TANZIA Mwalimu maarufu wa Geography, Mtegetwa Mng'ala Afariki Dunia

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,446
7,822
Mwalimu wetu/Rafiki yetu Mr. Mtegetwa Mng'ala amefariki Siku ya Leo katika Hospital ya Mloganzila, alipokuwa akipatiwa Matibabu.

Kwa Sasa Msiba upo Nyumbani kwake Ukonga- Bomba Mbili Ila utahamishiwa Nyumbani Kwao Ruvu Na mazishi yanatarajiwa kufanyika Siku Ya Ijumaa March 1, 2024 huko RUVU.

Best Teacher in Geography, mwalimu Mtegetwa alikuwa na kituo maarufu cha masomo ya ziada na kutoa mitihani Msimbazi, Dar es Salaam.

=======
Mtegetwa.jpg

Educational Background:-
  1. Primary Education 1982 - 1988 At Ruvu Darajani Primary School Bagamoyo.
  2. Secondary Education ( O level ) 1989 - 1992 At Lugoba Secondary School.
  3. Utete Secondary School Rufiji.
  4. Zanaki Institute Of Adult Education DSM And AIC - DSM (A level ) August 1994 - May 1997.
  5. Univesity Of Dar Es Salaam - FASS 1998 2001
He was also Employed as full and part time A level Geography Teacher at Various Secondary Schools
  1. Al Haramain Seminary (DSM) July 2001 - March 2005.
  2. Kinondoni Muslim (DSM) February 2002 - March 2003.
  3. Mororgoro Secondary School (Morogoro) May 2003 - July 2004.
  4. Ridhiwaa Seminary DSM August 2004 - September 2005.
  5. Telenets (T) LTD 2013 - 2015.
  6. Msolwa Seminary School (Morogoro) 2015 - 2016.
  7. Baobab Secondary (Bagamoyo)
 
Mwalimu wetu/Rafiki yetu Mr. Mtegetwa Mng'ala amefariki Siku ya Leo katika Hospital ya Mloganzila, alipokuwa akipatiwa Matibabu...
Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.

Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
 
Mwalimu wetu/Rafiki yetu Mr. Mtegetwa Mng'ala amefariki Siku ya Leo katika Hospital ya Mloganzila, alipokuwa akipatiwa Matibabu.

Kwa Sasa Msiba upo Nyumbani kwake Ukonga- Bomba Mbili Ila utahamishiwa Nyumbani Kwao Ruvu Na mazishi yanatarajiwa kufanyika Siku Ya Ijumaa March 1, 2024 huko RUVU.

Best Teacher in Geography, mwalimu Mtegetwa alikuwa na kituo maarufu cha masomo ya ziada na kutoa mitihani Msimbazi, Dar es Salaam.

=======

Educational Background:-
  1. Primary Education 1982 - 1988 At Ruvu Darajani Primary School Bagamoyo.
  2. Secondary Education ( O level ) 1989 - 1992 At Lugoba Secondary School.
  3. Utete Secondary School Rufiji.
  4. Zanaki Institute Of Adult Education DSM And AIC - DSM (A level ) August 1994 - May 1997.
  5. Univesity Of Dar Es Salaam - FASS 1998 2001
He was also Employed as full and part time A level Geography Teacher at Various Secondary Schools
  1. Al Haramain Seminary (DSM) July 2001 - March 2005.
  2. Kinondoni Muslim (DSM) February 2002 - March 2003.
  3. Mororgoro Secondary School (Morogoro) May 2003 - July 2004.
  4. Ridhiwaa Seminary DSM August 2004 - September 2005.
  5. Telenets (T) LTD 2013 - 2015.
  6. Msolwa Seminary School (Morogoro) 2015 - 2016.
  7. Baobab Secondary (Bagamoyo)
Daahh

Miamba ya Mchikichini inaendelea kung'oka.

Mpe salamu Moody Physics, alama mumeziacha
 
Kasomesha Alharamain? Halafu kuna wapumbavu wachache humu wanasema waislam wanabagua. Kuna walimu wanaingia na misalaba yao ktk shule za kiislam.

Ukianza upuuzi wako wa kutaka kubatiza watoto wetu hapo ndio utapoona moto wa waislam
acha ujinga we nguchiro watu tupo kwenye majonzi una anza kuleta ujinga jinga wako hapa kaa hapa (🖕)
 
Back
Top Bottom