Mengi vs Manji: Ukweli ni upi?

Mengi vs Manji: Ukweli ni upi?

Mlalahoi
Mimi siwezi kukutukana maana umesema wewe ni baba yangu wa kambo naheshimu kauli yako. Lakini usikatae kabila lako na kujitia usukumani na ungoni au umeamua kulikimbia kabila lako kwa vile Mnachuna sana ngozi za watu?
Umekikataa chuo chako na kujiweka UDSM kumbuka mkataa kwao ni mtumwa, yaani kabila lako hulitaki na sasa umejipachika UDSM kwani kule kitonga reputation yake ndogo? acha baba wa kambo kujipakazia.
Unafanya kazi supermarket ipi TESCO,ASDA au MOrrison ? ina maana mwanao(mimi) naweza kukutungia uongo? basi utampa nafasi Mahita october 7 kumkana mwanae kwa kutumia rejea ya kesi yako kunikana mwanao kuwa nakuzushia. na MAHITA atafanya reference kesi ya MLALAHOI vs Mswahili.
Nilikuwa msomaji humu lakini kutokana na kauli zako na vurugu sikutegea mtu kama wewe kuwa na tabia ya aina hii(udini) hata wanabodi wangekuwa wanakujua wangeshangaa sana 'HATA HUYU MHESHIMIWA YUMO HUMU'
Kwenu wana forum mheshimiwa shule yake ni ya kuunganisha sana na hata professional yake ni ile ya failure wengi huangukiwa huko, ila kazi yake aliyopata ni nyeti ndani ya serikali yetu hakupata kwa sifa bali ule utaratibu uliotumika shirika la Bima wakati wa kina Mwaikambo ambapo hadi mfagiaji alitoka nyanda za juu za kusini, huyu mheshimiwa alitiliwa cross na mstaafu wa hivi karibuni ambaye alikuwa na jukumu la usalama wetu. Angekuwa makini hii forum ingemsaidia sana kwenye fani yake.
wanabodi hapa kuna mpango wa kuivuruga huu mjadala na huyu bwana amekuwa akiingia kwenye forum mbalimbali kwa majina tofauti (majina ninayo mkiyataka) ili kuvuruga mada mfano kule Darhotwire alikuja na kutoa matusi na hatimaye mada ya Mengi ikafutwa na hapa kaamua kuleta hoja hizi kuleta mchafuko na hatimaye mjadala ufe kwani yupo karibu sana na Mzee Mengi na kwa vile kazi anayoifanya hana sifa halisia zaidi ya kubebwa anahisi riziki yake itakuwa mikononi kwa Mengi, Mzee mengi ni muwekezaji mkubwa kwenye fani yake.
Administrator muda si mrefu utapata simu toka kwa Mzee Mengi na kuombwa ufute huu mjadala au utapewa kitu kidogo kazi kwako Uzalendo au Mlungula? na hakika Mzee wetu Mengi analifuatilia hili kwani watu wake tayari wamo humu na wanamfanyaia kazi.
Baba yangu wa kambo (mlalahoi) unasema Kapuya ni mdini naona tumuulize Michael Wambura ambaye Kapuya kamtoa kwenye ufundi cherehani pale kinondoni na kumuingiza FAT kwanini asimtetee Ndolanga na huku ni muislam mwenzake? haikutosha hiyo amempeleka hadi Simba Sports na kupewa madaraka makubwa huku hata mpira alikuwa haujui yeye alikuwa kwenye vinyoya. kama ni UDINI labda ndio huo.
Nani alikuwa anamjua Magori? huo ndio ujadina wa KAPUYA je Magori muislam?

NA JIHAD anayoifanya Dr.Dau NSSF ni ile ya kukuta kiwango cha chini cha mshahara 50,000 miaka minne iliyopita na sasa ni 384,000 kama Jihad ndiyo hiyo hata mimi namkubali. haya yalifanyika Bima, au GAPEX? acha majungu na chuki kwa binadamu wenzako unakwenda kanisani kila week unajifunza kuwa na upendo kwa binadamu wenzako(waislam) au chuki? kama ni hivyo bora usiende hawa ni binadamu wenzako wape neno la Mungu wanaweza kukufuata huko uliko.
uko UK lakini umeshindwa kujifunza kuvumilia baina ya dini tofauti? hao wazungu pale kanisani kwako umewaona wanakuja? mbona mko Wafrica watupu? je unaweza kwenda Brazil mpirani na usiwakute wenyeji wako uwanjani? tafakali baba yangu wa kambo.
Wanabodi huu ni mchango wangu wa mwisho na hakuna tusi ila kumuweka sawa mheshimiwa lau kama mngemjua basi mngezidisha kutoa maoni. ila jamaa yupo kwa kazi maalum humu. ana agenda zake pia alikuwa awe kwenye baraza la mawaziri kama mheshimiwa Mwandosya angepita na alikuwa front kwenye kampeni yake sasa frustration yake inaleta chuki kwa waislam na JK mtaiona wazi. naomba samahani tena na huu ndio mchango wangu wa mwisho kumjibu huyo bwana kwenye mjadala huu.
 
