ni NO NO!

Watu wanakuwa kama hawajaelimika.......aisee......
 
8E9U2755.JPG


JK alipokutana na viongozi wa madaktari leo ikulu.....
8E9U2768.JPG


MICHUZI: JK AKUTANA NA UONGOZI WA CHAMA CHA MADAKTARI IKULU LEO
 
Jana nilikwambia kuwa safari hii mtakoma....mgomo uko pale pale
Hii kali, itabidi lile tangazo lakukataza mabango ya waganga wakienyeji libadolishwe wakati huu ili tuende kwao tukapate matibabu hadi Kaka NAZI atakapomalizana na hawa madaktari .
 
Taarifa zilizonifikia kutoka vyanzo vya kuaminiaka bugando wamebandika tangazo likisomeka hivi

"KUTOKANA NA SERIKALI KUTOKUWA TAYARI KUSHUGHULIKIA MADAI YA MADAKTARI IPASAVYO SISI MADAKTARI TUMESIKITISHWA SANA. KUANZIA LEO TAREHE 7 MACHI 2012 SAA 2; 00 ASUBUHI,MADAKTARI WA HOSPITALI YA BUGANDO TUNASITISHA KUTOA HUDUMA ZOTE MPAKA HAPO SERIKALI ITAKAPOSHUGHULIKIA MADAI HAYO.
JUMUIYA YA MADAKTARI BUGANDO (INTERN,REGISTRARS,RESIDENTS)
NAKALA KWA WAKUU WA IDARA,UTAWALA BMC"

MUHIMBILI
EMD-KITENGO CHA WAGONJWA WA DHARURA KIMEFUGWA

OPD-WAGONJWA WAMEJAA LAKINI HAWAONI

THETRE HAZIFANYI KAZI NA MASPECIALIST WAPO RUSSIAN CULTURE TO PUT LAST NAIL IN THE COFFIN. WAMEUNGANA NA WATAANZA MGOMO RASMI LEO.

AMANA
TOTAL TOOLS DOWN

MWANANYAMALA
TOTAL TOOLS DOWN EXCEPT 4 COs

TEMEKE
TOTAL TOOLS DOWN

MBEYA
WANAENDELEA PALE WALIPOISHI MAANA MGOMO KAMA KAWA

IFAKARA
TOTAL TOOLS DOWN

KCMC
MADAKTARI KUTOA TAMKO MUDA SI MREFU
-TOTAL TOOLS DOWN

MOUNT MERU

TOOLS DOWN

OCEAN ROAD
TOOLS DOWN


IFAKARA
TOOLS DOWN


Ikulu kuna mkutano mkubwa unaendelea nitato updates bdae
 
Kondolewa -siyo kusimamishwa -kwa Mponda na Nkya ndio jambo la kwanza la kufanya madaktari warudi kazini. Siyo ahadi au "mchakato".
 
8E9U2755.JPG
JJK akipeana mkono na Dr. DUX, katikati karibu na Dux ndo Dr. Ulimboka kwa msiomjua.
Nyuma ya JK anayesmile ni Rais wa MAT Dr. Namala Mkopi
 
Back
Top Bottom