CCM sio chama cha magaidi mimi sio gaidi na mwanachama wa CCM, lakini magaidi wachache ndani ya CCM tunawajua na tuko njiani kuwafanyia kazi ingawa sio rahisi, tizama hii topic utaona vizuri wanajua vizuri kuhusu Meremeta lakini wanajaribu kutudanganya hapa,
siku zenu zinakaribia kufika mwisho, kumshinikiza pinda aseme uongo haina maana mnatudanganya wote sisi wananchi kuna tulioamka na tunaujua ukweli!
Mkuu,
Natoa ombi la lazima. Waafrika tulikuwa na njia mbili tu za kumpata kiongozi shupavu. Ama alitia fora kwenye
mapambano (mostly vita) au
alirithi full stop. Ukiacha Mwalimu, hatuna kiongozi mwingine yeyote aliyefuatia ambaye kwa namna yoyote angestahili kushika hizo nafasi walizoweza kuwa nazo. Huu mtindo wa ku''pick''
bwege from nowhere halafu kuanza kumtafutia sifa ambazo kwa hakika kabisa hana, ndio mwongozo namba moja wa CCM.
Mtu yeyote vile ambaye mpaka dakika hii bado ana ndoto na imani na CCM kama ilivyo hivi sasa kwamba itaweza kufanya tofauti ama anajidanganya au ni moja wao. Wakuu, you cant eat your cake and have it. Kama hukubaliani na watendayo CCM (inspite of mikutano yao hiyo yote ya kisanii, mara Butiama, Bungeni n.k) get out now. Stand up and be counted and I can bet my .s. , you will have a following, me included. Hebu fkiria mtu mzima anapewa mandate na zaidi ya asilimia 80% ya wananchi (ambao obviously wengi wao si wanachama wa CCM) anashindwa kupambana na wanaomkwamisha, inaingia akilini kweli ama
ni moja wao. Na hao ambao bado wana imani naye tuwaiteje.
Hizi data ambazo wengine humu tunakuwa kama tunazihodhi tunazipataje kama hatushirikiani nao kwa namna moja ama nyingine. Kwa sababu tunajua wazi kwamba katika prevailing atmosphere these guys (CCM) are acting with impunity. With or without dataz nothing will happen so to hoodwink us even more they will continue to bombard us piecemeal with the so called dataz. Wabunge wengine hivi sasa wanatumiwa kukurupuka na
scathing attacks ku preempt malalamiko ya wananchi, beware, kwani hata humu JF
wamo.
Idi Amin kila alipotaka kuwashughulikia wapinzani wake ali"invent'' mambo ku"distract" wananchi kama vile kuvamiwa na nchi jirani n.k. Can you imagine hata REDEP inaweza kutumiwa kuisifu ofisi ya raisi na wakati huo huo kuiponda serikali iliyoundwa na raisi huyo huyo. Kuna wengine humu wanatuzuga kwa sababu zao ambazo hata hivyo are bound to fail because
you cant do it to all the people all the time. Tanzania ninayoilia haitapatikana ndani ya CCM kama ilivyo. Siku njema wana JF.