Nikifufukammekwisha
JF-Expert Member
- Aug 17, 2007
- 260
- 6
Pundit, i beg your pardon. Sio joker...... kuna kitu zaidi ya hapo. Kadanganywa vibaya sana. Bunge, lisiambiwe ni usalama wa Taifa. Kamati ya Rais ya Madini inaambiwa.... usalama gani wa Taifa kwa watu ambao hata hawajala kiapo cha kuficha siri? Usalama gani wa Taifa mbele ya wafanyabiashara wasio wabunge na wengine hawajawahi kuwa katika utumishi wa Umma. Kuna distortions from the government side and from the opposition side. Now the whole truth has to be said. HAKUNA USALAMA WA TAIFA. Nipo Kigoma, narudi huko. Mungu aniweke tu.... Nasema hapa ilki iwe wazi na sina cha kuficha ili niibuke tu Bungeni.
Its not about Pinda, its the nation. Our country!
Pinda kama waziri mkuu, aliteuliwa kwa sababu aliaminika kama ni critical thinker. Si rahisi mtu yeyote kupewa wadhifa mkubwa kama huo wakati ikifahamika kwamba hawezi kuchambua kati ya pumba na mtama. Mimi naomba kupingana na wewe mheshimiwa Zitto kwenye hili kwamba ndugu Pinda anafanya makusudi kupindisha ukweli. Waziri mkuu inampasa awe makini katika lolote analolisema ambalo lina maslahi kwa Raia. Hapa hakuna elements zozote za yeye kudanganywa na yeyote. Amefanya makusudi kupindisha ukweli akitegemea kwamba yeyote atakayem-question ataishia kuvamiwa kikauli na wabunge wanaotetea ufisadi kama yeye anavyoanza kuutetea.
This is the right time to make it certain to him that he cannot continue playing games and being left untouched. It is the right time to stop him...