green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,451
- 36,294
👋👋Kwenye kutafuta hela alikuwa hacheki na kima
👋👋Kwenye kutafuta hela alikuwa hacheki na kima
Aisee , pesa Bongo inatafutwa Kwa Magumashi mnoYupo mwanawe alikuwa anasimamia mradi wa kupika nguzo za umeme huko Iringa alikufa mysterious death naye pia inasemekana mzee alimtoa kikowa.
Mzee umechafukwa, unamwaga ma file tuNa hilo Andrew ni jina la mtoto wake ambaye alikufa siku nyingi na inaaminika huyu dingi alimtoa kafara.
Huyo jamaa alikuwa hatari bin danger.Mzee alikua ni master kabisa...walienda walioenda na hakucheka na mtu! Ila mwishoni aliokoka kweli na trakea ikawa kanisa badala ya baa...woiso wa Wop ni kijana mdogo sana...sidhani hata kama 44 anafika...ila kwa umri wa woiso kulikua hamna namna ya namna ya kutafuta hela kipindi chao...hela ilikua haipatikani instagram ilibidi uichukue kwa watu!
Mzee Lesheya....Mzee Emil Lesheya Woiso amefariki leo asubuhi. Msiba upo nyumbani kwake Tegeta karibu na IPTL.
Alikuwa mmiliki wa Tarakea Restaurant pale Mwenge na Cornelius Girls Secondary School pale Tegeta Skanska
Yule wa ngozi nadhani anaitwa Herman woisoNilijua ndio yule anayetengeneza na kuuza bidhaa za ngozi hapa nchini ama ni ubini
Ukitenda ubaya utakufuata hadi kaburini kwako ,na utavuna ulichopandaMzee umechafukwa, unamwaga ma file tu
Hakuna soja hapo mzeeOne soldier down.
Nakumbuka alivyopora kibabe nyumba ya bibi kizee pale Salasala Mabandamengi, isingekuwa Magu kuingilia Kati bibi alikuwa ameshaumizwaAlikuwa dhulmati sana huyu.
DahAlikuwa dhulmati sana huyu.
JF ni zaidi ya Sosho mediaJf ni balaa watu wanaubuyu balaa yani mzee marehemu amedadavuliwa kama wachambuzi wa soka wanavyo lichambua soka.
Kiufupi ukisoma komenti karibia zote zinaonesha marehemu alikuwa mtu hatari.
Kinachonifurahisha ni kwamba humu kuna memba amesoma na kila marehemu. Yani koment rip classmate hatakama marehemu alikuwa na miezi miwili utaikuta.
Hivi huyu Bujugo wa Green Acres alishafariki? Pia ndo huyo huyo mwenye shule ya Green Acres iliyoko Missenyi Kagera?IPTL ipo Salasala na shule za Lesheya zipo Salasala pia na siyo Tegeta.
Sema Mzee alikuwa tapeli wa Viwanja sana pamoja Bujugo wa Green Acres schools!
HeeAlikuwa dhulmati sana huyu.