Mswahili
Ukiona sasa sisi wazee tunasimama na kusema enough is enough ina maana kwamba we now mean business.Naomba bwana mdogo Fillga ama Mike .Sisi watu wazima kuacha watoto na wake zetu tukakaa hapa muda kusoma na kujibu hoja na kujifunza ni upendo na uzalendo kwa Tanzania inayo liwa na Mengi na Manji . Kwangu mimi Manji si mtu wa kumuongelea hapa . Huyu Mhindi ni hatari sana kwa Tanzania . Huyu ni Mhindi tu no matter what you guys will say lakini anabakia kuwa Mhindi . Manji hana uchungu na Tanzania baki na wahindi wenzake na India yake ila kwa kuwa kakaa kwenye Nchi ya wastaarabu sisi Watanzania basi tunamuona kama ni Mtanzania mimi nasema .Wizi na ujambazi wa Manji ni ujambazi kama wengine nashangaa BM na JK wote wanamlea mtu anaye hujumu uchumi wa Tanzania .

Mengi naye ni mkumbo huo huo anapenda sana kuonew huruma .Japokuwa yeye kiasi anakuwa na utu lakini bado si mtu wa kuweza kusemwa kwamba ana utu mbali ya kujali kuendeleza jina lake na utajiri wake na ukoo wake .

Mnatupigia kelele bure hapa . Ndiyo NSSF kumejaa udini sana .Uislam nan ushahidi tunao . Kapuya Mzushi mkubwa na mtu wa fitina .NSSF hupati kitu kama wewe huna jina la Muislam ushahidi tunao na hatutaki kusema mambo hapa.

Unamtaja Magori kuwa NSSF ama kuwa Simba mpenzi na baadaye huko Fat ? Ni bidii za Magori mwenyew plus kujipendekeza kwake .Namjua Magori tangia kijijini kwao Komuge , wilaya ya tarime , tarafa ya Suba, Mkoa wa Mara . Magori ni mtoto wa Marehemu Chifu John Magongwe na Prisca Cosmas Sasi . Babu yake Magori kwake ni kijiji ch Kyamwame Kata ya Komuge na Parokia ya Komuge .Pia Magori kama ni kazi NSSF hajapewa kirafiki maana shule anayo . kasoma UDSM na baadaye Uholanzi ana MSc.

Magori alipenda soka tangia mdogo na ni mtu wa kupenda madaraka na kujikweza kwa style ya akina Kapuya yeah Magori anaweza kuwa hapo alipo maana anapenda kujipendekeza sana .Ndiyo Tanzanai yetu na ndiyo maana nawe unapigania sana uozo wa NSSF na Manji na Mengi .

Narudia tena Mike mfute huyu Mswahili maana kazidi na tuhuma bila ya kukata issue hapa . Kama anajuana na Mlalahoi basi hameni hapa fanyeni majibizano yenu sirini . Sisi hatuna haja ya mambo binafsi ila tunasema hata JK kumpa Kapuya Uwaziri wa Ulinzi is a mistake sana sema Nchi yetu imetulia sana .Lakini Kapuya si wa kupewa nafasi kubwa kama hii .

kwa udini huu kuenea kwa kasi ndiyo maana kutawapa waislam ugumu wa kuwa na Mahakama ya Kadhi maana hatuwezi kuanza chokochoko kwa ubinafsi .Wengine nyie mna mahela tayari mtakimbilai uarabu mambo yakianza sisi tutabakia vijijini tunakufa maana kwa sasa tunakufa kwa kuumwa hata nyuki ama kukosa chakula wakati kumetulia je pakiwa na machafuko itakuwaje ? Acheni hizo Manji ni mwizi nashangaa PCB wako kimya na Mengi ni Mwizi pia .Na udini umezama nakuweka mizizi NSSF.
 
Surely,they say behind any great fortune there's great crime.Where is PCB?
 
Kama mnakumbuka niliahidi kuweka piece on UDINI tanzania, nasikitika nimeshindwa kutokana na ukosefu wa takwimu husika. ingawa nimegundua kuna manung'uniko pande zote yaani waislamu wanahisi kuna udini dhidi yao na kwa upande wao na wakristo piawanaona kuna udini dhidi yao.

Hii mada imekosa muelekeo kwa sasa partly kutokana na baadhi ya attempt za baadhi humu kuidrive outside the agenda walizokusudia waanzilishi na pia partly due to administrators error ya kuchanganya mambo hapa.

Sasa wale wote wanaoclaim kuwepo na udini katika taasisi za serikali aidha waislamu kupendeleana au otherwise and vice vierca naomba tusaidiwe japo majina ya kina nani wamepewa vyeo kwa vile majina yao au imani zao ni za kiislamu au kikristo.

In particular mlalahoi na mugishagwe tuwekeeni mwangaza katika hili, otherwise sorry is a simple word lakini quiet meangfull...
 
Mzee Mugishagwe,
Pamoja na uliyoyasema...inawezekana Magori pia "alibebwa" huko Simba na FAT/TFF na mtu kama Sarungi ambaye ni jirani yake huko Mara (Tarime na Rorya?), na Sarungi na Kapuya wote ni maprofesa, marafiki wa Simba (Friends of Simba)? kwa hiyo walikuwa wanamsaidia kijana wao na mwanaSimba mwenzao!

