Zion Train
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 501
- 80
wasiwasi wangu,kama kweli mengi anathibitisha,lakini huo ushaidi wake unaoneonekana ni wa kuvunja sheria,kawawekea watu undercover agent sijui huko kwenye mabaa, si naye anaweza kuwa kavunja sheria? duh nahisi kama wote watakuwa wamekosea.
sikilizeni ushauri wa mchangiaji mmoja hapa, kakutaneni sijui wapi,muongee weee,mrudi mtuambie yamekwisha, la sivyo mtadondoka wote.
sikilizeni ushauri wa mchangiaji mmoja hapa, kakutaneni sijui wapi,muongee weee,mrudi mtuambie yamekwisha, la sivyo mtadondoka wote.