...mara nyingine mengi huwa anakurupuka kutaka sympath....
1.alipokgombana na karim ,mmiliki wa kwanza wa tv nchini[ctn]...alikimbilia kusema anatishiwa kuuwawa...kitendo kilichofanya naibu waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani...[wakati huo]augustne mrema kuagiza mrema apewe ulinzi wahsusi wa polisi na TISS[VIP Protection unit]......akawa na mpambe wa kumfungulia gari na kumlinda anayelipwa na state[nadhani alikuwa mfanyabiashara wa kwanza kupewwa hadhi hiyo]..na gari la surveillance ..etc.
MATOKEO HAKUULIWA WAALA KURUSHIWA JIWE...NA BAADAYE IKAGUNDULIKA KUWA ..UGOMVI ULIKUWA WA KUSHINDANIA KUONESHA AFCON....LIVE...CTN WALIPEWA RITES NA CAF..MENGI KWA KUWAKOMOA AKAWEKA TV KUBWA MNAZI MMOJA ..WATU WAANGALIE...NA AKAONESHA LIVE BILA KIBALI....CHA CAF.
yule mmiliki wa CTN alikuwa so frustrated akauza kile kituo ...akaondoka kwenda nje kupumzika...labda alisharusi....
2.scenerio ingine ya mengi ni pale alipokuwa anashindania tenda ya kununua KILIMANJARO hotel...Akashindwa kwenye taratibu za tenda,...akaaamua kwenda hewani akidai kaonewa na akataka sympathy yetu kuwa mzawa amenyimwa tenda.....akagomnbana sana na huyu waziri wa usalama wakati huo......wilson masilingi...akamuweekea masilingi curf kwenye vyombo vya habari hadi akaporomoka kisiasa......[huyu mzee lazima mjuwe kuwa ana netwok ya ajabu na anajuwa propaganda hasa]
well KILIMANJARO HOTEL IMEJENGWA NA MUWEKEZAJI MPYA ...NA SASA NI MOJA YA HOTELI ZA FAHARI KAMA ILIVYOKUWA......sana tu tungeomba serikali iwe inalazimisha kampuni kama hizi zitenge share kwa ajili ya ushirikishwaji wa wazawa kwenye stock market.
3.ugomvi wa mengi na manji pia ni wa kibiashara ...manji alimzidi mengi kwa ujanja ..kama kawaida yake mengi akaenda public...nadhani walikuwa wanagombea haki za kuendesha mchezo wa kamari kwenye tv...remember jackpot bingo[ilimtoa sana mengi hii].....
4.ugomvi wa mengi na tido [tvt]...kuonesha live kombe la ligi uingereza..[everbody here knows how mengi behaved in seeking public support....
5.ugomvi wa mengi /..tvt/ze comedy .....its not a new story..you know....
so in conclussion ..i suggest that we must be very careful ..when tackling mengi..griviances ...,history has shown that he is very smart in rallying mass sympathy against his haters....though sometimes its true me its true that he is being a target ....the starategy that he normally uses nullfy all his rightful complain as it becomes too monotonous...wanasema aah huyu analalamikaga ...hata malalamiko ya kweli ..watasema aah ni kawaida yake!..you see.....
......nadhani mengi anatakiwa kufuata mfano wa marehemu nyaulawa ..huyu pamoja na kumiliki media ..huwa habari zake zilikuwa haziwekwi ....kwenye lead page....sidhani kama waandishi wa IPP media wana uhuru wa kutosha .....kuna kila dalili kuwa ..wanaandika kwa malengo fulani....
hii inadhibitika na ukweli kuwa kila mara mtu anayegombana na bosi wao..ndio mara zote anakuwa targeted kushambuliwa...,,,pamoja na kudhamini mchango wake ..nafikiri kwa nia njema inabidi kama nchi tuangalie idadi ya media tunazoweza kuwacha kumilikiwa na mtu mmoja...especially kama atakuwa anazitumia kwa ugomvi dhidi ya wagomvi wake.....
...pamoja na hayo naunga mkono kwa moyo moja na kuunga mkono juhudi za serikali dhidi ya ufisadi.....namuunga mkono yeyote anayeupinga....najuwa kuwa kama taifa itabidi tuwe na starting point ...katika kupigana na ufisadi...na mwanzo ndio huu........
lakini tusibadili vita ya ufisadi kuwa visasi au ugomvi binafsi...lazima tujenge vita endelevu!!!