Wanabodi,
Najua mada ni NSSF saga/Mengi vs Manji, na sikupenda kuongelea mambo ya udini hapa...
Lakini nikichangia kuhusu Kapuya, wafuatiliaji wa mambo Bongo wanamuona kama "ana uwezo mdogo" katika kazi yake, na aliwahi kushinda kama "Mtu aliyefanya vibaya kabisa kwa mwaka 2004", kura ya maoni iliyoendeshwa na Clouds FM (mwanzoni mwa 2005). Aliyefanya vizuri alikuwa Magufuli. Suala hilo lilileta bifu kati ya Clouds na Aden Rage (aliyekuwa FAT/Simba, na alitaka kugombea ubunge Tabora-huko huko kwa akina Kapuya) kwa upande mmoja, na Eric Shigongo (mchapishaji "maarufu") na Kapuya kwa upande mwingine.
Waliompigia kura Kapuya ya kufanya vibaya walitaja mifano kadhaa, ikiwemo "kuboronga" kama waziri aliyekuwa na dhamana ya michezo kwa kuzingatia migogoro ya Simba, Yanga, FAT, Taifa Stars etc;migogoro ya wafanyakazi na mikataba ya hiari na waajiri (iwe ni NBC, TANESCO, NIC etc) na kutoshughulikia waajiri wakorofi hasa wahindi na wawekezaji wanaonyanyasa wafanyakazi wazalendo.

Hili la ukabila (Wanyamwezi) na udini (Waislam) nalo linasemwasemwa.Wengi wameshangaa kwamba ame-survive kwenye baraza la mawaziri; huenda sana sana ni kutokana zile sera za "kubalance" kwamba, kwa mfano, wabunge wa kanda ya ziwa, waislam etc wawemo kwenye baraza. Hata hiyo wizara huenda amepewa ili "ionekane" kuwa bosi wa wanajeshi wote ni Muislam ili kupoza malalamiko kutoka kwa baadhi ya waumini, ambayo si siri, yamekuwepo kuhusiana na wizara au asasi nyeti.

Mzee Tafiti,
Ushahidi unaoutaka ni vigumu kuupata kwa sababu, hata ukipata takwimu, hautaweza kuthibitisha kuwa Mr X ameteuliwa kwenye wadhifa Y kwa sababu ya DINI yake na si UWEZO wake. Mwenye hiyo siri atakuwa aliyefanya uteuzi huo. Sisi wengine tutabaki tunalumbana tu! Mzee wa Lupaso aliwahi kulazimika kujibu malalamiko hayo huko nyuma wakati wa utawala wake. Aliagiza Utumishi na chama chake wampe majina ya mawaziri na manaibu wao, na wajumbe wa NEC ili aone nani ni nani. Nikiona majibu yake wakati ule nitakupatia.
 
Ahsante Mwanagenzi That Is Fair And Understandable. Mtu Hawezi Kuzuia Hisia Za Kijamii Kabisa.

I Will Appreciate Ukipata Hayo Material Ukinipasia
 
Mugishagwe
Unasema enough is enough kuwa watu wazima mnasema hivyo.Halafu unaporomosha shutuma nzito kwa Kapuya kuwa ni MZUSHI MKUBWA NA MFITINI, je unaweza kunipatia uzushi wake au fitina aliyokufanyia?
Unakwenda mbali na kumuamrisha ADMINISTRATOR anifute wakati mheshimiwa mlalahoi amenitukania wazazi wangu hata yellow card hajapewa?na wewe unafanya nini? au ndio hadithi ya nyani?
Naomba unithibitishie udini na ukabila wa Kapuya?
Unaleta historia ndefu ya MAGORI jee nilisema hakusoma? au hiyo masters ya Uholanzi inauhusiano gani na kuwa Fat? mimi namjua Magori akiwa anapiga chaki CBE na hana shule ya nzuri, kubali kabebwa na nipe jibu yule ni muislam na mnaymwezi?tena kabebwa mara mbili na Kapuya kapelekwa NSSF halafu FAT kote huko Kapuya ndiye alikuwa mwenye dhamana na sehemu hizo? huo ni udini na ukabila? nipe data za udini na ukabila NSSF na kama mkweli mbona husemi menejiment ya PPF ambako kuna watu 8 na muislam mmoja tu tena kapata nafasi hiyo kwa vile menejiment hadi bodi ya PPF inatoka Moshi na yeye anatoka huko(kilimanjaro) pia mwenyekiti wa bodi ni homeboy wake wa karibu sana ndio jamaaa akapata hiyo nafasi otherwise asingepata kitu. Mugishagwe naona unanifuatafuata sana kama graduate wa uzeeni wa Tumaini(Mlalahoi) suala la udini mheshimiwa Mkapa alipelekewa mezani na waislama na kupewa ushahidi wote hadi anaondoka jibu hana na ktk kuona haya na aibu ndio akajitia kuchangia chuo kikuu cha Morogoro.Kapuya uwezo wake mkubwa na amefundisha UDSM ambako Mlalahoi anawaongopea watu amesoma kwa miaka zaidi ya 25 na uprofessor kachukulia pale.hatuwezi kuchukua vigezo vya Clouds FM radio inayoongozwa na akina Kipanya au tumsikilie shingongo ambaye kitaaluma si mwandishi na hata shughuli zake anazifanya kwa ufadhili wa kanisa.umakini wa Kapuya ndio maana JK akamuua kumpa dhamana nzito kwani eneo lile hapewi mtu kijinga. jee mmesahau maaskofu wawili wa Uganda walikuwa wanatumia kuingiza silaha kupitia kanisani? Iddi Amin akawashtukia na mmoja akampa kitanzi aliyebaki akiimbilia UK na kuomba ukimbizi sasa ni Archibishop wa York(Sentamu) au ulitaka JK amumweke Mlalahoi yamkute ya Idd Amin? au mlitaka yaliyomkuta ruksa kwa Apiyo?
Kapuya huyo huyo kamburuta Michael Wambura na kumwambia siwezi kuwa na rafiki mjinga na sasa anapiga BBA UDSM. nani alikesha Golden Tulip usiku kucha kumtoa Ndolanga(muislam) na kumuweka Tenga(mkristu) ni Kapuya huyo huyo lakini hayo hamyaoni akina Mugishagwe.
 
