Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Status
Not open for further replies.
Mwanakijiji ndiye "kasema" au habari aliyoileta ndio "imesema" (that is kama imesema hivyo na si kutafsiriwa hivyo)?
Nyani ngabu,

haukuona Post ya kwanza ya Mwanakijiji ambayo yeye mwenyewe ali edit????alianza hivi ka nzi ketu na akishadadia habari ni za uhakika.
 
vizuri kujifunza kusamehe na ku-move forward.
 
Hivi waziri masha alivyokuwa huko afrika ya kusini kwenye sherehe ya kumpongeza mtoto wake kw akuhitimu chuo kikuu kwa gharama zile kibao kwa kisingizio cha ziara za kiserekali naye hatumii vibaya madaraka yake ?

Mhhhhhh,ana mtoto mkubwa kiasi hicho?
 
Pamoja na madai ya vitisho dhidi ya Mhe. Mengi, taarifa yake inaweza kuwa kama 'caveat' malengo ya kuziua kufilisiwa kwa madai ya ukwepaji kodi.
Kuna uwezekano Mhe. Mengi akawa ni mkwepaji kodi kiukweli ukweli kwa kumwaga misaada lukuki huku hizo gharama
Zikaingia kwenye oparation cost na kuja kupiga hesabu mwisho wa siku, baadhi ya makampuni yakapeleka return TRA kuwa zimepata hasara hivyo kodi ni 0. Kuna uwezekano TRA wamemstukia na sasa wanataka kumshukia.

Ili kuzuia TRA wasimshukie, jamaa anatoa madai ya jinai ili kama TRA wakija aseme si mnaona!. Hizi ni njama za kunihujumu.

Kitu ninachojua Mzee anapenda sifa, kitendo cha kuujulika anadaiwa na gazeti la Mtanzania likaandika, mbona lilifikishwa mahakamani, sembuse tishio la kufilisiwa!.

Wana JF mlioko The Guardian LTD hebu jitokezeni mseme hali ikoje maana kupunguza watu zaidi ya 200 ni uthibitisho wa dalili za kuanza kufilisika kabla haujafilisiwa.
 
Vitisho hata wakina Manji walimtisha sana tu,mwishowe wakaacha wenyewe.Rostam Aziz nae alijifanya kumchunguza,na kwenda kwenye vyombo yva habari kusema kuwa Mengi anachukua wanawake wadogo..nk(ingawa hakumtaja jina),lakini wote tulijua anamuongelea nani,matokeo yake Mengi nae akamvaa kinamna hiohio,na wakaja mpaka na mikataba ya nyumba ambayo yeye Rostam kampangishia demu wake.

Mengi ana mtandao wa ajabu sana,ambao umesambaa sana.Kwanza wahariri wote wa vyombo vya habari wako chini yake.Sasa kwa namna hio ni rahisi kuelewa kama kweli kuna waziri ambaye kasema kuwa watambambikizia kodi,kwa sababu kwenye macho yao,zaidi ya kumuua,kumfilisi ndio njia pekee ya kumnyamazisha.Na kwenye hilo,huyo waziri husika anajua atapata support ya watu kama Rostam Aziz na Manji,kati ya wachache
 
Mwanakijiji, ni kweli haya yanayosemwa na Gembe?


hahahah how do I know anachosema mwingine kuwa ni kweli? nadhani ni vizuri kumuuliza msemaji mwenyewe kuhusu ukweli wa kile anachosema. Ukiniuliza nilichosema mimi, I have in a position to make a judgement on it. Nimuulize mtu mwingine kuhusu ukweli wa swali lako badala ya kukuuliza wewe mwenyewe?
 
Haya mambo ndio hayaaaa hebu tuyajadili pia, mengine nitaweka kwa wakati mwafaka

Masha yani miaka miwili yatari kashainga in the system deep?? dah..nyota yake itazima sasa.................nishai kweli...

ThisDay

Mystery company that received billions from BoT, then filed for bankruptcy and voluntary liquidation: The SA connection


-All listed directors based in South Africa, one linked to top SA bank

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

A MYSTERY company associated with the now defunct Meremeta Gold company, Deep Green Finance, has now been inextricably linked to directors of a major South African bank which was a recipient of billions of shillings from the Bank of Tanzania.

According to THISDAY’s latest findings, official records list the directors or managers of Deep Green Finance as Mark Ross Weston (a New Zealand national), Anton Taljaard and Rudolph van Schalkwyk (both South African nationals).

Schalkwyk is also the head of the structured trade and commodity finance unit at Nedbank Limited, one of South Africa’s biggest commercial banks.

