mwanasiasa lazima ujue,nini ilikuwa kesi ya msingi,usi seme tu Manji firauni kawashika,nssf,ccm sijui ikulu,No kesi ya msingi ni kuwa Mengi anatumia vibaya vyombo vyake vya habari,kesi hii it has nothing to do with manji.Its between Mengi and malima thats it!!!Alipoulizwa Mh malima unao ushahidi juu ya hilo?akasema ndio ndipo alipowaleta akina Dr Dau,Sheikh Bassaleh,Jaji Warioba na wengine.hao wote wamekwenda katika kamati ya maadili KUTIBITISHA KAULI YA MH MALIMA JUU YA MENGI NA MATUMIZI YAKE MABAYA YA VYOMBO VYAKE VYA HABARI.Kwanza nakutaka ujue,sheria ya vyombo vya habari ulimwenguni,HAIMTAKI mwenye chombo cha ahabri kujionyesha yeye katika Prime time kama taarifa za habari,ndio maana huwezi kumuona mwenye SKY NEWS katika TV,lakini mengi kila kukicha juu katika taarifa za habari,leo kafungua choo,kesho katoa msaada katika Madrasa msasani.Sheria inamtaka mwenye kumiliki chombo cha habari hususan Tv kutojionyesha yeye mmiliki ktika prime akama akitaka hayo,basi aweke kipindi maalum,na ndio maana kama utakumbuka siku za nyuma amejoinyesha akitoa mdsaa katika kipindi maalum sio katika NWES TIME.Kwa kujionyesha yeye katika news time ITS CRIMINAL OFFENCE,haya kama huyajui mwanasiasa nakutaka uyajue kuanzia leo,waulize wanaosemosea mambo ya Media,au waulize TCRA pale ilipokuwepo SHIHATA zamani wale ndio wanaotoa lesseni.