Mswahili tuliza boli kijana .Nitakujibuy muda muafaka ila neno moja tu ni kwamba wacha kutumia matusi na mbali na Admn tuk sisi tunaweza futa Mswahili na ukafutwa kama huna heshima . Mara ya mwisho changia kwa heshima na acha matusi. Mlalahoi tuko naye muda wote na hajawahi kutoa matusi .He has been provoked na ndiyo maana tunasema kata issue kijana na wacha matusi na ku provoke watu akiwemo Mlalahoi.
 
tafiti then jadili said:
Kama mnakumbuka niliahidi kuweka piece on UDINI tanzania, nasikitika nimeshindwa kutokana na ukosefu wa takwimu husika. ingawa nimegundua kuna manung'uniko pande zote yaani waislamu wanahisi kuna udini dhidi yao na kwa upande wao na wakristo piawanaona kuna udini dhidi yao.

Hii mada imekosa muelekeo kwa sasa partly kutokana na baadhi ya attempt za baadhi humu kuidrive outside the agenda walizokusudia waanzilishi na pia partly due to administrators error ya kuchanganya mambo hapa.

Sasa wale wote wanaoclaim kuwepo na udini katika taasisi za serikali aidha waislamu kupendeleana au otherwise and vice vierca naomba tusaidiwe japo majina ya kina nani wamepewa vyeo kwa vile majina yao au imani zao ni za kiislamu au kikristo.

In particular mlalahoi na mugishagwe tuwekeeni mwangaza katika hili, otherwise sorry is a simple word lakini quiet meangfull...


"Udini" upo Tanzania like anywhere else in the world.By the way,"udini"tulionao sisi sio ulopita kiwango kama kwa nchi kama Marekani,Israel,mengi ya mataifa ya Kiarabu,etc.Pengine tatizo hapa ni semantics na application ya "udini" katika maendeleo ya taifa.

Nadhani tatizo sio dini ya watu wanaolalamikiwa bali wasifu wa watu hao.Waislam wanaweza kuwa na hoja ya kuomba upendeleo wa kidini iwapo wanaona kuna hali ya kutokuwa na usawa katika sekta kama ajira na elimu.Kukosekana usawa huko kupo,hilo halina mjadala.Sababu zipo lakini nyingine zinapingana.Ntajaribu kufafanua.

Kimsingi,idadi kubwa ya waislam huko nyumbani wana hisia kuwa hakuna usawa kati yao na wasio waislam hususan ktk maeneo makuu mawili:ajira ya umma na elimu ktk taasisi za elimu za umma.Wengi wa Waislam ambao naomba niwaite "mainstream" wanaona chanzo cha tatizo hilo kuwa ni legacy ya colonial rule,na failure ya post-independece governments kuli-address na kulitatua.Put it simply,wajerumani waliwa-incorporate waislam,sio kwa vile waliipenda dini hiyo bali kwa for their (germans') colonial interests (ref:the Mecca letter affair na wito kwamba kupambana na "allied forces" ni jihad).Hata hivyo,licha ya ukweli kwamba german colonial policies in a way helped penetration of islam far into the interior from the coastal areas (ie roles of akidas,govt clerks,etc most of whom were swahili muslims,who in turn spread their faith when transfered by germans to work in the interior of the country) wajerumani walikuwa exclusively christians,and surely they couldnt prevent the "christinisation mission" carried out by the missioneries

Things took a worse turn when Tanganyika fell into the British rule.Sera za elimu na kazi were essentially discriminating Muslims,japo hata hao African christians were just being favoured for the sake of kuendeleza ukoloni.Unfortunately,tulipopata uhuru 1961 tulirithi karibu kila kitu cha kikoloni,same old wine in new bottles.And Nyerere knew for sure that one reason why Islam was a strong force in the struggle for independence was walitaka kumalizwa kwa sera za ubaguzi wa kidini by the british,hoping tht uhuru ungeleta usawa.Tatizo hadi hapa sio wakristo waafrika bali colonial legacy.

Kati ya 1961-1968 kuna mambo ambayo yanazua utata katika kuyaeleza.Kuvunjwa kwa EAMWS na hatimaye kuundwa kwa BAKWATA is one of them,as is the implementation of the Arusha declaration and its subsequent villagization policy.How?Put it simply,asilimia kubwa ya wafanyabiashara walikuwa waislam,kutaifisha mali za umma kuliwathiri zaidi wao na kupeleka watu vijijini kulimaanisha kuwatenganisha na mali za😵ther side of the same coin,wapo wanaoona kulikuwa na harakati between african muslims versus muslims of asian or arab origin,especially in the EAMWS-BAKWATA saga.

