Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Status
Not open for further replies.
- Waziri wa mambo ya ndani anaweza kuhusika na kodi? I am missing something here or what?

Hivi kweli wakuu hii thread nzima na matusi yote yaliyorushwa humu kwa waziri ambaye hakutajwa jina, ni kwa sababu tu ya haya maneno juu au kuna mengine yamefutwa?

Mkuu, hivi "kupendekeza" jambo lazima uwe Waziri wa Fedha? Lazima uwe unahusika na kodi? Simple logic ni kuwa Waziri wa Fedha angeagiza tu huyu bwana abambikiziwe kodi! Lakini Mengi anasema huyo Waziri "alipendekeza"! Tatizo liko wapi?

Kuhusu Masha, inawezekana asiwe yeye! Lakini kajiachia mno bwana mdogo huyu. Kwenye mabaa akilewa na wapambe wenzake wa IMMA anamlalamikia mno JK kwa kumwacha Lowassa solemba! Huyu ni kuwadi nambari moja wa Lowassa, simply because mtandao ulipanga kuwa Lowassa akishindwa kuukwaa Urais, basi next in line ni Masha! Mtandao ulimwengua Nchimbi kutokana na CV yake kielimu kuwa ya kimkandamkanda. Vilevile, Masha anasumbuliwa na Deep Green scandal ambayo inaweza kumpeleka Keko kama Mramba na Yona. Ndiyo maana amekuwa daima anakwenda Segerea na Keko kusimamia ukarabati wa lupango za huko ili zamu yake ikifika ya kuingia huko asipate taabu.
 
Najua nitatofautiaaa sana bwna sana na wengi katika hili, kuna wakati huwa namshangana mengi kwa jinsi au style yake ya KULIA LIA, sasa mtu mzima kama wewe mwenye kumiliki vyombo vingi vya habari kuliko mtu yeyeto TZ, unasimama kwenye vyombo vyako kulalama ETI WAZIRI MMOJA KIJANA, si amtaje tu na au ampeleke mahakamani? hii tabia ya umbea wa magazeti ya udakau kaiotoa wapi? hata kama ni kutafuta sympathy sio kihivyo.

Akitofautiana na mtu tu, huyooooooooo kwenye vyombo vya habari, anachoogopa nini? mtu atawezaje kukutaifisha bila ya wewe kuwa na kosa? kwanini uogope vitisho wakati wewe ni mtu safi? nakumbuka aliwahi kuwa mmoja wa wadeni wakubwa wa mabenki nchini kabla hayajabinafsishwa huyu. sijui kama alilipa au yalipotea hewani, ndiyo lazima tujiulize mabenki yalikuwa yanatengeneza faida lakini yakakosa pesa za kujiendesha kwa vile zimeshikiriwa na matajiri hawa hawa.
 
mengi kutoa madai dhidi ya watu wenye kupingana nae aidha kibiashara au kimaslahi ndi kazi ....amezoea kutumia vyombo vyake na jukwaa la wahariri ili kuficha uchafu wake...juzi hapa tumeona wafanyakazi wake wa guardian wakiandamana kudai haki zao...wacha haya mwaka 1990 aliwasingizia wamiliki wa dtv na ctn kuwa wanataka kumua...ikagundulika ni mwongo mtumpu anapenda kujikwaza...
Pia aligombana na malima na kumwandama kutumia vyombo vyake....alichosema malima ni kweli anatumia vibaya vyombo vyake dhidi ya raia wengine...
Aligombana na manji kwa sababu ya uchoyo tu...lakini mara hii alimkuta manji sio kama wale wahindi wengine wa dtav na ctn..walikula jino kwa jino...
Mengi pia hakuishia hapo aligombana na kumshtaki sheikh basaleh...aliwahi kumtisha jenerali ulimwengu kwa sababu magazeti ya rai yalimwandika mengi ni katika wadaiwa wa iliokua benki ya nbc ltd kabla ya kubinafsishwa..na bank ya crdb..pia alikua ni mmoja kati ya walochota pesa za import support...

Makampuni yake hayalipi rent katika sehemu wanazokodi mpaka wafukuzwe ipp inadaiwa mpaka leo na ywca ..masikini hata shirika hili la dini alitaka kulitapeli...akahamishwa kwa mbinde baada ya kuambiwa atoke wanataka kufanya renovation lakini ilikua ni mbinu tu ya kistaarabu kumwambia atoke..

Sasa tuje kwenye hizi tuhuma zake mpya na waziri kijana.....hivi unaweza tu kupandishiwa taxes au kodi ambayo hustahili ?????/ sidhani...tra hawako hivo...na kuna sheria zake zake hata kama wanakudai kodi...na kuna njia na taratibu za kukata rufaa...sasa vipi atasingiziwa tu alipe kodi kubwa ili ati afilisike..????

Cha kuangalia hapa mengi jee yupo safi ???? Sio anataka symphathy anajua madhambi yake sasa atwambie basi jee analipa kodo zetu sawa sawa ama? ...kama anadaiwa kodi halipi basi asitubabaishe yeye sio immune hapa..mengi enajifanya kama wahindi kule india ambao ni untouched ..tunajua ni freemason lakini wakati ukifika hapa tanzania kama na yeye sio msafi basi atahukumiwa tu...na alifikiria kama pesambili mramba waziri tangia enzi za nyerere aliekuwa na kejeli kutwambia hata majani tule lakini mkapa anunue ndege ili wapate ulaji...naye mengi ajue kinachotakiwa ni kuwa msafi...kama analipa kodi zetu basi hana haja ya kuogopa kufilisiwa ..lakini kama halipi kodi zetu basi ajue wakati ndio huu
 
Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, nafahamu unamheshimu sana Reginald Mengi lakini kwa hili nadiriki kusema jamii haitakuelewa, eti ubadilishe baraza la mawaziri kisa tajiri mmoja mzawa anataka hivyo kwa madai ya kutishiwa kuuawa na waziri wako!!! Muungwana, funika kombe wacha mwanaharamu apite wala hatutanuna kaka yangu, maana sasa wanataka wakufanye uwe the comedy which is unacceptable.

Nakumbuka Mengi alivyochangia kufa mapema kwa mzee wetu Silvanus Adel, kisa kombe la dunia 1994, jamaa alipozidiwa kete na CTN akatangaza kutishiwa kuuawa na akina Shabir Dewji, Murtaza Dewji na wengineo, sakata hili likamuhusisha kaka yangu Mtua Tryphon Maji akiwa RPC aliyeridhia kuwaachia wahindi hao , looooooh ngoma ikamfikia mzee wetu Mwinyi kupitia kwa mpenda sifa asiye makini Lyatonga, Alhaj Mwinyi hakuwa na namna kumtosa katibu wake mkuu na RPC wake huku wakijuwa ilikuwa ni janja ya kisanii tu.

Juzi juzi Kilimanjaro hotel ambayo tunaamini bado mzee wetu Mengi bado anateseka nayo rohoni maana kwa mujibu wa Rosemary mwakitwange "Mengi ameapa hatakanyaga ndani ya Hotel Kempiski ktk uhai wake uliobaki!!!! Hapo alishughulishwa na mtumishi Masilingi lakini pia tunakumbuka beef yake na Mramba ambayo wazee wa kichaga waliipoza.

Mkuu no more favor, enough is enough, wananchi tuisujudu serikali yetu na si serikali imsujudu mtu mmoja tu. Ktk hili tunasema hatuko tayari kuyumbishwa na sauti ya tajiri bali ukweli.

Ameshindwa kuwa mkweli na sisi tunachopaswa ni "YETU MACHO" KWANI TUSHAMSIKIA YATOSHA
 
Najua nitatofautiaaa sana bwna sana na wengi katika hili, kuna wakati huwa namshangana mengi kwa jinsi au style yake ya KULIA LIA, sasa mtu mzima kama wewe mwenye kumiliki vyombo vingi vya habari kuliko mtu yeyeto TZ, unasimama kwenye vyombo vyako kulalama ETI WAZIRI MMOJA KIJANA, si amtaje tu na au ampeleke mahakamani? hii tabia ya umbea wa magazeti ya udakau kaiotoa wapi? hata kama ni kutafuta sympathy sio kihivyo.

Akitofautiana na mtu tu, huyooooooooo kwenye vyombo vya habari, anachoogopa nini? mtu atawezaje kukutaifisha bila ya wewe kuwa na kosa? kwanini uogope vitisho wakati wewe ni mtu safi? nakumbuka aliwahi kuwa mmoja wa wadeni wakubwa wa mabenki nchini kabla hayajabinafsishwa huyu. sijui kama alilipa au yalipotea hewani, ndiyo lazima tujiulize mabenki yalikuwa yanatengeneza faida lakini yakakosa pesa za kujiendesha kwa vile zimeshikiriwa na matajiri hawa hawa.
 
Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete, nafahamu unamheshimu sana Reginald Mengi lakini kwa hili nadiriki kusema jamii haitakuelewa, eti ubadilishe baraza la mawaziri kisa tajiri mmoja mzawa anataka hivyo kwa madai ya kutishiwa kuuawa na waziri wako!!! Muungwana, funika kombe wacha mwanaharamu apite wala hatutanuna kaka yangu, maana sasa wanataka wakufanye uwe the comedy which is unacceptable.

Nakumbuka Mengi alivyochangia kufa mapema kwa mzee wetu Silvanus Adel, kisa kombe la dunia 1994, jamaa alipozidiwa kete na CTN akatangaza kutishiwa kuuawa na akina Shabir Dewji, Murtaza Dewji na wengineo, sakata hili likamuhusisha kaka yangu Mtua Tryphon Maji akiwa RPC aliyeridhia kuwaachia wahindi hao , looooooh ngoma ikamfikia mzee wetu Mwinyi kupitia kwa mpenda sifa asiye makini Lyatonga, Alhaj Mwinyi hakuwa na namna kumtosa katibu wake mkuu na RPC wake huku wakijuwa ilikuwa ni janja ya kisanii tu.

Juzi juzi Kilimanjaro hotel ambayo tunaamini bado mzee wetu Mengi bado anateseka nayo rohoni maana kwa mujibu wa Rosemary mwakitwange "Mengi ameapa hatakanyaga ndani ya Hotel Kempiski ktk uhai wake uliobaki!!!! Hapo alishughulishwa na mtumishi Masilingi lakini pia tunakumbuka beef yake na Mramba ambayo wazee wa kichaga waliipoza.

Mkuu no more favor, enough is enough, wananchi tuisujudu serikali yetu na si serikali imsujudu mtu mmoja tu. Ktk hili tunasema hatuko tayari kuyumbishwa na sauti ya tajiri bali ukweli.

Ameshindwa kuwa mkweli na sisi tunachopaswa ni "YETU MACHO" KWANI TUSHAMSIKIA YATOSHA
 
mengi kutoa madai dhidi ya watu wenye kupingana nae aidha kibiashara au kimaslahi ndi kazi ....amezoea kutumia vyombo vyake na jukwaa la wahariri ili kuficha uchafu wake...juzi hapa tumeona wafanyakazi wake wa guardian wakiandamana kudai haki zao...wacha haya mwaka 1990 aliwasingizia wamiliki wa dtv na ctn kuwa wanataka kumua...ikagundulika ni mwongo mtumpu anapenda kujikwaza...
Pia aligombana na malima na kumwandama kutumia vyombo vyake....alichosema malima ni kweli anatumia vibaya vyombo vyake dhidi ya raia wengine...
Aligombana na manji kwa sababu ya uchoyo tu...lakini mara hii alimkuta manji sio kama wale wahindi wengine wa dtav na ctn..walikula jino kwa jino...
Mengi pia hakuishia hapo aligombana na kumshtaki sheikh basaleh...aliwahi kumtisha jenerali ulimwengu kwa sababu magazeti ya rai yalimwandika mengi ni katika wadaiwa wa iliokua benki ya nbc ltd kabla ya kubinafsishwa..na bank ya crdb..pia alikua ni mmoja kati ya walochota pesa za import support...

Makampuni yake hayalipi rent katika sehemu wanazokodi mpaka wafukuzwe ipp inadaiwa mpaka leo na ywca ..masikini hata shirika hili la dini alitaka kulitapeli...akahamishwa kwa mbinde baada ya kuambiwa atoke wanataka kufanya renovation lakini ilikua ni mbinu tu ya kistaarabu kumwambia atoke..

Sasa tuje kwenye hizi tuhuma zake mpya na waziri kijana.....hivi unaweza tu kupandishiwa taxes au kodi ambayo hustahili ?????/ sidhani...tra hawako hivo...na kuna sheria zake zake hata kama wanakudai kodi...na kuna njia na taratibu za kukata rufaa...sasa vipi atasingiziwa tu alipe kodi kubwa ili ati afilisike..????

Cha kuangalia hapa mengi jee yupo safi ???? Sio anataka symphathy anajua madhambi yake sasa atwambie basi jee analipa kodo zetu sawa sawa ama? ...kama anadaiwa kodi halipi basi asitubabaishe yeye sio immune hapa..mengi enajifanya kama wahindi kule india ambao ni untouched ..tunajua ni freemason lakini wakati ukifika hapa tanzania kama na yeye sio msafi basi atahukumiwa tu...na alifikiria kama pesambili mramba waziri tangia enzi za nyerere aliekuwa na kejeli kutwambia hata majani tule lakini mkapa anunue ndege ili wapate ulaji...naye mengi ajue kinachotakiwa ni kuwa msafi...kama analipa kodi zetu basi hana haja ya kuogopa kufilisiwa ..lakini kama halipi kodi zetu basi ajue wakati ndio huu


Nashindwa kuona logic ya mchango wako. Unaonekana kuwa umekasirika, umegubikwa na kisasi, huoni hoja wala mantiki ya chochote kile. Jina lako la "Kandambili" linakaribiana sana na jina lako halisi la "Pesambili". Pole kwa frustration za Keko, lakini usituvurugie mjadala wa mantiki hapa!
 
Najua nitatofautiaaa sana bwna sana na wengi katika hili, kuna wakati huwa namshangana mengi kwa jinsi au style yake ya KULIA LIA, sasa mtu mzima kama wewe mwenye kumiliki vyombo vingi vya habari kuliko mtu yeyeto TZ, unasimama kwenye vyombo vyako kulalama ETI WAZIRI MMOJA KIJANA, si amtaje tu na au ampeleke mahakamani? hii tabia ya umbea wa magazeti ya udakau kaiotoa wapi? hata kama ni kutafuta sympathy sio kihivyo.

Akitofautiana na mtu tu, huyooooooooo kwenye vyombo vya habari, anachoogopa nini? mtu atawezaje kukutaifisha bila ya wewe kuwa na kosa? kwanini uogope vitisho wakati wewe ni mtu safi? nakumbuka aliwahi kuwa mmoja wa wadeni wakubwa wa mabenki nchini kabla hayajabinafsishwa huyu. sijui kama alilipa au yalipotea hewani, ndiyo lazima tujiulize mabenki yalikuwa yanatengeneza faida lakini yakakosa pesa za kujiendesha kwa vile zimeshikiriwa na matajiri hawa hawa.

Kandambili, Marcos au Pesambili?
 
Mkuu, hivi "kupendekeza" jambo lazima uwe Waziri wa Fedha? Lazima uwe unahusika na kodi? Simple logic ni kuwa Waziri wa Fedha angeagiza tu huyu bwana abambikiziwe kodi! Lakini Mengi anasema huyo Waziri "alipendekeza"! Tatizo liko wapi?

Kuhusu Masha, inawezekana asiwe yeye! Lakini kajiachia mno bwana mdogo huyu. Kwenye mabaa akilewa na wapambe wenzake wa IMMA anamlalamikia mno JK kwa kumwacha Lowassa solemba! Huyu ni kuwadi nambari moja wa Lowassa, simply because mtandao ulipanga kuwa Lowassa akishindwa kuukwaa Urais, basi next in line ni Masha! Mtandao ulimwengua Nchimbi kutokana na CV yake kielimu kuwa ya kimkandamkanda. Vilevile, Masha anasumbuliwa na Deep Green scandal ambayo inaweza kumpeleka Keko kama Mramba na Yona. Ndiyo maana amekuwa daima anakwenda Segerea na Keko kusimamia ukarabati wa lupango za huko ili zamu yake ikifika ya kuingia huko asipate taabu.

Hili ni fataki ati!

Magazeti yanayomilikiwa na mafisadi, kama akina Lowasa na Karamagi, etc; hayajapata nafasi katika mioyo ya watanzania wengi kueneza propaganda zao. There is need to create a room for that.
 
mengi kutoa madai dhidi ya watu wenye kupingana nae aidha kibiashara au kimaslahi ndi kazi ....amezoea kutumia

Sasa tuje kwenye hizi tuhuma zake mpya na waziri kijana.....hivi unaweza tu kupandishiwa taxes au kodi ambayo hustahili ?????/ sidhani...tra hawako hivo...na kuna sheria zake zake hata kama wanakudai kodi...na kuna njia na taratibu za kukata rufaa...sasa vipi atasingiziwa tu alipe kodi kubwa ili ati afilisike..????



Mafisadi wanaweza kufanya lolote! Ni kweli kuna taratibu za kukataa kiasi cha kodi ambacho TRA wana-assess lakini huo utaratibu bado unaumiza sana. TRA wanawezo ku-assess kiasi chochote cha kodi. Hili linatokea sana - waulize wafanyabiashara watakwambia!. Kama huridhiki na kodi waliyo-assess na unataka ku-object unatakiwa kulipa si chini ya 1/3 (one third) ya kiasi ambacho TRA wame-assess la sivyo objection yako haitasikilizwa na wata-institute collection measures za kukusanya kodi yote walioassess hata kama siyo sahihi. In summary the tax laws give TRA a massive power to collect taxes.
 
Hivi tafsiri ya "Mwandamizi" ni nini hasa? Kwa kadiri nijuavyo Masha sio Waziri "Mwandamizi" kwa kiingereza cha karibu "Senior"

Nadhani tunamjadili mtu sio hapa hebu tufanye ka-home work kadogo hapa, the most "mwandamizi" au senior Minister katika cabinet ya JK ni Waziri Seif Khatib akifuatiwa na Mary Nagu, Kapuya..... jazeni wengine huko.

Kuna watu wanataja manaibu waziri kuwa ni "waandamimizi" no way! hao manaibu hata kwenye cabinet hawaingii sembuse waitwe "waandamizi" we need to get our facts right!
 
mengi kutoa madai dhidi ya watu wenye kupingana nae aidha kibiashara au kimaslahi ndi kazi ....amezoea kutumia vyombo vyake na jukwaa la wahariri ili kuficha uchafu wake...juzi hapa tumeona wafanyakazi wake wa guardian wakiandamana kudai haki zao...wacha haya mwaka 1990 aliwasingizia wamiliki wa dtv na ctn kuwa wanataka kumua...ikagundulika ni mwongo mtumpu anapenda kujikwaza...
Pia aligombana na malima na kumwandama kutumia vyombo vyake....alichosema malima ni kweli anatumia vibaya vyombo vyake dhidi ya raia wengine...
Aligombana na manji kwa sababu ya uchoyo tu...lakini mara hii alimkuta manji sio kama wale wahindi wengine wa dtav na ctn..walikula jino kwa jino...
Mengi pia hakuishia hapo aligombana na kumshtaki sheikh basaleh...aliwahi kumtisha jenerali ulimwengu kwa sababu magazeti ya rai yalimwandika mengi ni katika wadaiwa wa iliokua benki ya nbc ltd kabla ya kubinafsishwa..na bank ya crdb..pia alikua ni mmoja kati ya walochota pesa za import support...


Makampuni yake hayalipi rent katika sehemu wanazokodi mpaka wafukuzwe ipp inadaiwa mpaka leo na ywca ..masikini hata shirika hili la dini alitaka kulitapeli...akahamishwa kwa mbinde baada ya kuambiwa atoke wanataka kufanya renovation lakini ilikua ni mbinu tu ya kistaarabu kumwambia atoke..

Sasa tuje kwenye hizi tuhuma zake mpya na waziri kijana.....hivi unaweza tu kupandishiwa taxes au kodi ambayo hustahili ?????/ sidhani...tra hawako hivo...na kuna sheria zake zake hata kama wanakudai kodi...na kuna njia na taratibu za kukata rufaa...sasa vipi atasingiziwa tu alipe kodi kubwa ili ati afilisike..????

Cha kuangalia hapa mengi jee yupo safi ???? Sio anataka symphathy anajua madhambi yake sasa atwambie basi jee analipa kodo zetu sawa sawa ama? ...kama anadaiwa kodi halipi basi asitubabaishe yeye sio immune hapa..mengi enajifanya kama wahindi kule india ambao ni untouched ..tunajua ni freemason lakini wakati ukifika hapa tanzania kama na yeye sio msafi basi atahukumiwa tu...na alifikiria kama pesambili mramba waziri tangia enzi za nyerere aliekuwa na kejeli kutwambia hata majani tule lakini mkapa anunue ndege ili wapate ulaji...naye mengi ajue kinachotakiwa ni kuwa msafi...kama analipa kodi zetu basi hana haja ya kuogopa kufilisiwa ..lakini kama halipi kodi zetu basi ajue wakati ndio huu

kwa kusema hadharani saa nyingine inasaidia maana ka serikali ketu hakiaminiki inawezekana Mengi ameliona hilo toka zamani akajua kimbilio letu ni sisi na kweli kwani huoni tulivyopigia kelele ufisadi pale Mh. Zitto na Dr Slaa walipotuletea sisi otherwise mambo yote mkiwaachia kina waziri km Meghji, Karamagi na Mlafi Hosea watakuambia hakuna tatizo lolote....
Kuhuso km hana madhambi kwenye suala la Kodi nakataa, Mengi ana own vyombo vya habari na anajua kwamba anawashindani na maadui kibao sidhani kama angechukua risk ya kuweka mambo hadharani kwani watu tutaanza kuchambua mbivu na mbichi kama tunavyofanya sasa hivi.....
 
Kwa upande wa waziri - this is the problem ya kuwatunukia watu uwaziri bila kuwafahamu (vet) vizuri! Kila siku JK ataishia kukuna kichwa! - Still learning how to pick the right people for ministers! Kazi tunayo![/QUOTE]

Ingekuwa vema kama mawaziri wangechaguliwa tu bila kujali kama ni mbunge. kuna watu wazuri sana huku uraiani zaidi ya hao wabunge ambao wamepita kwa kutoa chochote

 
Ingefaa ifahamike for sure Mengi anamtuhumu nani(alternatively,labda litoke neno kwa huyo Masha aneyehisiwa na wengi hapa JF) then mjadala uanzie hapo......otherwise its speculations........
 
Huyo Waziri na lazima atakuwa anahusika kusimamia sector ambazo Mengi ana interest. My guess ni Adam Malima. Rejea bifu yao kabla Adam hajawa Waziri. Mengi ana shimo pale Mererani.
 
Wakuu,with due respect,

Ingefaa ifahamike for sure Mengi anamtuhumu nani(au alternatively,labda litoke neno ama tamko kutoka kwa huyo Masha anayehisiwa na wengi hapa JF) ndio mjadala uanze....otherwise its speculations..........
 
Huyu Masha naona naye ameshaanza kulewa madaraka.,...

Nadhani JK ameingia mkenge sana kumpatia Masha uwaziri kwa sababu zifuatazo:-

1. Masha ni mmojawapo wa wamiliki wa IMMMA advocates ambyo kimsingi ni ya kibiashara na kwa maana hiyo Masha ni mfanyabiashara (rejea kauli ya JK kusuhusu wanasiasa kuchagua ama kubaki na biashara zao au kuziacha ili watumikie siasa. (ingawa Masha alisema anajiuzulu ukurugenzi wa IMMA je ameuza hisa zake?)
2. Kampuni ya IMMMA ndiyo uliyosajili Mwananchi Gold na Deep Green Finance na baadaye kampuni hiyo kuwa liquidators wa Makampuni hayo ambayo kashfa yake ni zaidi ya ile ya EPA!
3. IMMMA yenyewe na Masha kwa kuhusika na hujuma ya usajili wa Mwananchi na Deep green finance, uadilifu wake (IMMMA) na wamiliki wake ni questionable na sijui kama wanalipa kodi sahihi TRA.

Nachokihisi hapa ni vita dhidi ya Wafanya bisahara wazawa kwa manufaa ya wafanyabiashara wa kiasia. Labda Mengi hawamegei donge nono kma awafanyavyo waasia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom