Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,552
tutasema sana mpaka tutachoka, nilipoleta ile hoja ya On Meremeta, wengine mliona kuwa MChungaji kanywa Zabubu iliyochacha.
Meremeta na tangold ni pesa zilizoliwa na Jeshi! This is a way to compromise so that Kiberiti hakitingishwi!
TISS walipobaini la Meremeta, wao nao wakaja na Kagoda ndani ya EPA!
All this under the table expenses is to silence amred forces due to Umasikini wa Kutupa. Thus kuhalalishwa kwa Ufisadi, Takrima na menginewe!
Kwa suala la Meremeta, I am glad Pinda pamoja na kuwa hakutoa nyeti zote, kakubali hadharani kuwa ni suala la jeshi na si kutuzuga kama Mkulo na EPA!
Meremeta na tangold ni pesa zilizoliwa na Jeshi! This is a way to compromise so that Kiberiti hakitingishwi!
TISS walipobaini la Meremeta, wao nao wakaja na Kagoda ndani ya EPA!
All this under the table expenses is to silence amred forces due to Umasikini wa Kutupa. Thus kuhalalishwa kwa Ufisadi, Takrima na menginewe!
Kwa suala la Meremeta, I am glad Pinda pamoja na kuwa hakutoa nyeti zote, kakubali hadharani kuwa ni suala la jeshi na si kutuzuga kama Mkulo na EPA!