"Radical" Muslims' point of view is like,wakoloni walikuwa wakristo,nyerere was a christian,na watanzania walio wakristo ndio walioendeleza plight faced by Muslim before independence.In a serious tone,kundi hili halitaki kuangalia sababu za kihistoria bali zile zilizopo kwa wakati huu.Pia wanaona kuwa sababu za kihistoria zinatumika kuendeleza matatizo yaliyopo.Japo wengi wanaafikiana kuhusu ineffectiveness ya BAKWATA,kundi hili linaiona taasisi hiyo kama chombo kilichoundwa makusudi na serikali kuwagawa waislam.

Approach ya kutatua tatizo hili is another point of difference between the "mainstreams" and the "radicals".While the former thinks that it takes more than a debate to redress the situation,and violence should be used where necessary,the latter seems to prefer rather peaceful means including dialogue with the govt and other faiths.If you think the contradiction is over,a surprise is in store for you."Radicals" wanafanya reforms kwa vitendo (kuanzisha shule za english-medium,miradi ya kijamii,etc) wakati "mainstreams" in the form of BAKWATA wamekuwa ni wa maneno zaidi kuliko vitendo.BAKWATA has been there for ages,and you dont need statistics kufahamu jinsi ilivyoshindwa kuendeleza miradi yake kwa ufanisi.

Yet within "radicals" kuna mgawanyiko mwingine on how to achieve the best results out of their efforts.While watu kama akina Ponda wanadhani matumizi ya nguvu ni sehemu muhimu ya efforts hizo,wapo wengine ambao nguvu yao wameelekeza kwenye jitihada za kielimu kwa waislam.Reformers pia wanaamini kuwa madrasa sio sehemu ya kujifunza Quran pekee bali pia elimu dunia,and you end up with taasisi kama ile polytechnic ya magomeni (kichangani),mtambani na ununio,not forgetting Islamic university ya Morogoro which is in stark contrast na chuo kama Tamta cha Tanga.Mfumo wa elimu ktk taasisi za kielimu za kikristo umewasaidia sana ktk advancement in both religious and "worldly" education:seminari sio about upadre pekee but preparation of a man to serve God and society.If you teach a kid to IMITATE the Quran without equiping them with knowledge on how to apply it in the society,well,ni kutomjengea msingi mzuri.On average wanaoamua kuaachana na seminari za kikristo na kuingia kwenye shule za kawaida tend to perform better...you decide yourself if the same could be said baada ya mtu kuspend 6 yrs in a madras,but to give you a hint taasisi za Kiislam kama Muslim Development Fund (somebody told me humo wamo Kinana,KK,etc),TAMPRO na IPC zimeliona hilo na focus yao ni elimu-dini sambamba na elimu-dunia.

Wapo,even among Christians including myself,wanaoamini kwamba "affirmative action" is somehow needed kwa vile it's like living in denial tukijidai kusema hakuna inequlities katika sekta za elimu na ajira ya umma kati ya waislam and non-Muslims.And believe me or not,JK promised to work on the affirmative action strategy,perhaps differently from the previous attempts by the likes of marehemu Kighoma Malima.It's an affirmative action with purpose,built on improving unity and equality-not disunity and inequality- among TANZANIANS.Nadhani "upendeleo" wanaopewa ethnic minorities US,UK na kwingineko hauchukuliwi kuwa ni ubaguzi,japokuwa wapinzani wa sera hiyo wanauita hivyo...again,it might just be a matter of semantics.

For me,u-DINI can be seen as a sense of belonging to your own faith.Kuwapa nafasi za kazi waislam kwa vile tu ni waislam ni ubaguzi but kuwapa nafasi kwa vile wana sifa zinazostahili na kuna a bit of "inequality" sio necessarily or negatively ubaguzi,kwa vile kimsingi lengo ni kujenga jamii iliyo karibu na sawa (there's and shall never be an ABSOLUTE equal society).

Tatizo sio udini bali ubaguzi kwa misingi ya kidini.And I know that is ambiguous enough to take my whole arguement out of context.Hivi essentially NSSF inalaumiwa kwa udini au ubaguzi wa kidini?Wengi wa watumishi wa taasisi hiyo ni Waislam,lakini hivi kinachowakera watu ni dini yao au utendaji wao?Hivi kweli watu walilalamikia uteuzi wa Mapuri na Adadi kwa vile ni Waislam tu au wasifu wao una walakini?Uislam wa Kapuya can be used an excuse katika ku-describe udhaifu wake as kiongozi.

That's an academic arguement,kama kuna utata I'd be glad to clarify.
 
mswahili said:
Mugishagwe
Unasema enough is enough kuwa watu wazima mnasema hivyo.Halafu unaporomosha shutuma nzito kwa Kapuya kuwa ni MZUSHI MKUBWA NA MFITINI, je unaweza kunipatia uzushi wake au fitina aliyokufanyia?
Unakwenda mbali na kumuamrisha ADMINISTRATOR anifute wakati mheshimiwa mlalahoi amenitukania wazazi wangu hata yellow card hajapewa?na wewe unafanya nini? au ndio hadithi ya nyani?
Naomba unithibitishie udini na ukabila wa Kapuya?
Unaleta historia ndefu ya MAGORI jee nilisema hakusoma? au hiyo masters ya Uholanzi inauhusiano gani na kuwa Fat? mimi namjua Magori akiwa anapiga chaki CBE na hana shule ya nzuri, kubali kabebwa na nipe jibu yule ni muislam na mnaymwezi?tena kabebwa mara mbili na Kapuya kapelekwa NSSF halafu FAT kote huko Kapuya ndiye alikuwa mwenye dhamana na sehemu hizo? huo ni udini na ukabila? nipe data za udini na ukabila NSSF na kama mkweli mbona husemi menejiment ya PPF ambako kuna watu 8 na muislam mmoja tu tena kapata nafasi hiyo kwa vile menejiment hadi bodi ya PPF inatoka Moshi na yeye anatoka huko(kilimanjaro) pia mwenyekiti wa bodi ni homeboy wake wa karibu sana ndio jamaaa akapata hiyo nafasi otherwise asingepata kitu. Mugishagwe naona unanifuatafuata sana kama graduate wa uzeeni wa Tumaini(Mlalahoi) suala la udini mheshimiwa Mkapa alipelekewa mezani na waislama na kupewa ushahidi wote hadi anaondoka jibu hana na ktk kuona haya na aibu ndio akajitia kuchangia chuo kikuu cha Morogoro.Kapuya uwezo wake mkubwa na amefundisha UDSM ambako Mlalahoi anawaongopea watu amesoma kwa miaka zaidi ya 25 na uprofessor kachukulia pale.hatuwezi kuchukua vigezo vya Clouds FM radio inayoongozwa na akina Kipanya au tumsikilie shingongo ambaye kitaaluma si mwandishi na hata shughuli zake anazifanya kwa ufadhili wa kanisa.umakini wa Kapuya ndio maana JK akamuua kumpa dhamana nzito kwani eneo lile hapewi mtu kijinga. jee mmesahau maaskofu wawili wa Uganda walikuwa wanatumia kuingiza silaha kupitia kanisani? Iddi Amin akawashtukia na mmoja akampa kitanzi aliyebaki akiimbilia UK na kuomba ukimbizi sasa ni Archibishop wa York(Sentamu) au ulitaka JK amumweke Mlalahoi yamkute ya Idd Amin? au mlitaka yaliyomkuta ruksa kwa Apiyo?
Kapuya huyo huyo kamburuta Michael Wambura na kumwambia siwezi kuwa na rafiki mjinga na sasa anapiga BBA UDSM. nani alikesha Golden Tulip usiku kucha kumtoa Ndolanga(muislam) na kumuweka Tenga(mkristu) ni Kapuya huyo huyo lakini hayo hamyaoni akina Mugishagwe.

Mimi nadhani kwa Waislam huu ni mwezi wa toba.I know you're Muslim,and probably "uliona mwezi" na hivyo umefunga.Just ask yourself,hata ingekuwa huu sio mwezi wa Ramadhan,unadhani unachoendelea kufanya kinakunufaisha vipi na kina manufaa gani kwa Jamboforums?Hoja zinajibiwa na hoja,sio assumptions kuhusu mtu msiefahamiana.Hatukuja hapa kutengeneza uadui bali kuhabarishana,kupanuana mawazo na kuelimishana.Ndio maana licha ya kuchangia mada hii unatukuta tunachangia na mada nyingine as well.Emenitukana nimekujibu,it stops there.

Kutetea watu flani like Kapuya,nk kwa vile ni Waislam ilhali wewe mwenyewe unashindwa kuishi kwa maadili ya Kiislam katika mwezi mtukufu wa Ramadhan ni unafiki.Ukitukana utatukanwa lakini ukija na hoja utajibiwa na hoja.
 
Mlalahoi
Waislam toka 1964 walikuwa na project ya chuo kikuu na aliyealikwa kuweka jiwe la msingi ni marehemu MWL.suala la elimu wanalijiua zaidi unavyofikiria, aya ya kwanza inasisitiza elimu kwenye uislam na ukati huo kulikuwa na mpango wa kujinga kila kona shule ndio utaona Lumumba primary school, Amana primary na hata akina Tambaza, jangwani hadi zanaki na mfuko wa elimu ulikuwa chini ya Aga khan usidanganye watu kuwa waislam ni watu wa madrasa tu. ni chuki na hila chafu kama zako nyio zilizowarudisha nyuma. Mlalahoi umewapiga vita waislam kwenye gazeti la Msemwakweli na sasa unaingia kila forum kuwapaka matope.
 
mswahili said:
Mlalahoi
Waislam toka 1964 walikuwa na project ya chuo kikuu na aliyealikwa kuweka jiwe la msingi ni marehemu MWL.suala la elimu wanalijiua zaidi unavyofikiria, aya ya kwanza inasisitiza elimu kwenye uislam na ukati huo kulikuwa na mpango wa kujinga kila kona shule ndio utaona Lumumba primary school, Amana primary na hata akina Tambaza, jangwani hadi zanaki na mfuko wa elimu ulikuwa chini ya Aga khan usidanganye watu kuwa waislam ni watu wa madrasa tu. ni chuki na hila chafu kama zako nyio zilizowarudisha nyuma. Mlalahoi umewapiga vita waislam kwenye gazeti la Msemwakweli na sasa unaingia kila forum kuwapaka matope.

Stop making assumptions.Sina muda mbovu kuandikia gazeti kama Msemakweli.Nimegundua una tatizo katika kuelewa mada unayojaribu kuiendeleza.Badala ya kukurupuka kusema nina chuki na Waislam,ungejiuliza nani aliyempiga vita Aga Khan.Is it Nyerere?Is it African Muslims?or it was just natural death.Hizo ndio hoja unazotakiwa kueleza badala ya kusema nawapiga vita Waislam.Look at this,then make your own conclusion:

17th September 2006, 01:02 AM

Papa vipi mbona kaleta balaa?
Join Date: Aug 2006
Location: London,UK
Posts: 115
Mlalahoi is on a distinguished road
Default
Mie japo ni Mkatoliki nadhani Pope amekwenda mbali kidogo.Natambua kuwa ukweli lazima usemwe hata kama ni mbaya kiasi gani lakini pia ni vema kuangalia hali halisi ilivyo hivi sasa kabla ya kutoa matamshi ambayo yanaweza kuchochea vurugu badala ya kuleta amani.Naomba nifafanue.Kabla ya "sheria" za Yesu kulikuwa na "sheria" za Musa,au kwa lugha nyepesi,Agano la Kale liliweka mkazo katika Laws of Retaliation (mambo ya jicho kwa jicho,shavu kwa shavu...wengine wanasema ngadu kwa ngadu),Agano Jipya lilikuja na Laws of Reconciliation (ukipigwa shavu la kushoto,geuza na shavu la kulia).Mahubiri ya sasa ya Kanisa Katoliki yamekuwa yakisisitiza hizo Laws of Reconciliation ambazo msingi wake mkubwa ni upendo badala ya kisasi.Sina hakika kuhusu sheria za Waislamu lakini nadhani msisitizo ni reconciliation,hivyo hakukuwa na haja ya kunukuu maandishi ya karne ya 14 ambayo yalikuwa yakiuzungumzia Uislam wa zama hizo (funny enough,zama hizo pia zilishuhudia Kanisa likiendesha "jihad" zake in the name of crusade wars).

George Bush kawaita Waislam mafashisti,mpambe wake Tony Blair is saying more or less the same thing,sasa Pope akija tena na kauli tata (hata kama lengo lilikuwa zuri) inaweza ku-inflame the already tense situation.Pia kuna mwandishi mmoja wa gazeti la Sunday Times (jina limenitoka) alieleza jana Sky News kuwa baadhi ya kauli za Pope ni tata,kwa mfano at one time aliwahi kusema kuna haja ya mjadala kati ya Christians na other "cultures".Mwandishi huyo alieleza kwamba kwa kuziita dini nyingine "cultures" Pope angeweza kutafsiriwa kuwa anaamini kuwa dini pekee ya kweli ni Ukristo na hizo nyingine ni "cultures" tu (Of course,that's the unspoken truth in any religion:dini yako ni ya kweli na nyingine si sahihi.But the golden rule is to keep that "truth" within that particular religion).

Ni mtazamo wangu tu in the name of peace and tranquility.By the way,zikianza vurugu baina ya Waislam na Wakristo,atakaeathirika sio Pope na Vatican yake (kwa walioshuhudia ziara za Pope wanajua ulinzi wake ulivyo) bali sie waumini wa kawaida ambao hata makanisa yetu yanalindwa na mgambo wenye virungu tu (kwa mijini) na huko vijijini ulinzi pekee ni huruma ya Mungu.
Last edited by Mlalahoi : 17th September 2006 at 01:08 AM.


Mchango wangu huo niliutoa tarehe 17/09/06 kabla sijakuelewa na hujaanza kuniandama.May be in your own understanding,mimi nawachukia Waislam,lakini hilo naliacha kwa members wengine wa forum hii kulifanyia conclusions.Ila nina hakika kuna watu wanaelewa contributions zangu from the first day I joined this forum,nabishana na watu kwa hoja na pia siamini kwamba lazima hoja yangu ishinde kwa vile hii sio kama mchezo wa draft kwamba lazima nile kete yako ili niende king.

As I said earlier,michango tunayotoa humu ni kwa manufaa ya forum hii na watanzania wenzetu,sio kwa ajili ya mtu binafsi.Kama kila unapoingia humu lengo lako ni to say something about me,siwezi kukuzuia.Kuna watu nawaheshimu hapa,na I wouldnt like to involve myself with discussing personalities...by the way,they say nothing good ever comes out of discussing personalities.Additonally,shallow-minded people discuss other people while great minds discuss real issues and events.Siwezi kukulazimisha ujadili mambo mengine muhimu zaidi ya kufanya guess work about where I studied,whether my 1st degree (ninazo 3 nasomea ya 4) ilikuwa ya Tumaini University au Masjid Quba (kama wanatoa hata certificate)...by the way,Bill Gates ni college drop-out,and you know who he really is despite of his lack of achievements in education...eventually utaishia kupuuzwa na other members of this forum sio kwa vile wananipendelea bali because they have no time for porojo.You can make or break your reputation,choice is entirely yours.
 
Wanaboard,

Kwanini tusiungane wote kwa pamoja kumpongeza mwenzetu "mswahili" kwa kazi kubwa aliyofanya ya kubadili mada nzima na kuhakikisha mada asilia na halisi haijadiliwi?, vile vile napenda kumpongeza Mlalahoi kwa kuchotwa na kuanza kujadili Uislamu v/s Ukristo badala ya mada yenyewe.
Mswahili;
Now you can go and claim your remuneration. Well done, please go.

Easy come easy go.

FD
 
Mzee Fikiraduni
naona leo unatazama pande moja ya shilingi.Kama unafuatilia vizuri mjadala huu aliyeleta mambo ya Jihad unamjua na nilikuwa msomaji tu nikaja na nia nzuri ya kumfanunulia neno Jihad majibu ya Mlalahoi ikawa kuwashambulia waislam.Namjua sana Mlalahoi na sikutegemea kuja na kauli na hadi matusi kwangu hayo yote hamyaoni. Huyu bwana amesoma Tumaini chuo cha kidini lakini amekuwa na matusi na chuki kwa waislam bila sababu ya msingi. Pia amejengwa kwenye ukabila sana miaka ya mwanzo alikuwa gazeti la msemakweli la kikristu na sasa yuko gazeti la serikali ambapo hawezi kuruhusiwa kuandika chuki zake kama hizi na anatumia forum hizi na Darhotwire kuwashambulia waislam.

Mlalahoi
Waislam hawasomi au kukariri QURAN tu, ASHA MIgiro kasoma shule ya kiislam-Mnazi mmoja na unaona leo alipo, Iddi SIMBA kAsoma shule ya Lumumba wakati huo ikiitwa Islamiya unaona alipo fika.nimekuambia 1964 tulikuwa tayari na mradi wa chuo kikuu kwa masomo yote na bajeti yake ilikuwa dola milion 53 na ukiona eneo la uwanja wa Taifa ilkuwa mali ya waislam kwa ajili ya university lakini kwa chuki za watu mradi huo ukahujumiwa, Jiulize 1964 waislam wanaweka jiwe na msingi la university na muweka jiwe ni Nyerere jee kwenu mlikuwa na wazo la kuwa na Tumaini university?ambayo imekuja zaidi ya miaka 35 toka kuwekwa jiwe la msingi la chuo cha waislam na kulikuwa na university nyingine ijengwe na OIC nayo ikahujumiwa, miaka ya 90s Waislam wakataka kujenga university nyingine Kibaha na wakanunua eneo na kuwalipa fidia wananchi mara zikaanza chokochoko za kalamu zenu mkiongozwa na akina Motomoto na hatimaye ule mradi hakufanikiwa hivyo ujue sisi sio kama nyinyi na hizo project zote tatu Banda lako la kuku lilikuwa bado halijaanza(siunajua yalikuwa magodauni ya Wizara ya Kilimo ndio mkapewa kuanzisha Chuo cha Tumaini?.jiulize nini kilimkuta Saidi Tewa? Titi Mohamed na Deportation order aliyopewa sheikh Hassan bin Amir? pia kwenye uislam hakuna discriminational hivyo AGA KHAN alikuwa kipenzi cha waislam usilete uongo.
kumbuka waislam walizuiliwa kujenga seminari na mwaka 1981 baadhi aya waislam waliwekwa ndani sababu ya kujaribu kuanzisha seminary tena kwa amri ya mwl.hivyo waislam wamezuiliwa kujenga seminary huku nyie mnapeta.
1987 ndio ikaja ruhusa kwa waislam kuwa na seminary baada ya kuingia utawala wa Mwinyi. pia jiulize Deportation order ya professor Malik nani aliisimamia? uliza mkasa wa Nyerere na mzee TAKADIRI ilikuwaje? mbona huhoji uhalali wa mapdree 12 waliokuwa wizara ya elimu na wakurugenzi wote wizara ya elimu hakukuwa na muislam jee ni bahati mbaya hiyo au waislam hawasoma? kumbuka shule kama Kibohehe mwalimu mkuu wake alikuwa toka Ghana yaani Waislam walikuwa wanachukua watu toka nje kuendeleza elimu kwanini wakaja kuwa kwenye hali duni? facts hizo zote ziko kwenye archives yenu labda una chuki zako binafsi? pia unahudhuria kila wiki Leyton kanisani mbona hupunguzi chuki kwetu? naomba soma Daily Mirror la jumamosi 30.09.06 "Queen opens Muslim prayer room at Windsor Castle" wenzako wameona hakuna haja ya kuwabagua waislam pia jiulize Jamaicans wanavyoufuata uislam na mbona hakuna wazungu makanisani hapo U.K? IWEJE ASHIMOLO na Deya ndio wawe ARCHBISHOPS?
 
Hii mada ninavyokumbuka mimi ni ya Mengi/Manji na NSSF...sasa hii ya waislamu mbona haiko sehemu yake.Wengine tunaingia kuoma humu tukitegemea ni habari husika na kichwa cha habari.Sasa Mh Mswahili,ingekuwa ni bora uianzishe hii mada kwenye sehemu yake tofauti.
 
Mswahili,
Ukishaanza kusema "sisi" na "ninyi" inaonyesha pia kuwa na wewe una kaubaguzi. Nilidhani sisi sote ni Watanzania sasa haya na sisi na ninyi yametoka wapi? Nimekusoma na nimemsoma Mlalahoi, na sijaona pahala ambapo anaonekana kuzungumza kwa kibaguzi!
 
Zanaki,
Labda ianzishwe link nyingine ambako hii mada itahamishiwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom