- Ni haki yangu kutoa mawazo yangu kama ilivyo yako, Mengi ametuhumu waziri sasa ishu inakuwa ni waziri level sio RPC, kwani waziri hajui hizo sheria?
Later saa ya kibarua!
kwa hiyo waziri level sio
Mwendesha mashtaka atakuwa waziri
hakimu waziri
- Ni haki yangu kutoa mawazo yangu kama ilivyo yako, Mengi ametuhumu waziri sasa ishu inakuwa ni waziri level sio RPC, kwani waziri hajui hizo sheria?
Later saa ya kibarua!
Mi nadhani, kwa sababu Mengi alimtuhumu waziri (kwa kutaja cheo cha uwaziri wa Serikali ya Tz) basi anakuwa ameituhumu serikali.
Kwa hiyo Masha hapa anafanya kazi ya kuitetea Serikali hata kama aliyetuhumiwa si yeye......japo pia naona kwa upande wa pili aliyepaswa kuliongolea ni hili ni yule waziri aliyesuswa na media.
Hii kazi ya kutaka Mengi athibitishe tuhuma zake ilitakiwa ifanywe na polisi. Masha kama waziri hawezi kumpa ultimatum Mengi na hapa ndio inaonyesha wazi calibre ya mawaziri wa Jakaya; wengi hawana intergrity wala foresight!!Mengi kamtegea huyu fisadi na kweli kaingia mwenyewe kichwa kichwa na sasa ataipata fresh!!
Swali : Hivi ni nani aliyeanzisha uzushi huu? ..Nadhani ni Mengi... Awe mwanaume and see it to the end... He cannot just use his media outlets to trump up allegations na kukimbia? Let him substantiate his claims and see it to the end...
Haya ni matokeo ya uteuzi wa shukrani. Mr. M ameajiri mtoto wangu na binti wa mkuu wa nyumba ya SMZ ni lazima awe waziri hata kama hana sifa. Matokeo yake kusema ovyo; leo mauaji ya albino ni jambo dogo, kesho Mengi apewa siku saba!!! Mengi yanakuja.
Kwani Masha yeye ni polisi. Hiyo ni kazi ya polisi awaachize wafanye kazi!
Masha kazaliwa 1970 na kamaliza LLB (UD) 1991...ina maana aliingia UD akiwa 17 yrs old?
Hatari kweli !! Baada ya primary school unaenda miaka mitano kupata High School Diploma !!!
http://www.parliament.go.tz/bunge/Mp_Cv3.asp?PTerm=2005-2010&fpkey=423&vusername=GUEST")
Masha kasomea marekani primary na high school!huku alirudi kusoma 1STdegree pale UDSM!sasa hapa unashangaa nini?vitu vingine usimuonee Masha eti alidanganya Umri?jamani unaenda mbali sana sasa!hapo kuna jambo jipya,unless taarifa ziwe zimekosea. Au alidanganya umri? Hapa kuna kazi ya ziada inatakiwa.Huyu kilaza ni mpaka akome
...hivi kuna sababu gani Waziri mzima kukurupuka na kuanza kutoa siku saba,hajapelekewa barua yeyote au malalamiko rasmi ni kaskia tuu kama sisi humu JF,kama mengi ana issue legit kuna utaratibu wa kufanya na alichofanya ni kama street talk tuu ambacho waziri hana sababu hata ya kujibu...Masha intergrity ni sifuri kazidi umalaya tuu na kutafuta ujiko kwa machangudoa,wizara yake ni kero kubwa kwa wananchi kuanzia uhamiaji mpaka polisi wa barabarani na kashindwa hata kuwalinda Albino...disgraceful masha must go na utatoka tuu!
- Mkuu umeongea machache sana lakini sijaona hoja, mambo ya usalama wa wananchi na viongozi yanamhusu waziri wa ndani, na ya waandishi wa habari yanahusu waziri wa habari.
- Na sidhani kama ni the ishu hapa!
Hebu msome kwa kutulizana, ama sivyo nyie ndio mnakuwa (as you like to put it) "wakurupukaji"
Mleta habari hapo juu amesema, "Nimesikia TBC leo asubuhi kwamba Mh. Masha kama Waziri wa Mambo ya Ndani amempa siku saba Mr Mengi athibitishe kauli alizo toa . Kazi imeanza."
Keyword, kama waziri wa mambo ya ndani....Hivyo, kutokana na habari hapo juu, Masha hajasema kuwa Mengi athibitishe maneno yale yametoka kwake.
Ama la, labda habari haijakuwa quoted kama ilivyokuwa reported. Slow your roles!
- Mkuu umeongea machache sana lakini sijaona hoja, mambo ya usalama wa wananchi na viongozi yanamhusu waziri wa ndani, na ya waandishi wa habari yanahusu waziri wa habari.
- Na sidhani kama ni the ishu hapa!