Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Status
Not open for further replies.
Wakuu,

Kamna imethbitika ni Masha,basi Tanzania kazi tunayo.So fgar tunapiga ramli tu.

Pia kuna mtu anadai kwa nini isiwe nchimbi.Mimi nasema si nchimbi kwani huyo jamaa si Msomi maanke Mengi kasema waziri mmoja msomi,Nchimbi ni mhunzi tu wa vyeti.

Pia kama kweli waziri katumia mamlaka yake vibaya kupendekeza huo utumbo,ikija kuthibitika inabidi hatua kali zichukuliwe.Hatutaki kulea taifa la aina hii wakuu.

Pia hivi Mengi akifilisiwa wale watoto maskini anaowasaidia,watasaidiwa na nani? Si afadhali Mengi na udhaifu wake mara mia kuliko mafisadi kama akina Mramba,Rostam na Manji ambao ni wezi wa raslimali zetu huku msaada wao mkubwa ukiwa ni kuwamwagia pesa walinzi wao wakuu CCM?
 
Mkuu Mtanzania,

Heshima mbele, in the last four hours nimejaribu kuongea na wahusika wengi kuhusiana na ishus mbali za taifa sasa hivi na hili la mengi pia ingawa siwezi kuyaweka yote hapa for now, nitajaribu as much as I can:-

1. Baada ya kukoswa koswa na ile kesi ya manji na malima, mengi aliamua kuchukua tahadhahari kwa the future, sasa in the process amefikia kuanzisha ka-mtandao type ambako kanakusanya habari kwa siri siri mitaani, ambazo ndio chanzo cha kilio chake, sasa kwa watu wenye akili timamu inakuwa vigumu sana kujenga hoja based on maneno ya kilevi huko mitaaani.

- Ni kweli viongozi wetu wanatakiwa kuwa waangalifu wanapokuwa nje ya kazi zao na hasa wanayoyasema huko kwenye vilabu vya pombe, lakini maneno ya kilevi yanayochukuliwa illegally na another part, kwanza hayawezi kusimama mbele ya sheria, na pia hayawezi kuwa base ya sympaty kutoka kwa taifa kwa aliyeyakusanya ulevini, na nina wasi wasi kwamba soon atajitwika mzigo mzito ambao hataweza kuubeba mbele ya sheria kwa sababu ya maneno ya kukusanya ulevini bila kuruhusiwa kisheria, kwa sababu hayawezi kukubalika mbele ya sheria.

- mengi anahitaji kuwa muangalifu sana na hizi moves anazozifanya maana legally hazina defense, na hakuna guarantee kwamba wale wanaomtetea wako safe na huu mchezo, kwa hiyo wakimtosa hopefully ataelewa, na besides hatuwezi kuednesha tauifa kiholela holela namna hii yaani kila mtu kukusanaya habari illegally mitaani na kudai remedy kwa taifa, legally it is wrong maana sasa unakaribisha mafia life style, we do not want that!

2. According to the datazni kwamba vita ya mafisadi imekula pause, kwa sababu wanaohusika wanataka kwanza ku-research hisia za viongozi wengine na hasa wazee wa zamani maana kuna wasi wasi kuwa huenda hii operation ilivyofanyika so far haikuwaridhisha/imewaridhisha.

- Sasa hapa ndio tuliposema kwamba rais amejiingiza kwenye mtego ambao hataweza kujinasua na inaweza kupelekea kutoswa 2010, subiri CC hivi karibuni nafikiri in a week or two, maana bila ya more moves he is in a big shit I hope he knows tayari.



Thanxs na later wakuu!
 
Wakuu,

Kamna imethbitika ni Masha,basi Tanzania kazi tunayo.So fgar tunapiga ramli tu.

Pia kuna mtu anadai kwa nini isiwe nchimbi.Mimi nasema si nchimbi kwani huyo jamaa si Msomi maanke Mengi kasema waziri mmoja msomi,Nchimbi ni mhunzi tu wa vyeti.

Pia kama kweli waziri katumia mamlaka yake vibaya kupendekeza huo utumbo,ikija kuthibitika inabidi hatua kali zichukuliwe.Hatutaki kulea taifa la aina hii wakuu.

Pia hivi Mengi akifilisiwa wale watoto maskini anaowasaidia,watasaidiwa na nani? Si afadhali Mengi na udhaifu wake mara mia kuliko mafisadi kama akina Mramba,Rostam na Manji ambao ni wezi wa raslimali zetu huku msaada wao mkubwa ukiwa ni kuwamwagia pesa walinzi wao wakuu CCM?

Una uhakika Nchimbi alichonga vyeti vyake? Ukiambiwa thibitisha utaweza kweli ndugu yangu wewe?
 
Mbona wengine tunapigwa kodi za bandia kila siku? ... Why should Mengi be immune? Let him go negotiate with whoever! He is grown up and does not need to approach the media like a cry baby.. Serekali inatafuta pesa kila siku na kwa njia yeyote.. watu wadogo wadog kila siku tunapigwa bao... why not him?
 
Hivi tafsiri ya "Mwandamizi" ni nini hasa? Kwa kadiri nijuavyo Masha sio Waziri "Mwandamizi" kwa kiingereza cha karibu "Senior"

Nadhani tunamjadili mtu sio hapa hebu tufanye ka-home work kadogo hapa, the most "mwandamizi" au senior Minister katika cabinet ya JK ni Waziri Seif Khatib akifuatiwa na Mary Nagu, Kapuya..... jazeni wengine huko.


Kuna watu wanataja manaibu waziri kuwa ni "waandamimizi" no way! hao manaibu hata kwenye cabinet hawaingii sembuse waitwe "waandamizi" we need to get our facts right!



well dont expect kitu humu kwa sababu MWANAKIJIJI tayari alishawaelekeza machinjoni kwa kwapa clue kuwa ni MASHA

au ushasahau ile theory ya vurnability?
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 177 (54 members and 123 guests)

Alnadaby, Alpha, AMBANI, Baba Sangara, Bazobonankira, Ben, BigMan, Bint, bob, Byabato Kilama, chaka, COMRADE44, edwinito, Fatuma, FDR.Jr, Herbert, Heri, Hey, Hidayante, hmsangeni, hondohond, Invincible, Iteitei Lya Kitee, Jafar, Jmpambije, KatuleJ, Kiumbemzito, kwetunikwetu, LazaroSMtindi, Likele3, macos, Mbalamwezi, Mchukia Fisadi, MegaPyne, Mjasiriamalishupavu, Mtu Kwao, Mulugwanza, Mzuzu, Najikopa Mwenye, Natasha Ismail, Nyani Ngabu, Sabasaba, semjato, Shakazulu, shungurui, SIPENDI, Skills4Ever, visenti, Waridilamoyo, Yebo Yebo, Zanaki


yaani kuna watu hapa juu sijawahi kuona wakipost kitu
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 177 (54 members and 123 guests)




yaani kuna watu hapa juu sijawahi kuona wakipost kitu



Unamaanisha nini? mkuu hata kama sijapost kitu,haina madhara sana ama wewe waonaje?
 
Already Made Conclusions ni Masha!!!!!!!!!
Wabongo kwa Uchawi hatujambo!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tumuunge mkono mzee Mengi kwani siku zote amekuwa mtetezi wa wanyonge,ametetea haki ya watanzania , viombo vyake vya habari vimekuwa mstari wa mbele kuelimisha umma kuhusu haki zao.....

Huyu bwana mdogo Masha , anaweza kuwa mmoja wa mafisadi kwani sio mtoto wa mlala hoi , kwani nasikia kazaliwa huko ulaya kasoma huko,hapa kaja kupiga dili tu , sijui hata uraia kama anao uliokamilika,maana lazima akane uraia wa nchi aliozaliwa ndio aendeleee na wa TZ.
 
...............samahani wakulu,mmeniacha mbali sana, hivi kilaza maana yake nini?

Mtupu, mtambo, mchovu mmoja anaeweza kupokea ujumbe kama huu:

''Ni fadhali kunyofoa roho yako ipotee kuliko kuendelea kukuachia uchafue amani na utulivu wa nchi kwa TAMAA zako za kutaka Urais, Ugomvi wako na akina Manji hauwezi kutufanya watanzaniawote tuingie katika vita vya wenyewe kwa wenyewe uliofanya yanatosha, enough is enough, kaa tayari''

halafu akaamini ni text message iliyoandikwa na Waziri, akaitisha press conference kuitangazia dunia hicho ki text, huku akim identify mtumaji kama "Waziri kijana mwandamizi " !

Sasa kama zamani mtu huyo alikuwa wa kawaida na siku zinavyozidi kwenda anazidi kudata, mtu huyo anasemwa, Waingereza wanasema, he has lost his marbles.

Mzee Mengi ameanza kupoteza gololi.
 
Japo siungi mkono hujuma za aina yoyote dhidi ya Mhe. Mengi. Lakini kwa wale wenye sharp sixth sense ambao wamepata bahati ya kukaa chini na kuzungumza na Mhe. Mengi man to man, watagundua kuwa japo anahubiri mema kwa maneno na matendo ya huruma, deep down his eyes there is fire, ambayo ni dalili ya uovu fulani wa asili ndani ya moyo unaofichwa na mema.

I am a strong beliver of 'The law of Karma' and one day that fire concelled for too long, will erupt like a bomb and his true colors will be seen.
 
Pia kuna mtu anadai kwa nini isiwe nchimbi.Mimi nasema si nchimbi kwani huyo jamaa si Msomi maanke Mengi kasema waziri mmoja msomi,Nchimbi ni mhunzi tu wa vyeti.

Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa Mkuu Ben, huo msamiati umeniacha hoi duh!
 
Mkuu,
Ha ha ha! Duh!
Inategemea nitaambiwa na nani,wewe au?

Kuna mawili hapa, aidha hii habari na hizo tuhuma ni za kizushi kizushi au humu foramuni watu wameitafsiri na kuifanya au kuipa ladha ya kizushi kizushi. Eniwei, penye wengi pana mengi na ndio maana mtu kama mimi never take anything in here seriously, take everything I see or read with a grain of salt and move on.
 
Mzee wetu Mengi angeenda tu Mahakamani akawaburuza hao wanaotishia maisha na utajiri wake. Mara kadhaa amekuwa akisaka huruma kwa Watanzania utadhani nafasi aliomo kwa sasa kachaguliwa na wananchi. Asidhani kwamba suala la kuanika maovu katika NCHI hii inafanywa na vyombo vyake vya habari tu.
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 177 (54 members and 123 guests)




yaani kuna watu hapa juu sijawahi kuona wakipost kitu

Babu usi mind nani yupo hapa na hajawahi kuchangia....wewe changia to hoja zako kama una la kusema. Uki mind sana nani ni nani hapa unaweza ukaishia kudata bure!!!!
 
Mkuu FMES,

Wewe na wengine hapa ni wazee wa siku nyingi kwenye vijiwe vya siasa, hutakiwi hata kusoma mara mbili comments za Mengi kabla ya kujua anayeongelewa ni Masha.

Ukisoma tamko la Mengi ni dhahiri anamuongelea Masha.

Pamoja na makosa madogo madodo, Mengi ni hero wa watanzania walio wengi. Angalia hao matajiri wa siku hizi, wanakimbilia kuchota BOT.

Ukiona Mengi mpaka ameamua kuongea hivyo, jua wamemfikisha pabaya.

Kwenye hili nitamuunga mkono Mengi kwa asilimia 100 dhidi ya viongozi uchwara, ambao pamoja na exposure kubwa bado ujinga wa kukulia kwenye CCM haujawatoka.

Kibaya mtu kama Masha ambaye babake ni mpinzani, ungetegemea angeelewa maana ya demokrasia zaidi.

Hawa watu wanataka kuendelea kutufanya Watanzania wajinga. Wenzao wanapelekwa mahakamani kwa kutumia madaraka vibaya, yeye Masha ndio kwanza anazidi kujifanya mungu mtu?


Mkuu Mtz i second you sina la kuongeza hapa!

La mwisho kwa FME kwamba Maneno ya kwenye ulevi hayawezi tumika mahakami..., Hivi raisi/waziri akiwa kwenye baa huwa cheo kinabaki nje ya baa mpaka anapotoka ndani ya vaa ndo huwa anakivaa?

Nijuavyo mimi mlevi husema liujazalo moyo wake, kama MASHA alirekodiwa akisema mipango hiyo ya kumfirisi Mengi katika ulevi, ndo hayo hayo yalo ijaza akili yake hata akiwa hajapiga tungi, By the way hivi ni sahihi kuwa na waziri mlevi ambaye akisha kuwa tungi husema yoyote? Je hawezi ropoka hata siri za nchi yetu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom