TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

lesheya aliahampokea bwana Yesu kuwa mwokozi wa maisha yake.
Mnakosea sana. Hamjui biblia. Nenda kasome baada ya daudi kushika madaraka nchi ikawa bado haibarikiwi na David alipouliza alijibiwa nini na nabii? Waliambiwa utawala uliopita wa sauli uliua wana wa Gibeon so waende wakawaulize hao wana wa Gibeon kifanyike nini ili wasamehe na nchi itakasike? Wakawaambia wawaonyeshe mabaki ya jamaa ya sauli wawaue ili kulipiza kisasi na walipofanya hivyo nchi ilitakaswa. Mfano mwingine Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunz wake patana na mshitaki wako kwanza kabla hamjafika kwa hakimu na akasema hautatoka humo kamwe mpaka ulipe senti ya mwisho. Mfano mwingine wa zakayo alipompokea Yesu tu alikumbuka dhambi zake na akasema atawarejeshea mara kumi aliowadhulumu. Ni hiv, Mungu sio dhalimu wewe unaweza kukuta umenidhulumu halafu unaenda kuokoka lakin unasahau mimi kila asubuh naamka namkumbusha Mungu asisahau uovu ulionifanyia umenidhulumu. Na kuhakikishia Mungu ni wa haki hata sikia sala yako ya kuokoka bali atamsikiliza aliyekosewa. Ndio maana Yesu alikuja kwakuwa sheria ya roho ni lazima haki yote itimizwe Mzee so kama umeiba umedhulumu nenda watafute uliowatendea uwarudishie vyao ndio uje madhabahuni kuokoka. Mungu ni haki na kweli.
 
Kumbe na ww ulimkomesha? Mie pia nilimkomesha niliwahi kumlaza selo mwaka 2008. Mpk jana anafariki bado tulikua na mgogoro. Mungu amuweke anapostahili
Miaka ya 99 huko nilikuwa na Deal na mbao. Sasa nawashushia sijui dereva wangu akamlegezea mama akachapa, cjui ule mchezomzee walipanga na mama. akajifanya amemfumania dereva. akaacha gar akakimbia. Mzee anajifanya ametaifisha gar na mbao, mi wakati huo nipo iringa huko. Nakumbuka tu nilikuja nikampa account nika mwambia mzee mi kwanza nilishairisha kwenda mbinguni na pili mimba yangu imeingilia bar na nimezaliwa segerea sasa mi nakuachia kila kitu sisi wakibosho pesa tutaifuata muda tunaotaka utanitafuta mwenyewe. Kilichotokea anajua yeye na mkewe kwenye mabanda yao ya nguruwe kule salasala.
 
Hivi huyu Bujugo wa Green Acres alishafariki? Pia ndo huyo huyo mwenye shule ya Green Acres iliyoko Missenyi Kagera?
Bujugo alishafariki,kuhusu hiyo shule ya Misenyi sijui ila Bujugo alikuwa mfadhili wa Bujugo sekondari kijijini kwao.Jina Bujugo siyo lake ni la kijiji.Nasikia zamaji hata yeye
Mnakosea sana. Hamjui biblia. Nenda kasome baada ya daudi kushika madaraka nchi ikawa bado haibarikiwi na David alipouliza alijibiwa nini na nabii? Waliambiwa utawala uliopita wa sauli uliua wana wa Gibeon so waende wakawaulize hao wana wa Gibeon kifanyike nini ili wasamehe na nchi itakasike? Wakawaambia wawaonyeshe mabaki ya jamaa ya sauli wawaue ili kulipiza kisasi na walipofanya hivyo nchi ilitakaswa. Mfano mwingine Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunz wake patana na mshitaki wako kwanza kabla hamjafika kwa hakimu na akasema hautatoka humo kamwe mpaka ulipe senti ya mwisho. Mfano mwingine wa zakayo alipompokea Yesu tu alikumbuka dhambi zake na akasema atawarejeshea mara kumi aliowadhulumu. Ni hiv, Mungu sio dhalimu wewe unaweza kukuta umenidhulumu halafu unaenda kuokoka lakin unasahau mimi kila asubuh naamka namkumbusha Mungu asisahau uovu ulionifanyia umenidhulumu. Na kuhakikishia Mungu ni wa haki hata sikia sala yako ya kuokoka bali atamsikiliza aliyekosewa. Ndio maana Yesu alikuja kwakuwa sheria ya roho ni lazima haki yote itimizwe Mzee so kama umeiba umedhulumu nenda watafute uliowatendea uwarudishie vyao ndio uje madhabahuni kuokoka. Mungu ni haki na kweli.
Yesu hakuhubiri sheria ya jino kwa jino.Ina maana usipompata uliyemkosea Yesu hakuokoi? Mtume Paulo ni wapi aliwaomba msamaha aliowatesa? Halafu tunaamini,To every general rule there is an exception.Utapatana vipi na mtu ambaye alishafariki na hakuna ndugu wala jamaa yake? Kasome vema injili ya mwana wa Adam uje ukiri hapa kwa hakika Lesheya yuko mahali pema mkono wa kuume wa baba yetu.Hata kama kupatana na uliyemkosea ni lazima ,una evidence gani kwamba Lesheya hakulitimiza hilo?Mwenzio mali nyingi kaliachia kanisa.
 
Jamaaa alikuwa mtu wa front kweli kweli enzi zake lakini baadae akaacha akawa mlokole fulllll kabisana na mpaka anafariki pale kwake Mwenge ilipokuwa Tarakea Restaurant ni Kanisa wanapiga sebene za kanisani balaa, kwa Mbao na Hardware alikuwa pia mwamba Mwenge nzima alikuwa yeye ndio kiboko. Watu wengi wa namna yake wanakuwaga na machale mwishoni wanashtuka na kuacha njia zao mbaya, mfano yule Mwenye Victoria Petrol Stations na yeye alikuwa wale wale baada ya kuzipata akaamua kuacha uovu na kuwa mtu wa Mungu, ndiomaana kila kwenye kituo chake cha mafuta juu kuna kanisa. Ila kimsingi adhabu ya Kabri na Hukmu ni juu ya Mwenyezi Mungu sie waja wote hatujui, ila chamsingi tutende mema tu.
 
Bujugo alishafariki,kuhusu hiyo shule ya Misenyi sijui ila Bujugo alikuwa mfadhili wa Bujugo sekondari kijijini kwao.Jina Bujugo siyo lake ni la kijiji.Nasikia zamaji hata yeye

Yesu hakuhubiri sheria ya jino kwa jino.Ina maana usipompata uliyemkosea Yesu hakuokoi? Mtume Paulo ni wapi aliwaomba msamaha aliowatesa? Halafu tunaamini,To every general rule there is an exception.Utapatana vipi na mtu ambaye alishafariki na hakuna ndugu wala jamaa yake? Kasome vema injili ya mwana wa Adam uje ukiri hapa kwa hakika Lesheya yuko mahali pema mkono wa kuume wa baba yetu.Hata kama kupatana na uliyemkosea ni lazima ,una evidence gani kwamba Lesheya hakulitimiza hilo?Mwenzio mali nyingi kaliachia kanisa.
Bro humjui huyo mzee. Nenda mahakama ya ardhi pale kinondon ulizia ana kesi ngapi za kudhulumu ardhi. Pale mbezi kamdhulumu mama mmoja mjane mpaka amekufa juz juz hajapata haki yake. Ninachosema umeokoka tangaza kama kuna mtu nimemdhulumu au kumuibia aje nimrudishie chake Mzee. hakuna Mungu anaeibia watu haki zao . Mali nyingi kaachia kanisa acheni utan nyie. Kaachia taasisi au kanisa? Mzee mpaka kisukar kinamzidia alikuwa anawadhulum watu.
 
Jamaaa alikuwa mtu wa front kweli kweli enzi zake lakini baadae akaacha akawa mlokole fulllll kabisana na mpaka anafariki pale kwake Mwenge ilipokuwa Tarakea Restaurant ni Kanisa wanapiga sebene za kanisani balaa, kwa Mbao na Hardware alikuwa pia mwamba Mwenge nzima alikuwa yeye ndio kiboko. Watu wengi wa namna yake wanakuwaga na machale mwishoni wanashtuka na kuacha njia zao mbaya, mfano yule Mwenye Victoria Petrol Stations na yeye alikuwa wale wale baada ya kuzipata akaamua kuacha uovu na kuwa mtu wa Mungu, ndiomaana kila kwenye kituo chake cha mafuta juu kuna kanisa. Ila kimsingi adhabu ya Kabri na Hukmu ni juu ya Mwenyezi Mungu sie waja wote hatujui, ila chamsingi tutende mema tu.
Aliokoka wapi unajua hata lile jengo lilipo pale mbezi walikubaliana na mkenya kujenga akaja kumdhulumu akiwa amekoka. Zile ni sanaa. Nenda kwa kakobe waulize alichowafanyia akiwa ameokoka.
 
Bujugo alishafariki,kuhusu hiyo shule ya Misenyi sijui ila Bujugo alikuwa mfadhili wa Bujugo sekondari kijijini kwao.Jina Bujugo siyo lake ni la kijiji.Nasikia zamaji hata yeye

Yesu hakuhubiri sheria ya jino kwa jino.Ina maana usipompata uliyemkosea Yesu hakuokoi? Mtume Paulo ni wapi aliwaomba msamaha aliowatesa? Halafu tunaamini,To every general rule there is an exception.Utapatana vipi na mtu ambaye alishafariki na hakuna ndugu wala jamaa yake? Kasome vema injili ya mwana wa Adam uje ukiri hapa kwa hakika Lesheya yuko mahali pema mkono wa kuume wa baba yetu.Hata kama kupatana na uliyemkosea ni lazima ,una evidence gani kwamba Lesheya hakulitimiza hilo?Mwenzio mali nyingi kaliachia kanisa.
Mkuu waweza kuwa sahihi kiasi, ila mwishoni umechukua majukumu ya mwenyezi Mungu!.. Hakuna binadamu mwenye uhakika kuhusu toba ya mwingine, ni hisia tu. Hiyo ni siri ya Mtu na Muumba wake basi. Hujui dakika ya mwisho kabla hajafa alitenda dhambi gani, pengine alikufuru mwishoni. Kuacha mali nyingi/zote kwa kanisa haku justify msamaha kwa Mungu.
 
nilipataga dili la ku supply materials shulen kwake kuna mwananangu akaniambia huyo dingii ni mgaigai balaa alishawah kumfanyia kazi akawa kila akienda kufuatilia malipo yake anamkuta hayat kaweka bastora mezan anasafishasafisha virisasi inabid muhuni azuge alipita kusalimia baada kupata hii clue nikapita zangu hivi
😂😂😂😂😂 nimecheka sana daah kama ndio ivyo basi noma sana kwani huyu na Alex masawe walikuwa washkaji ? Manake nae alikuwa dingi mmoja wa mbezi dhurumati kinoma kapora watu viwanja aloo acha kabisaaa
 
Mnakosea sana. Hamjui biblia. Nenda kasome baada ya daudi kushika madaraka nchi ikawa bado haibarikiwi na David alipouliza alijibiwa nini na nabii? Waliambiwa utawala uliopita wa sauli uliua wana wa Gibeon so waende wakawaulize hao wana wa Gibeon kifanyike nini ili wasamehe na nchi itakasike? Wakawaambia wawaonyeshe mabaki ya jamaa ya sauli wawaue ili kulipiza kisasi na walipofanya hivyo nchi ilitakaswa. Mfano mwingine Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunz wake patana na mshitaki wako kwanza kabla hamjafika kwa hakimu na akasema hautatoka humo kamwe mpaka ulipe senti ya mwisho. Mfano mwingine wa zakayo alipompokea Yesu tu alikumbuka dhambi zake na akasema atawarejeshea mara kumi aliowadhulumu. Ni hiv, Mungu sio dhalimu wewe unaweza kukuta umenidhulumu halafu unaenda kuokoka lakin unasahau mimi kila asubuh naamka namkumbusha Mungu asisahau uovu ulionifanyia umenidhulumu. Na kuhakikishia Mungu ni wa haki hata sikia sala yako ya kuokoka bali atamsikiliza aliyekosewa. Ndio maana Yesu alikuja kwakuwa sheria ya roho ni lazima haki yote itimizwe Mzee so kama umeiba umedhulumu nenda watafute uliowatendea uwarudishie vyao ndio uje madhabahuni kuokoka. Mungu ni haki na kweli.
Mkuu Kitali hivi unaamini hizi story za kijinga hivi za kwenye biblia?

Duh maajabu haya

Halafu akina Kitali ni very brainy nakaa nao jirani Moshi kijijini kule...very very bright
 
Back
Top Bottom