Meremeta & TANGOLD Revealed!

Meremeta & TANGOLD Revealed!

Mkuu,

Chochote kile Zitto (Mh.) atakachokisema Jumatatu, chochote kile, ameshatuambia tayari kwamba itakuwa ni kuwa call out wanao mdanganya Pinda. Tatizo sio Pinda, Mbunge anasema. Wengine tunamkosoa kwa kusema tatizo sio Pinda. Hilo halihitaji kusubiri maelezo. Kesha lisema. Wakati wengine - na wewe ukiwemo - tumedhani Pinda kaharibu.

Mwanakijiji hilo umesha likubali, na umeenda kwenye rekodi kwa mara ya kwanza leo kusema Pinda ana mushkeli kwa kutoleta ukweli. Hapa, Zitto (Mh.) kasema tatizo sio Pinda. Kwa hiyo wewe, logically, lazima utafautiane na Zitto (Mh.).

Aidha hivyo, au useme umekurupuka kumshutumu Pinda. Mwombe msamaha Pinda kwa kumfungulia thread ya kumkosoa kwa mara ya kwanza toka achaguliwe. Hii si maoni yangu. Ni masharti ya logic. Aidha Zitto kakosea kumtetea Pinda au wewe umekosea kumkosoa Pinda. Simple mathematics. Chagua sumu yako mtu wangu!

hii inaitwa "the fallacy of false dilemma" ambapo mtu anatakiwa achagua pande mbili, hata shilingi haina pande mbili! So, what if Zitto is right and I'm right and you are wrong? What if there are some elements of truths in each one of our positions though may be not the whole truth. Nimeangalia kama Zitto kasema "Tatizo si Pinda" au kasema "Pinda amedanganywa"? Sasa, yawezekana sisi sote tumekosea na Pinda yuko sahihi!

Sidhani kama sisi sote tuko mbali sana from each other tunapotazama majibu ya Pinda leo hii. Je tunajua kuwa Pinda hakudanganywa? Does this remind us of mama Meghji na Ballali? Kama Pinda ametaka apewe information kuhusu Meremeta kutoka kwa watu wanaotakiwa kuwa na habari sahihi kuhusu hiyo Meremeta, na wote waliomletea habari hizo walikuwa na jibu moja kuwa ni za "Usalama wa Taifa".. je Pinda kama Pinda ana uwezo gani ndani ya legal channel to assert to the contrary?
 
Naanza na Tanzania...baada ya kupata uhuru..Then Zimbawe..THEN THE REST OF AFRICA.
Its just the strategic PLAN for the freedom of AFRIKA!
AFRIKA NI THE TAJIRIEST OF ALL THE CONTINENTS!
kwako wewe hiyo strategy inaweza kuwa sawa kutokana na forum uliyo kuwa nayo, lakini Zito ana forum kubwa zaidi ya yako, hivyo anaweza kusema issue ya Zimbabwe na kadhalika.
nafikiri umenielewa, mwenzio hawezi kuongelea suala wa Foreign affairs akaongelea Tanzania, itabidi aulize ya mambo ya nchi zingine na institution zake.
 
wewe Mbunge Wa Kigoma Mwenye Kujisifia Kwa Na Akili Nyingi Na Wengine Finyu!
Hii Habari Haina Uhusiano Na Zimbabwe,na Issue Zote Za Ufisadi Wenu Na Kina Sinclair?

jamni Jmushi1 Punguza Hasira Kaka Angu.naomba Turudi Kwenye Mada Zitto Kama Anajua Ukweli Atatusaidia Wote Hapa.maana Kila Mtu Kachukizwa Na Kauli Za Pm .hata Baba Yangu Kijijini Anashangaa Ni Nini Kinaendelea Dom
 
Inaonekana awamu ya tatu vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vilikuwa vinaongozwa na wafanyabiashara ambao walikuwa busy kuchuma kuliko kusimamia ulinzi na usalama wa nchi..

Alafu hili jibu la Pinda mimi halijanishangaza...nchi yetu bana arggghhhhhh!!!!
 
hii inaitwa "the fallacy of false dilemma" ambapo mtu anatakiwa achagua pande mbili, hata shilingi haina pande mbili! So, what if Zitto is right and I'm right and you are wrong? What if there are some elements of truths in each one of our positions though may be not the whole truth. Nimeangalia kama Zitto kasema "Tatizo si Pinda" au kasema "Pinda amedanganywa"? Sasa, yawezekana sisi sote tumekosea na Pinda yuko sahihi!

Sidhani kama sisi sote tuko mbali sana from each other tunapotazama majibu ya Pinda leo hii. Je tunajua kuwa Pinda hakudanganywa? Does this remind us of mama Meghji na Ballali? Kama Pinda ametaka apewe information kuhusu Meremeta kutoka kwa watu wanaotakiwa kuwa na habari sahihi kuhusu hiyo Meremeta, na wote waliomletea habari hizo walikuwa na jibu moja kuwa ni za "Usalama wa Taifa".. je Pinda kama Pinda ana uwezo gani ndani ya legal channel to assert to the contrary?

Mwanakijiji,

Pinda hatakiwi kudanganyika, akishadanganywa ni makosa yake kukubali kudanganyika.Ukiwa PM kabla ya kuchukua ushauri wowote unatakiwa uufanyie uchunguzi kwa sababu ukiukubali na kuufanyia kazi una u own, ukiboronga hakuna utetezi katika kusema "nilishauriwa vibaya" kwa sababu wewe ndiye mwenye uamuzi wa mwisho, kukubali ama kukataa, kusuka ama kunyoa.

Let's say for example, when all this stuff was going down, Pinda was a mere backbencher who knew nothing at all about the shenanigans of the higher echelons of CCM, and now he is merely being used as a firefighter, which seems to be part of the defence here. Pinda is still responsible for either knowingly misleading the public or for letting himself being misled.My gues is he is knowingly misleading the public while cultivating an image of a PM who is misled and between the rock and the hard place, the devil and the deep blue sea.he is still very much responsible for uttering these untruths.

Mawaziri wakuu wa Japan wamejiuzulu for lesser transgressions.

Vile vile mkubwa anapopewa ushauri mzuri akaufanyia kazi, sifa huwa haziendi kwa washauri wake.

Sasa mbona tuko rahisi sana kuwasifu wakubwa wakifanya vizuri (hatusemi wamefanikishwa kwa ushauri mzuri tu, na hata tukisema hivyo tutakuwa tunapoint hiyo kama merit kwamba wanajua kuchagua washauri) lakini tuko wagumu sana kukubali kuwa kiongozi akikosea, hata kwa kushauriwa vibaya, makosa na responsibility ya mwisho ni ya kiongozi mwenyewe?

Concept ya "collective responsibility" inataka kila kiongozi akipewa ushauri autafiti, akishaukubali unakuwa ushauri / policy/ stand ya wote (yeye pamoja na washauri wake),tusitake kumpa a free pass eti kwa sababu "kashauriwa vibaya".
 
Wakuu wote hapa JF muwe macho, jamaa amechukizwa na haya maneno ambayo nimeyaunga mkono ni maneno ya Nyangumi, sasa naomba watu wenye akili nyingi wajiulize ni kwa nini?


Quote:- Nyangumi

1. Wakati wa uongozi wa jenerali Mbona kuliwahitokea kutunishiana misuli kati ya Mkapa na Mboma katika kipindi ambacho Mboma alikaribia kustaafu.

2. Nyepesi nyepesi zilisema ilikuwa ni mambo ya pesa(labda ndo hiyo Meremeta) ili kumpooza Mboma, vibali vya kuingiza sukari toka nje bila ushuru vilitolewa.

3. Baada ya magazeti kuandika kuhusu utolewaji huo wa vibali na waziri wa fedha(Yona)bila kufuata taratibu wakaona watumie kofia ya jeshi, lakini ukweli ni kuwa matani ya sukari iliyoingizwa yalimnufaisha Mboma, kuanzia ushuru.



Mkuu FMES,
Hii ya Nyangumi inaweza ilikuwepo lakini ninahisi haina uhusiano wa moja kwa moja na Meremeta. Meremeta waliandikishwa na kupewa migodi ya dhahabu. Baadaye wakatangaza kufilisika na Nedbank, ya SA wakalipwa zaidi ya $100 millioni na serikali ya TZ, na mambo yao mengine kuhamishiwa Tangold.

$100 ni deal kubwa mno kwa suala la sukari. Labda kilichofanyika ni kuwa labda Gen. Mboma alipewa ka-deal ka sukari pembeni ili anyamaze wakati jeshi lake likitumika kupitishia ma-deals haramu ya kiuhakika.
 
Wakuu naomba kusema pia hapa on Mushi, mimi sielewi vizuri jinsi hapa JF tunavyoweka kipimo cha what is decency na what is not, au what is matusi na what is not, kwa sababu inaonekana kuwa Mushi akishambulia viongozi wa ccm huwa ni sawa sana, lakini akigusa upinzani then inakuwa maneno mengi sana kuwa hafai kabisaa,

I mean tufike mahali sasa tuache huu unafiki, sikubaliani na Zitto kutukanwa kama ametukanwa na Mushi, lakini sikuabliani na kiongozi yoyote kutukanwa hapa JF, sasa naona kuna katabia ka kuangalia pembeni kwa viongozi fulani na kudai heshima kwa wengine, huo sio ustaarabu kabisa na ni dalili za kutaka kudanganyana hapa na sisi wote hapa ni watu wazima,

Mkuu Zitto, samahani kwamba hatupendi ujinga lakini ni kwa viongozi wote sio sura flani, sasa ishu yako inachukuliwa kama wewe tu as Zitto, naona tayari wanasheria wa JF wameshajitokeza na maneno mazito mazito, lakini wakitukanwa wengine kimyaa hatuwaoni, halafu tunashangaa kwa nini pinda ametoa uamuzi wake huu, ndivyo tulivyo nini? Maana Mushi akitukana viongozi wa ccm basi ana speak his mind na ni mpenda haki asiyeyumbishwa na asiyeogopa, lakini akimgusa Zitto, basi awe na heshima I mean tuwe wakweli wakuu tuache unafiki!
 
Kuhani, je kama Mh. Zitto katika muda wake toka habari hii ifike hapa amefanikiwa kuongea na Mh. Pinda lakini contents za maongezi hataki kuzitoa hapa, ila ameamua kusema tu kuwa 'tatizo siyo pinda,' ila wanaomdanganya.... je hapo Mh. Zitto ana haki ya kusema hivyo?

SteveD, you are not gonna like my response:

Zitto (Mh.) kanielewa!
 
Wakuu wote hapa JF muwe macho, jamaa amechukizwa na haya maneno ambayo nimeyaunga mkono ni maneno ya Nyangumi, sasa naomba watu wenye akili nyingi wajiulize ni kwa nini?


Quote:- Nyangumi

1. Wakati wa uongozi wa jenerali Mbona kuliwahitokea kutunishiana misuli kati ya Mkapa na Mboma katika kipindi ambacho Mboma alikaribia kustaafu.

2. Nyepesi nyepesi zilisema ilikuwa ni mambo ya pesa(labda ndo hiyo Meremeta) ili kumpooza Mboma, vibali vya kuingiza sukari toka nje bila ushuru vilitolewa.

3. Baada ya magazeti kuandika kuhusu utolewaji huo wa vibali na waziri wa fedha(Yona)bila kufuata taratibu wakaona watumie kofia ya jeshi, lakini ukweli ni kuwa matani ya sukari iliyoingizwa yalimnufaisha Mboma, kuanzia ushuru.

Huyu mkulu naye si inasemekana alikuwa na dili la kuuza mafuta ya jeshi Morogoro na yule muarabu(jina limenitoka)...
Alivyostaafu akapewa kuongoza Meremeta, baada ya muda mfupi "ikafilisika"...kuna kazi hapa!!!
 
Wakuu naomba kusema pia hapa on Mushi, mimi sielewi vizuri jinsi hapa JF tunavyoweka kipimo cha what is decency na what is not, au what is matusi na what is not, kwa sababu inaonekana kuwa Mushi akishambulia viongozi wa ccm huwa ni sawa sana, lakini akigusa upinzani then inakuwa maneno mengi sana kuwa hafai kabisaa,

Maana Mushi akitukana viongozi wa ccm basi ana speak his mind na ni mpenda haki asiyeyumbishwa na asiyeogopa, lakini akimgusa Zitto, basi awe na heshima I mean tuwe wakweli wakuu tuache unafiki!


what is not decent is like following etc.

Usijitafutie umaarufu kwa kumpinga mtu!
Weka hoja!
WE UNAJIITA MAMA MBONA UNA UCHANGUDOA?
UNAWAFAHAMU VIZURI FREEDOM FIGHTERS?
HATUNA MASLAHI ZAIDI YA ISSUES!
USIJIPENDEKEZE!
UKO WAPI WEWE?
DC?AMA BOSTON?
 
Wakuu naomba kusema pia hapa on Mushi, mimi sielewi vizuri jinsi hapa JF tunavyoweka kipimo cha what is decency na what is not, au what is matusi na what is not, kwa sababu inaonekana kuwa Mushi akishambulia viongozi wa ccm huwa ni sawa sana, lakini akigusa upinzani then inakuwa maneno mengi sana kuwa hafai kabisaa,

I mean tufike mahali sasa tuache huu unafiki, sikubaliani na Zitto kutukanwa kama ametukanwa na Mushi, lakini sikuabliani na kiongozi yoyote kutukanwa hapa JF, sasa naona kuna katabia ka kuangalia pembeni kwa viongozi fulani na kudai heshima kwa wengine, huo sio ustaarabu kabisa na ni dalili za kutaka kudanganyana hapa na sisi wote hapa ni watu wazima,

Mkuu Zitto, samahani kwamba hatupendi ujinga lakini ni kwa viongozi wote sio sura flani, sasa ishu yako inachukuliwa kama wewe tu as Zitto, naona tayari wanasheria wa JF wameshajitokeza na maneno mazito mazito, lakini wakitukanwa wengine kimyaa hatuwaoni, halafu tunashangaa kwa nini pinda ametoa uamuzi wake huu, ndivyo tulivyo nini? Maana Mushi akitukana viongozi wa ccm basi ana speak his mind na ni mpenda haki asiyeyumbishwa na asiyeogopa, lakini akimgusa Zitto, basi awe na heshima I mean tuwe wakweli wakuu tuache unafiki!

Huku ni kujipendekeza. Nimeona Zitto akikosolewa lakini matusi sijayaona. Let's stick to the subject.
 
Hii ya Nyangumi inaweza ilikuwepo lakini ninahisi haina uhusiano wa moja kwa moja na Meremeta. Meremeta waliandikishwa na kupewa migodi ya dhahabu. Baadaye wakatangaza kufilisika na Nedbank, ya SA wakalipwa zaidi ya $100 millioni na serikali ya TZ, na mambo yao mengine kuhamishiwa Tangold. $100 ni deal kubwa mno kwa suala la sukari. Labda kilichofanyika ni kuwa labda Gen. Mboma alipewa ka-deal ka sukari pembeni ili anyamaze wakati jeshi lake likitumika kupitishia ma-deals haramu ya kiuhakika.

Ahsante mkuu kwa kukubali kuwa unahisi, mkuu kuna kijana mmoja nilikuwa naye JKT anaitwa Minde(RIP), sasa ni marehemu, Kinje, Marwa, Ed(RIP), hawa ndio waliohusika na deal la sukari, huyo mkuu wa jeshi hakuhhuiska na hii deal ambayo pia ilikuwa inawajumuisha watoto wa Idd Simba na Yona, wote waliohuiska na hii deal ninawajua,

Meremeta ni maneno mengine kabisaa mkuu, na uwekli ni kwamba ipo mpaka leo sio kweli ilikufa au kufilisika, lakini nimekusikia anyways ahsante kwa huu ujumbe, lakini it is only a matter of time kabla ukweli haujatoka, kwa sababu habari to9ka Dodoma yaani the dataz ni kwamba pinda anaogopa maana hii deal ina wazito sana wanaoweza kumpuzisha, lakini anapokuwa pembeni in private nasikia mpaka analia machozi na hizi ishus, sasa pole pole tunakuja tu labda kuna siku atabadili mawazo na ukweli utawekwa wazii.
 
Huku ni kujipendekeza. Nimeona Zitto akikosolewa lakini matusi sijayaona. Let's stick to the subject.

Kaka K hapana. Kuna hoja kwa FMES! Hebu msome tena ndugu yangu. Nadhani kuna hoja hapa. Au unasemaje?
 
Huku ni kujipendekeza. Nimeona Zitto akikosolewa lakini matusi sijayaona. Let's stick to the subject.

Kujipendekeza kwa nani? Kwako wewe? au kwa Zitto? Hebu fafanua mkuu kidogo! ninakusubiria exactly unachosemna hapa nini?,
 
Mkuu FMES

Wakati mwingine inawezekana wewe baadhi ya maneno ukayaona ni matusi lakini mimi huwa naona ni kuchoka na matendo ya viongozi fulani fulani. Kwa hiyo leo hii unaweza kuona Pinda watu wakikasirika na kurusha maneno ambayo unaweza kuita matusi lakini ni kwa sababu ya kukerwa.

Viongozi wengi wa CCM kama alivyofanya PM PInda yanakera sana, hivyo kuna baadhi ya watu wanaweza kushindwa kujizuia na kujikuta wametoa kauri mbaya(hila hapa hayaruhusiwi matusi Mkuu).
 
hakuna mtu aliye serious hapa Tanzania cha maana huyu waziri mkuu wapinzani waje na hoja ya kumshtaki kwa wananchi kama alivyofanya slaa naona hii ndio dawa . lakini kwa aliyosema leo naye naona historia itamuhukumu kwa kusema uongo bungeni.

mahandaki ya Buhemba ina maana wamefukia mabomu wakasahau kufukia mashimo yao???

sehemu gani iliyofanyiwa kazi kijeshi inaachwa bila ulinzi????

pinda hajui hata analo jibu nafikiri madhara ya kumpa mtu kazi kwa huruma imeonekana pinda maehurumiwa haku desrve kuwa PM alishafanya nini zaidi ya sababu tu kuwa hajawa na scandal??? ile hili ni fundisho kwetu watanzania tuna amini watu sana tulimpa sifa nyingi bila kufikiri sasa mmemuona????

huyu naye tunaleta mambo yake sasa hivi....... kuna habari alimpa mama mmoja nafasi kuwa mkurugenzi wa wilaya kwa uhusiano mchafu wakati yeye ni naibu waziri Tamisemi....mnalijua???? ni mkurugenzi hata sasa na amehamishiwa mkoa mmojawapo wa magharibi ya tanzania......
 
kujipendekeza Kwa Nani? Kwako Wewe? Au Kwa Zitto? Hebu Fafanua Mkuu Kidogo! Ninakusubiria Exactly Unachosemna Hapa Nini?,

Kwamba Zitto Hajatukanwa Mahali!
Hii Ni Jf Na Ni Kijiwe Chetu Where We Dare To Speak?
Mimi Pia Ni A Natural Born Politician!
Niko Fine Tu.
 
Kwamba Zitto Hajatukanwa Mahali!
Hii Ni Jf Na Ni Kijiwe Chetu Where We Dare To Speak?
Mimi Pia Ni A Natural Born Politician!
Niko Fine Tu.


ZITTO PANDIKIZI WE NA MAISHA YAKO YA KISIASA YAKO UKINGONI!

ZITTO NIMESHAGUNDUA HUNA UWEZO WA KUTIZAMA MBELE NA UWE MAKINI!

UNAKULA MEZA MOJA NA MAFISADI NA WEWE NI NANI?

ETI ZIMBABWE ZIMBABWE!

HABARI YANGU HAPO JUU YA THE SCRAMBLE FOR AFRIKA...WAZUNGU WANAKUTEGA NA RUSHWA KAMA ILIVYOKUWA NA KINA SINCLAIR MLIOWAPA RIPOTI ZETU ZA MADINI YETU!
HALAFU WANAKUWA NA UWEZO WA KUKUFANYENI VIBARAKA WAO!
NA KWASABABU HIYO BASI...WEWE PIA UMESHATEGWA!

kweli hapa mambo ng'ar ng'ar, hakuna tusi hapo.
 
Kaka K hapana. Kuna hoja kwa FMES! Hebu msome tena ndugu yangu. Nadhani kuna hoja hapa. Au unasemaje?

Mkuu nilitaka kujibiwa na Kubwajinga, sasa naona wewe umeamua kumjibia safi sana, sasa umeilewa hii hoja ya the subject hapo juu kuhusu maneno yangu kuwa tuache unafiki? maana hata maana hata yeye the subject amenielewa, je wewe vipi unanielewa?

Kwa sababu kama ninaielewa point yako ni kwamba wananchi wakichoka na viongzi wa ccm ni sawa kuwatukana, lakini hawawezi kuchoka na wa upinzani? au?
 
Mkuu,

Natoa ombi la lazima. Waafrika tulikuwa na njia mbili tu za kumpata kiongozi shupavu. Ama alitia fora kwenye mapambano (mostly vita) au alirithi full stop. Ukiacha Mwalimu, hatuna kiongozi mwingine yeyote aliyefuatia ambaye kwa namna yoyote angestahili kushika hizo nafasi walizoweza kuwa nazo. Huu mtindo wa ku''pick'' bwege from nowhere halafu kuanza kumtafutia sifa ambazo kwa hakika kabisa hana, ndio mwongozo namba moja wa CCM.

Mtu yeyote vile ambaye mpaka dakika hii bado ana ndoto na imani na CCM kama ilivyo hivi sasa kwamba itaweza kufanya tofauti ama anajidanganya au ni moja wao. Wakuu, you cant eat your cake and have it. Kama hukubaliani na watendayo CCM (inspite of mikutano yao hiyo yote ya kisanii, mara Butiama, Bungeni n.k) get out now. Stand up and be counted and I can bet my .s. , you will have a following, me included. Hebu fkiria mtu mzima anapewa mandate na zaidi ya asilimia 80% ya wananchi (ambao obviously wengi wao si wanachama wa CCM) anashindwa kupambana na wanaomkwamisha, inaingia akilini kweli ama ni moja wao. Na hao ambao bado wana imani naye tuwaiteje.

Hizi data ambazo wengine humu tunakuwa kama tunazihodhi tunazipataje kama hatushirikiani nao kwa namna moja ama nyingine. Kwa sababu tunajua wazi kwamba katika prevailing atmosphere these guys (CCM) are acting with impunity. With or without dataz nothing will happen so to hoodwink us even more they will continue to bombard us piecemeal with the so called dataz. Wabunge wengine hivi sasa wanatumiwa kukurupuka na scathing attacks ku preempt malalamiko ya wananchi, beware, kwani hata humu JF wamo.

Idi Amin kila alipotaka kuwashughulikia wapinzani wake ali"invent'' mambo ku"distract" wananchi kama vile kuvamiwa na nchi jirani n.k. Can you imagine hata REDEP inaweza kutumiwa kuisifu ofisi ya raisi na wakati huo huo kuiponda serikali iliyoundwa na raisi huyo huyo. Kuna wengine humu wanatuzuga kwa sababu zao ambazo hata hivyo are bound to fail because you cant do it to all the people all the time. Tanzania ninayoilia haitapatikana ndani ya CCM kama ilivyo. Siku njema wana JF.

mag3 FOR PRESIDENT..KWI KWI KWI.
Uncle si utani mi huzimia sana michango yako!
 
Back
Top Bottom