All three listed directors of Deep Green Finance Co. Limited, which received up to 8bn/- in BoT payments under dubious circumstances, are residents of South Africa.

It has already been verified that the relatively obscure company was registered in March 2005, and by August of the same year had already landed a payment cheque in US dollars equivalent to 1,546,778,778.92/- from the central bank.

And between September and December of the same year (2005), Deep Green Finance Co. Ltd was given further ’financial support’ from the central bank totalling more than 6bn/-.

Well-placed sources have asserted that Deep Green Finance was directly involved with both Meremeta Gold Limited and Tangold Limited, local companies which at one time operated the Buhemba gold mine in Musoma, Mara Region.

Before being liquidated some time ago, Meremeta Gold was registered as a joint venture company owned on a 50-50 basis by the Tanzanian Government and a private South African company called Trinnex (Pty) Limited.

The assets and liabilities of Meremeta Gold - including the Buhemba gold mine � were later transferred to Tangold Limited, being a new company ostensibly wholly owned by the government.

Both Meremeta Gold and Tangold have also been the beneficiaries of questionable BoT payments to the tune of over $130m (approx. 160bn/-) through accounts at various banks.

In the case of Meremeta Gold, investigations by THISDAY have already established that the central bank made a payment of over $118m (approx. 150bn/-) to Nedbank � the same South African bank where one of the Deep Green Finance directors is a senior officer - through the New York-based HSB Bank.

This payment was apparently made to liquidate a loan issued to Meremeta Gold after it had filed for bankruptcy. Official audit queries have since been raised as to why the government -- through the central bank -- decided to clear the loan on behalf of Meremeta Gold after it became bankrupt, instead of Nedbank itself filing its claim directly to the liquidator.

It has been further revealed that BoT paid an additional $13.34m (approx. 17bn/-) to another bank account under the name of Tangold Limited, at the National Bank of Commerce Limited corporate branch in Dar es Salaam.

Government sources have told THISDAY that in order to effect the payments to Meremeta Gold and Tangold, BoT purchased a huge 155bn/- Treasury bond and later exchanged the amount into US dollar currency.

Meanwhile, a Deep Green Finance company financial statement filed by the end of November last year shows that the firm had recorded an estimated surplus of $7,880 (approx. 10m/-) after paying all debts in full.

Like Meremeta Gold, Deep Green Finance had also filed for voluntary liquidation. But in the case of the latter, the bankruptcy was filed hardly two years after its official establishment and having already received billions of shillings from BoT within its relatively short lifespan.

Deep Green Finance filed for ’member’s voluntary winding-u’� on April 24 this year, declaring that board members not identified in the document had appointed Protase Rwezahura Gervas Ishengoma as liquidator with effect from July 27 this year.

Ishengoma, a partner with the prominent Dar es Salaam law firm IMMA Advocates, was named as subscriber and first shareholder of Deep Green Finance Co. Ltd. The voluntary winding-up has been filed under section 360 of the Companies Act of 2002, as stated in the notice delivered to the Business Registration and Licensing Authority (BRELA).
 
Last edited:
IMMMA ilikuwa ni wakili wa kampuni mojawapo au mojawapo ya patners alikuwa na hisa kwenye Deep Green? at the time Masha alikuwa tayari keshajiunga na firm hiyo kiasi cha kuweza kuwa in the "know" of what was going on?
 
Halisi,

Nimependa hiyo story ya Thisday hapo juu ^^^^^

Hapa ndipo naipendea JF..... kuna kumbukumbu kuliko server za NASA....lol
 
IMMMA ilikuwa ni wakili wa kampuni mojawapo au mojawapo ya patners alikuwa na hisa kwenye Deep Green? at the time Masha alikuwa tayari keshajiunga na firm hiyo kiasi cha kuweza kuwa in the "know" of what was going on?

ThisDay

’Mystery’ Deep Green company file goes missing:Signs of a cover-up


-Who are the real powers behind it?

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

INDICATIONS of a possible, extensive cover-up involving details of the mysterious Deep Green Company Limited have come to light following the discovery that the company’s records file is missing from the Business Registration and Licensing Authority (BRELA) in Dar es Salaam, THISDAY can reveal today.

BRELA officials confirmed in the city last week that instead of the Deep Green Co. Ltd file, the authority is currently in possession of just a one-page document giving notice of the company�s plans for a voluntary winding-up.

’’It is true that there was a file on the company, under its registration number 51870. But now the file is not in the place where it is supposed to be�and it cannot be found anywhere,’’ said one senior BRELA official in response to inquiries from THISDAY.

This latest development has served to thicken the cloud of mystery surrounding the company which is understood to have strong links with the reportedly defunct Meremeta Gold Mine Company Limited, and has already been the beneficiary of questionable payments in terms of billions of shillings from the Bank of Tanzania (BoT).

According to official records, Deep Green Co. Ltd was established and formally registered on March 18, 2005 under BRELA certificate number 51870, with the
company’s listed first subscribers and shareholders identified as Protase Rwezahura Gervas Ishengoma and Stella Ndikima of IMMA House, Plot No.357 located along United Nations Road in Upanga, Dar es Salaam.

Reliable sources say the company was used as a go-between in a number of dubious multi-billion shilling transactions between the central bank, the Meremeta gold project and other related companies.

And it has been verified that by August of the same year (2005), the company had already landed a payment cheque in US dollars equivalent to about 1.6bn/- from the BoT, and between September and December 2005 received further �financial support� from the central bank totaling more than 6bn/-.

More recently, it has been learnt that the ever-enigmatic company is already seeking voluntary liquidation hardly two years after its establishment, having filed for ’’member’s voluntary winding-up’’ in April this year and appointed Ishengoma as liquidator with effect from July 27 this year.

The voluntary winding-up has been filed under section 360 of the Companies Act of 2002, as stated in the notice delivered to BRELA.

Ishengoma is a partner with the prominent Dar es Salaam law firm IMMA Advocates. Apart from himself and Ms Ndikima, there are no records of any other shareholders or share allotments being made after the company’s registration.

Our sources now assert that the apparent disappearance of the Deep Green Co Ltd file from BRELA archives brings into question the company’s true controllership, given the fact that it has had such close access to BoT funds during its short lifespan so far.

’’It is difficult to establish who are the people really behind this company, mainly because the registered owners are actually partners of a leading local law firm, and one of them has even been appointed as the official liquidator of the company,’’ noted one source who insisted on anonymity being maintained.

It is understood that Deep Green Co. Ltd is directly involved with both Meremeta Gold Limited and Tangold Limited, local companies which at one time operated the Buhemba Gold Mine in Musoma, Mara Region, and both of which have in recent months been the beneficiaries of BoT payments to the tune of over $130m (approx. 160bn/-) through accounts in two different banks.

In the case of Meremeta Gold, THISDAY findings show that the central bank made a payment of over $118m (approx. 150bn/-) to South Africa’s Nedbank through the New York-based HSB Bank, apparently in order to liquidate a loan issued to the company after it had filed for bankruptcy.

It has been further revealed that BoT paid an additional $13.34m (approx. 17bn/-) to another bank account under the name of Tangold Limited, at the National Bank of Commerce Limited Corporate Branch in Dar es Salaam.

Government sources have told THISDAY that in order to effect the payments to Meremeta Gold Company and Tangold, the BoT purchased a 155bn/- Treasury bond and later exchanged the amount into US dollar currency.

The current status of the Meremeta Gold Company now appears uncertain after Finance Minister Ms Zakia Meghji and Energy and Minerals Minister Nazir Karamagi made what opposition legislators described as contradictory statements during this year’s parliamentary budget session in Dodoma.

While Ms Meghji told the House that the Meremeta gold project was in the final process of ’winding up,’ Karamagi later declared before the same House that the government had bought 100 per cent of the company�s shares.

Karamagi said the company’s assets and liabilities - including the Buhemba Gold Mine - had since been transferred to Tangold Limited, being a new company wholly owned by the government.

Before apparently being liquidated, Meremeta Gold Company was registered as a joint venture company owned on a 50-50 basis by the Tanzanian Government and a private company called Trinnex (Pty) Limited.

It remains unclear why the government - through the central bank - decided to clear the loan on behalf of Meremeta Gold Company after it became bankrupt, instead of Nedbank filing its claim directly to the liquidator.
 
Hivi kweli kuna mtu anaweza kukurupuka na kukuongezea kodi bila mpango. Mimi nilifikiri wakaguzi wa fedha na wahasibu kazi yao ni kuhakikisha kuwa receiver anapata kinachostahili. Sasa leo Mh. Mengi ambaye ni muhasibu by profession anatumbia mtu anaweza kubambikiziwa kodi. Labda ni biashara ya uchochoroni. Unless hakuna rule of law TZ. Otherise ana lake jambo!!!!!!!!!!!!!!!
 
hahahah how do I know anachosema mwingine kuwa ni kweli? nadhani ni vizuri kumuuliza msemaji mwenyewe kuhusu ukweli wa kile anachosema. Ukiniuliza nilichosema mimi, I have in a position to make a judgement on it. Nimuulize mtu mwingine kuhusu ukweli wa swali lako badala ya kukuuliza wewe mwenyewe?

Yeye kasema wewe ndio umesema. Je anayosema yeye kuhusu uliyoyasema wewe ni kweli au uongo? Of course kama mtu mwingine anasema wewe umesema kitu fulani wakati hukusema hicho anachosema wewe umesema, utajua kuwa anachosema si kweli kwa sababu wewe hukusema hicho anachosema umesema. Sasa anachosema Gembe kuwa wewe ndio umesema ni cha kweli?
 
Yeye kasema wewe ndio umesema. Je anayosema yeye kuhusu uliyoyasema wewe ni kweli au uongo?

(a) Still the burden of proof is on him not me. Yeye kasema kuwa nilichosema sina ushahidi nacho. Sasa ni yeye umuulize ushahidi wa kauli yake. Watu wanaweza kusema mengi kweli kuhusu wewe/mimi na kusema "tulimsikia kasema hivi, au tuliona akifanya vile". Sasa wao ndio watatakiwa waoneshe walisikia wapi, walimuona wapi, na hapo waliposikia walikuwa umbali gani kuweza kusikia vizuri na kama wanavaa miwani au la n.k

Ndiyo maana kesi hizi za ufisadi zitawageukia serikali kwani the burden of proof is not on the accused to prove that they did not do what they are accused of but on the DPP/Government to prove that they did.

Of course kama mtu mwingine anasema wewe umesema kitu fulani wakati hukusema hicho anachosema wewe umesema, utajua kuwa anachosema si kweli kwa sababu wewe hukusema hicho anachosema umesema. Sasa anachosema Gembe kuwa wewe ndio umesema ni cha kweli?

(b) Angalia jibu la (a)
 
Halisi, wakati ya Deep Green yanafanyika Masha alikuwa ni partner katika IMMMA?
 
(a) Still the burden of proof is on him not me. Yeye kasema kuwa nilichosema sina ushahidi nacho. Sasa ni yeye umuulize ushahidi wa kauli yake. Watu wanaweza kusema mengi kweli kuhusu wewe/mimi na kusema "tulimsikia kasema hivi, au tuliona akifanya vile". Sasa wao ndio watatakiwa waoneshe walisikia wapi, walimuona wapi, na hapo waliposikia walikuwa umbali gani kuweza kusikia vizuri na kama wanavaa miwani au la n.k

Ndiyo maana kesi hizi za ufisadi zitawageukia serikali kwani the burden of proof is not on the accused to prove that they did not do what they are accused of but on the DPP/Government to prove that they did.



(b) Angalia jibu la (a)

Ok, fair enough! The burden of proof is on him but we are not in a court of law here. This is JF.

Kwa hiyo wewe unasema alichosema Gembe kuhusu wewe kusema si cha kweli, sio? Hakuna ugumu katika kujibu swali hili. Ni ndio au hapana. Kama ni ndio(sio cha kweli) ni kujumu lake yeye kuja na ushahidi.

Sasa tujifanye tuko mahakamani, what do you plead, guilty or not guilty?
 
If:

a.
Ok, fair enough! The burden of proof is on him but we are not in a court of law here. This is JF.
is TRUE

and,

(b)
Kwa hiyo wewe unasema alichosema Gembe kuhusu wewe kusema si cha kweli, sio? Hakuna ugumu katika kujibu swali hili. Ni ndio au hapana. Kama ni ndio(sio cha kweli) ni kujumu lake yeye kuja na ushahidi.
is TRUE

and

(c)
Sasa tujifanye tuko mahakamani, what do you plead, guilty or not guilty?
is also TRUE

then, MY RESPONSE WILL NEVER BE SUFFICIENT!
 
Mengi acha udaku!

Kama ni kweli ongea kwa kujiamini!

My point exactly!

Jumba lake la uchapishaji linaripoti nini cha zaidi kupita majumba mengine? Kwanza riporting ya namna hiyo imepitwa na wakati and he should know better! To hell with shit like "...jina tunalo" - you want to say something concrete come out and say it!

If you ask me, and, with all due respect, Mr. Mengi is bent after some cheap popularity! Seems to me that he wants to be in the news always, and I think and believe he doesn't like that much and has to create some sort of breaking news tidbits for his printing and publishing conglomerate to pick it up.

Maybe it is true that this particular minister said so, but no matter how I look at it I fail to answer the question: Why? This ufisadi stuff has been talked about by everybody! Forums like this one, publications like Cheche, Mwanakijiji, blogspots like Michuzi, Mjengwa and many others have talked about in more viscous form than Mengi's papers and newspapers - how come hawajatishiwa? (au tayari mimi sijui?)

Aah, Mr. Mengi, tuliza boli na wewe endelea kula maraha na "binti" BRELA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom